- Thread starter
- #61
Hahaha! Kama una kiwanja hapa unapandisha unahamia inabaki finishing tuBora yako , hongera,mi ndo kwanza Bado mill.14 na points.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Kama una kiwanja hapa unapandisha unahamia inabaki finishing tuBora yako , hongera,mi ndo kwanza Bado mill.14 na points.
Wakati mwingine serikali inajiharibia yenyeweSafari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Ila wakati tunakopeshwa hatuoni nuksiHawa jamaa kama unaweza bora uagane nao mapema wanaleta nuksi kwenye slip
Mbwa hao ko ulikaa kimya bila kufanya consultation nao na mwanasheria?Mimi deni la kwenye salary slip liliisha kabisa likasoma 0 na wakaacha kunikata. Imepita miaka mitatu nikaletewa barua nadaiwa 3.9m.
Alisema linakiuka sheria sasa sijui watekwlezaji wizara ya Elimu na Serikali wanalichukuliaje hili swalaKwani CAG anasemaje kuhusu loan board, maana sioni cha maana wanachofanya kusaidia elimu ya kijana mnyonge wa kitanzania zaidi ya kumfanya fursa.....CAG kagua loan board tafadhaaaaaaaaaaaali!!!!!!!!!
Awamu iliyopita waliogopa hata kulizungumzia ngoja tuone awamu ya sitaAlisema linakiuka sheria sasa sijui watekwlezaji wizara ya Elimu na Serikali wanalichukuliaje hili swala
Wengi itawakuta hii maana watu wanajua wamemaliza kumbe sivyoMbwa hao ko ulikaa kimya bila kufanya consultation nao na mwanasheria?
Imekosa ubunifu. Watu wengi wanataka kulipa ila habari za retention zinawakimbizaWakati mwingine serikali inajiharibia yenyewe
Ndio ila sisi wengine mkataba wetu hauna riba na hiyo sheria dhulma ya bunge imekuja baada yetu nashangaa kuingizwa, nikama vile sheria ya wizi wa kuku inasema afungwe miazi miwili na bunge kubadili kuwa miaka kumi wale waliohukumiwa awali wote wanafungwa miaka kumi.Wakati huo mlifurahi sana kupata boom
sasa wakati wa kulipa mnakiona cha moto.. mzazi kama ana uwezo asomeshe kwa pesa yake mikopo ni jela
Heri mimi nimeishia la tatu c kutwa nazunguka na kapu langu la samaki mimi mwana wa mwendazake
Hongera sana kiongozi...Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Hongera sana kiongozi...