- Thread starter
- #41
Watakula pension yoteMimi hawajaanza kukata na nakaribia kustaafu sijui kitatokea nn huko mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakula pension yoteMimi hawajaanza kukata na nakaribia kustaafu sijui kitatokea nn huko mbele
Sisi wengine bila ya bodi tungekuwa wachunga ng'ombeNdio maana kaka yangu alimwambia mwanae ww nitakusomesha kibabe hivi hivi maana utakuja upate shida kulipa deni wakati unaweza kua na majukumu mengi sasa.Sasa nimeelewa kwa nn alikomaa kulipa ada.
Haya majibu mkuu ni ya kule Facebook sio hukuDegree yenyewe inasemaje kwani
Niuzie ndugu mimi langu linasoma 7.2mSafari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Haha
I'm speechless [emoji51]Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Mkuu hili la riba ya ni wizi tu huu hata mimi ni mhanga wa hiliTuwapeleke mahakamani, ile riba waliyoongeza ambayo haikuwepo kwenye mkataba ni ubatili.
Mkuu hili ni jangaMimi deni la kwenye salary slip liliisha kabisa likasoma 0 na wakaacha kunikata. Imepita miaka mitatu nikaletewa barua nadaiwa 3.9m.
Mkuu kachukue statement, kati ya milioni 3-4.5 utakuta imeongezekaSafari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Wajinga hawa wenyewe wanakuna vitambi kwenye V8Mkuu kachukue statement, kati ya milioni 3-4.5 utakuta imeongezeka
Hii ilikuwaje mkuu?I'm speechless [emoji51]View attachment 1766841
Hii nimepewa barua ofisini eti nadaiwa HESLB zaidi ya million mbili kasoro hiviHii ilikuwaje mkuu?
Hii imekuja baada ya kumaliza deni?Hii nimepewa barua ofisini eti nadaiwa HESLB zaidi ya million mbili kasoro hivi
Mimi naenda ufukweni kuanzia asubuhi nalala na kipensi huku nikiangalia jua. Redio yangu pembeni, vinywaji na kuku mzima wa kuchoma plus ndizi mzuzu. Huku nikimsifu Mungu kwa ukuu wake.Siku nikimaliza deni la lon boad naoa mke wa pili 😀😀😀
Jisalimishe tuHESLB watapata taabu kupata hela zangu