Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wazo zuri tuangalie namna ya kujiorganise kutumia wanasheria wa vyama vya wafanyakazi tukafungue shauri mahakamani kwa ajili ya retention fee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi deni la kwenye salary slip liliisha kabisa likasoma 0 na wakaacha kunikata. Imepita miaka mitatu nikaletewa barua nadaiwa 3.9m.Hiyo ya kwenye salary slip na kwao ni tofauti, deni halisi wanalo wao, usisahau july mwaka mpya wa fedha linaongezeka.... haitakua 1.5 tena
Mimi hawajaanza kukata na nakaribia kustaafu sijui kitatokea nn huko mbeleSafari ni ndefu kutoka 10.8 mill hadi 1.5mill miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Yani salary slip inaweza kuwa 0 kwao kuna mil 5Mimi deni la kwenye salary slip liliisha kabisa likasoma 0 na wakaacha kunikata. Imepita miaka mitatu nikaletewa barua nadaiwa 3.9m.
Mimi wakirekebisha hiyo kitu nitajisalimisha ila kwasasa hpn ngoja nijenge nyumba ya pili nitafute na kausafiri then nitawatafutaUnaijua retention( check spelling) fee wewe?????
Likiisha kaushia usiende kuuliziaSafari ni ndefu kutoka 10.8 mill hadi 1.5mill miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Kabisa mkuu, 738K si habaInaonekana wewe sio mnyonge mshahara wako ni mkubwa.
Kabisa mkuu, 738K si haba
Hata hili tatizo la Retention fee watalitatua wenyewe waliolitengenezaAngekuwepo bwana yule angefurahi sana akisikia neno mnyonge au wanyonge.
Wanyonge ni watu wazuri sana, unawatengenezea tatizo halafu unalitatua baadae. Hawa ni wazuri sana kwa kujipatia kura.
Wanadai sheria imepitishwa na bungeKesi ya nyani unampelekea ngedere? Hata yeye atakushangaa.
kaa kimya ulipe deni lako tu, huko unakoenda utapoteza pesa na muda wako tu.
Ukikaa napo maretention ya kijinga yanaongezekakuwapa keshi ni uzembe mkubwa sana. yaani mitafute milion cash niwape bodi? hapana aisee.
Haya ndio mambo ninayoogopa. Kila nikitaka kuulizia deni naghairisha sababu ya huu ujingaNenda bodi HESLB, nakuhakikishia utakuta deni la mil11.5., milioni kumi na moja na laki tano.
Everyday is Saturday................................😎
Watu tunaidai serikali madeni ya 2016 hadi leo hatujalipwa na sisi tudai riba?Hiyo ya kwenye salary slip na kwao ni tofauti, deni halisi wanalo wao, usisahau july mwaka mpya wa fedha linaongezeka.... haitakua 1.5 tena
Bado ngapi ?Mpaka sasa nimelipa miaka 6 tuu lakini deni halina dalili ya kushuka
Hiyo ni pamoja na riba?nishalipa km million 8 bado nadaiwa km million 5 na kitu,ili deni kiukweli ni kichefuchefu
Kungekuwa na wakili kachangamka hii kesi ina hela nje njeWazo zuri tuangalie namna ya kujiorganise kutumia wanasheria wa vyama vya wafanyakazi tukafungue shauri mahakamani kwa ajili ya retention fee