Deni langu la bodi limebaki 1.5 milioni

Deni langu la bodi limebaki 1.5 milioni

Wakati huo mlifurahi sana kupata boom
sasa wakati wa kulipa mnakiona cha moto.. mzazi kama ana uwezo asomeshe kwa pesa yake mikopo ni jela

Heri mimi nimeishia la tatu c kutwa nazunguka na kapu langu la samaki mimi mwana wa mwendazake
 
Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Niuzie ndugu mimi langu linasoma 7.2m

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
I'm speechless [emoji51]
PhotoGrid_Plus_1619627139128.jpg
 
Safari ni ndefu kutoka 10.8 milioni hadi 1.5 milioni miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Mkuu kachukue statement, kati ya milioni 3-4.5 utakuta imeongezeka
 
Bora yako , hongera,mi ndo kwanza Bado mill.14 na points.
 
Back
Top Bottom