Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024

Denmark kufunga Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024

Simply wamechoka kukaa na "washenzi", tumepoteza muelekeo kama taifa now running like headless chicken, serikali imejaa matundu kila mahali kuanzia haki za raia, uchumi, mpaka mahusiano na jumuia ya kimataifa.
 
tuache kulialia na kutegemea watu kujenga nchi zetu.....wao walijengewa na nani...tujikaze watoto wa kiume tujenge Taifa letu nalo siku tukifunga ubalozi huko nao watetemeke.... kama wanaume wote tunaona na kukubalian CCM ndio shida tunashindwa nini kuitoa kwa kuivimbia ili tuache kulia lia kwa wazungu na kulilia passport zao ilihali mnakwetu na wenzenu wanakwao babu zao walikujenga...Jengeni kwenu watoto wenu wawe proud na passport za kwao...
 
Ila ubalozi sio kila nchi ipo kwenye nchi nyingine
 
Denmark itafunga ubalozi wake nchini Tanzania wakati ikibadilisha mfumo wake wa mashirikiano ili kutekeleza vipaumbele vya serikali. Nchi hiyo imesema kujipanga upya kutachangia utekelezaji wa mkakati wake mpya wa maendeleo na ushirikiano.

Waziri wa Mambo ya nje Jeppe Kofod alisema Upangaji huu upya ni kusaidia juhudi za nchi hiyo inazofanya nyumbani na duniani ili kuleta mabadiliko makubwa iwezekanavyo.

"Kipaumbele changu kama Waziri wa Mambo ya nje ni kuhakikisha usalama wa watu wa Denmark katika ulimwengu ambao demokrasia, haki za binadamu, na madili yetu vinakandamizwa."

Tanzania na Denmark zimekuwa na uhusiano mzuri katika miaka iliyopita. Wanasiasa wengi, maafisa wa serikali, wanasayansi, wafanyabiashara, viongozi wa dini na watendaji wa asasi za kiraia kutoka mataifa husika wameunda uhusiano wa karibu na kushiriki mazungumzo yenye tija.

Tanzania ndiyo nchi ya kwanza ya Kiafrika ambayo Denmark ilianzisha nayo ushirikiano wa kutoa misaada ya kimaendeleo mnamo 1963, muda mfupi baada ya Tanzania (wakati huo Tanganyika) kupata uhuru.

=====

View attachment 1911371
Denmark's Foreign Affairs Minister Jeppe Kofod in Copenhagen on August 13, 2021

Denmark will close its embassies in Tanzania as it restructures its foreign service in order to deliver on the government’s priorities, it announced Friday.In the statement seen by The EastAfrican, Denmark said the reorganisation will contribute to the implementation of the country’s new strategy for development cooperation.

“This reorganisation is to help us target the efforts we make, both here at home and out in the world, so that we can make the biggest possible difference,” Foreign Affairs Minister Jeppe Kofod said.

“My first priority as Minister of Foreign Affairs is to ensure the security and safety of the Danish people in a world where democracy, human rights, and our values are coming under increasing pressure.”

Tanzania and Denmark have enjoyed outstanding relations over the years. Many politicians, government officials, scientists, businesspeople, religious leaders and civil society actors from respective nations have formed close relations and engaged in constructive and lively discussions.

The East African nation was the first African country with which Denmark initiated a development assistance partnership in 1963 shortly after the Tanzanian mainland, called Tanganyika, became independent.

Source: The East African
Tanzania si Tanzania tena ...

wallahi nkipata permanent residence nchi ingine nasepa ..

Tushachoka mara hiki mara kile
 
Gaidi Hamza😁😁😁.Juzi ubalozi wa Ufaransa ulikuwa kwenye presha kubwa sana kwa sababu ya ugaidi pia.Nashauri Wazungu wafunge balozi zao kwa kweli.

1630045965_1630045965-picsay.jpg
 
tuache blah blah....wao waliijenga Denmark kwa demokrasia na diplomasia? Denmark ilijengwa kwa mijeledi na damu na sio kuleanaleana na kubembelezana.... Hizi issue ya demokrasia mara diplomasia ndio zinalemaza waAfrica na mataifa mengine masikini kwa kudanganywa Mzungu na Mchina atawaletea maendeleo mdomoni ilihali wao hawakuletewa maendeleo zaidi ya kushurutishwa kufanya kazi kwa mijeledi..
 
tuache blah blah....wao waliijenga Denmark kwa demokrasia na diplomasia? Denmark ilijengwa kwa mijeledi na damu na sio kuleanaleana na kubembelezana.... Hizi issue ya demokrasia mara diplomasia ndio zinalemaza waAfrica na mataifa mengine masikini kwa kudanganywa Mzungu na Mchina atawaletea maendeleo mdomoni ilihali wao hawakuletewa maendeleo zaidi ya kushurutishwa kufanya kazi kwa mijeledi..
crap
 
tuache blah blah....wao waliijenga Denmark kwa demokrasia na diplomasia? Denmark ilijengwa kwa mijeledi na damu na sio kuleanaleana na kubembelezana.... Hizi issue ya demokrasia mara diplomasia ndio zinalemaza waAfrica na mataifa mengine masikini kwa kudanganywa Mzungu na Mchina atawaletea maendeleo mdomoni ilihali wao hawakuletewa maendeleo zaidi ya kushurutishwa kufanya kazi kwa mijeledi..
Mawazo muflisi
 
Back
Top Bottom