GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Netherland .... Waholanzi.Walokuwa NMB ni hawa au wa Norway?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netherland .... Waholanzi.Walokuwa NMB ni hawa au wa Norway?
Acha kutusagia kunguni 😂😂😂Wapo sahihi kabisa.Siyo kitu kirahisi kuwa na balozi kwenye nchi zenye ugaidi kama Tanzania.
Si kuna watu kadhaa wapo lockup kwa tuhuma za ugaidi?Na juzi pia gaidi Hamza si aliuweka ubalozi wa ufaransa under presha hadi mlizi wao akauawa?
Nashauri pia nchi nyingine za Ulaya na Marekani wafunge balozi zao pia kwa sababu kuna threat kubwa sana ya security Tanzania kutokana na ugaidi.
Mbona afghanistani wanaoWapo sahihi kabisa.Siyo kitu kirahisi kuwa na balozi kwenye nchi zenye ugaidi kama Tanzania.
Si kuna watu kadhaa wapo lockup kwa tuhuma za ugaidi?Na juzi pia gaidi Hamza si aliuweka ubalozi wa ufaransa under presha hadi mlizi wao akauawa?
Nashauri pia nchi nyingine za Ulaya na Marekani wafunge balozi zao pia kwa sababu kuna threat kubwa sana ya security Tanzania kutokana na ugaidi.
Za TOZOWafunge tu. Tuna ela
Busara za kuongeza ugumu wa maisha kwa wananchi wakeMnaondoka,,but mutamkumbuka Mh rais SSH. Mama mwenye hekima na busara. Allah akuongoze kwenyi majukumu yako mama.
Tanzania si Tanzania tena ...
wallahi nkipata permanent residence nchi ingine nasepa ..
Tushachoka mara hiki mara kile
Sasa serikali ya ccm kujenga vyoo tu vya watoto mashuleni kupitia kodi za wananchi mmeshindwa,mnaweza nn nyie sasa?acha kulialia mtoto wa kiume...watu wako Afghanistan tena khost huko risasi zinalia na suicide bombers everyday, ungekuwa yemeni au syria allepo, fallujah Iraq huko ungesemaje...
Akizungumza leo kwa simu, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesema bado hajapata taarifa hiyo, anaifuatilia na Msemaji wa Serikali Gerson Msingwa naye pia amesema vivyo hivyo na kuongeza kuwa Serikali ikishapata taarifa itatoa tamko.
True Mkuu ndo kinachofuta...Haitachukua muda, tusubirie kusikia toka Finland, Sweden na Norway.
Chini ya utawala huu primitive, wa mabavumabavu wa CCM, hakika kila siku itakuwa aheri ya jana.
Tanzania haiwezi kuchangamana na Dunia ya watu wastaarabu wanajua thamani ya utu wa kila mwanadamu.
Mimejiuliza why TZ and not our neighbours?Kuna kitu hapa. Haiwezekani tusiwe na umuhimu kwao kimkakati halafu wabaki kwa jirani zetu.