Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024

Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024

Watu wanalilia ubalozi wa Denmark kama kwamba na sisi tuna ubalozi huko. Tanzania tuna Sweden kutuwakilisha katika nchi zote za Nordic Baltic na Ukraine ambazo ni karibu nchi kumi. Pale Copenhagen kuna ofisi ndogo tu ya consulate. Haiyumkini inawezekana nao wanafunga ubalozi na kuacha ofisi ndogo ya consulate ili kupunguza gharama za uendeshaji.

Kanada iliwahi kufunga ubalozi, wakahamishia shughuli Kenya, halafu baadaye wakarudi tena. Australia nayo iliwahi kufunga kwa sababu sis hatukuwa na ofisi ya Ubalozi kwao; hivyo wakahamishia shughuli zao Nairobi, lakini baadaye wakarudi tena. Mimi naona kama hili ni jambo la kawaida tu.
 
Denmark will honour already agreed financial commitments. Denmark wishes to consolidate the many achievements that Denmark has contributed to over the past six decades with Tanzanian partners. Additional funds for exit activities have been set aside in order to ensure a gradual and responsible phasing-out of the longstanding development cooperation in Tanzania.

Zingatia-Phasing out of longstanding development cooperation in Tanzania.
 
Wameona uongozi wa nchi gari bovu, wakajiuliza kwanini tunapoteza hela za walipakodi wetu kuhudmia wazururaji? Wakakosa jibu, wakaamua kufunga ubalozi.
 
Watu wanalilia ubalozi wa Denmark kama kwamba na sisi tuna ubalozi huko. Tanzania tuna Sweden kutuwakilisha katika nchi zote za Nordic Baltic na Ukraine ambazo ni karibu nchi kumi. Pale Copenhagen kuna ofisi ndogo tu ya consulate. Haiyumkini inawezekana nao wanafunga ubalozi na kuacha ofisi ndogo ya consulate ili kupunguza gharama za uendeshaji.

Kanada iliwahi kufunga ubalozi, wakahamishia shughuli Kenya, halafu baadaye wakarudi tena. Australia nayo iliwahi kufunga kwa sababu sis hatukuwa na ofisi ya Ubalozi kwao; hivyo wakahamishia shughuli zao Nairobi, lakini baadaye wakarudi tena. Mimi naona kama hili ni jambo la kawaida tu.
Kwanini Nairobi na siyo sisi ?!. Umewahi kujiuliza hilo !
 
Si watawala wanaona sifa kukandamiza watawaliwa?? Tutayaona yatakoishia.
 
Hii nchi bwana.. watawala wanachoweza ni kudhibiti wapinzani wasifanye mikutano, kuwafungulia kesi kukicha, kuvamia nyumba na ofisi zao, na siku hizi wameongezea ujuzi mwingine wa kukwea ndege na kutalii dunia kwa kuanzia Africa kwanza.
 
Kuna kitabu tulisoma enzi hizo kina kinaitwa 'lila na fila'
UKWELI NA UOVU HAWAKAI PAMOJA
DHAMBI NA UCHA MUNGU HAZINA MAFUNGAMANO
MALAIKA NA MASHETANI HAWAKAI PAMOJA
Jitafakari Nchi yangu Tz kwa vitendo na mwenendo wako usiofaa duniani.
 
Nimesikia redioni kwamba Denmark inafunga Ubalozi wake wa Dar es Salaam, lakini hawajatoa maelezo ya kina kuhusu sababu za Kufunga ubalozi huo.

Kuna yeyote mwenye taarifa za kutosha kuhusu ufungaji huo wa ubalozi? Maana nimeanza kufikiria jinsi Denmark ilivyo mshirika mkubwa wa maendeleo kwa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Ni mambo mengi sana ambaya Denmark kupitia shirika lake la maendeleo - Danida, wameweza kusaidia miradi mingi sana ya maendeleo katika sekta ya maji, elimu, barabara na afya.
 
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.

Nchi za Sahel ni Mauritania, Mali, Niger, Burkina Faso and Chad zina face "many challenges, including chronic insecurity, rising extremism, a lack of economic prospects, and poor access to education, employment and essential services such as water and electricity. Climate change is weakening the region even more" (Google).

Namnukuu Balozi anasema; "Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Kwa maneno hayo wanakokwenda ni kule kunakokandamiza haki za binadamu yaani Mauritania, Mali, Niger na Chad.

Kama unabisha nenda katafute democracy index kwenye ripoti ya Economic Intelligence Unit (EUI)

 
ukisoma humu kuanzia juu, watu wanalalamikia misaada na kusaidiwa tu...dah inasikitisha sana.

kumbe ni vizuri sasa waondoke, ili akili zitukae sawa tujifunze kujitegemea sasa....bila shaka watu watakuwa wabunifu sasa kujiokoa na shida..tukizoea sana kupewa mnafikiri lini tutafikiri na kuishi wenyewe.....ushaona China na Mrusi analazimisha mtu kufungua balozi huko....watu lazima wakuheshimu, heshima hapewi ombaomba...
Hakika
 
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.

Nchi za Sahel ni Mauritania, Mali, Niger, Burkina Faso and Chad zina face "many challenges, including chronic insecurity, rising extremism, a lack of economic prospects, and poor access to education, employment and essential services such as water and electricity. Climate change is weakening the region even more" (Google).

Namnukuu Balozi anasema; "Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Kwa maneno hayo wanakokwenda ni kule kunakokandamiza haki za binadamu yaani Mauritania, Mali, Niger na Chad.

Kama unabisha nenda katafute democracy index kwenye ripoti ya Economic Intelligence Unit (EUI)

Uvivu wetu wa kusoma mkuu 😄😄
 
Wapo sahihi kabisa. Siyo kitu kirahisi kuwa na balozi kwenye nchi zenye ugaidi kama Tanzania.

Si kuna watu kadhaa wapo lockup kwa tuhuma za ugaidi? Na juzi pia gaidi Hamza si aliuweka ubalozi wa ufaransa under presha hadi mlizi wao akauawa?

Nashauri pia nchi nyingine za Ulaya na Marekani wafunge balozi zao pia kwa sababu kuna threat kubwa sana ya security Tanzania kutokana na ugaidi.
Ingekua hivyo wangeshafunga huko kenya na msumbiji, acha kuonyesha ujinga wako
 
Wengi wamesoma juujuu tu. Ila Denmark wanafunga ofisi Tanzania kwa sababu chanya kabisa. Walifungua ofisi ya ubalozi mwaka 1963 kwa ushwishi wa J K Nyerere ili kutusaidia kwenye maeneo ya elimu, afya, maji na utawala Bora. Baada ya miaka 60 wametathmini wameona tumepiga hatua kubwa, hivyo basi ni not waende wakatumie raslimali zao kwenye nchi zilizo na uhitaji zaidi za eneo la Sahel.

Nchi za Sahel ni Mauritania, Mali, Niger, Burkina Faso and Chad zina face "many challenges, including chronic insecurity, rising extremism, a lack of economic prospects, and poor access to education, employment and essential services such as water and electricity. Climate change is weakening the region even more" (Google).

Namnukuu Balozi anasema; "Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Kwa maneno hayo wanakokwenda ni kule kunakokandamiza haki za binadamu yaani Mauritania, Mali, Niger na Chad.

Kama unabisha nenda katafute democracy index kwenye ripoti ya Economic Intelligence Unit (EUI)


[emoji110][emoji110][emoji110][emoji110]
 
ukisoma humu kuanzia juu, watu wanalalamikia misaada na kusaidiwa tu...dah inasikitisha sana.

kumbe ni vizuri sasa waondoke, ili akili zitukae sawa tujifunze kujitegemea sasa....bila shaka watu watakuwa wabunifu sasa kujiokoa na shida..tukizoea sana kupewa mnafikiri lini tutafikiri na kuishi wenyewe.....ushaona China na Mrusi analazimisha mtu kufungua balozi huko....watu lazima wakuheshimu, heshima hapewi ombaomba...
Unayeitaja China, hujui chochote kuhusu China. Viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kuomva wawekezaji wa ulaya waende kuwekeza China.

Wajinga wengi wanaamini kuwa Uchumi wa China umeinuliwa na uwekezaji wa ndani. Makampuni makubwa mengi ya China ni uwekezaji wa mataifa ya Ulaya na America. Kila mwaka China inapata uwekezaji kutoka nje unaofikia thamani ya dola bilioni 80.
 
Back
Top Bottom