DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

Kila mtu atakufa na kuoza. Don’t be afraid of death..you’ll be liberated from it so next time you better learn the art of dying. Learn both ways to win and sometimes to accept defeat. To learn to die is to be liberated from it.
There's a clear difference between accepting death because death is inevitable and dying stupiditly.
 
maxresdefault.jpg
 
Naanza kuamini haya maandamano ya Kenya pamoja na yooote yana mkono wa mtu, kilichokua kinasubiriwa ni Ruto ajichanganye na alipoingia king watu wakasukuma kete. , hivyo basi kundi hilo hilo la mitego limeanza kusukuma kete nyingine muhimu katika mipango yao ili ionekane Ruto anaua watu kwa kisasi hapo sasa maandamano yatazidi na lengo lao litazidi kutimiq, jiulize kama Ruto kakubali kutia mpira kwapani kwanini madogo kila kukicha wanazua jipya?
Ruto anahistoria ya kuua,,kumbuka wakati ule wamepelekwa the League,.Huwa anamakundi maaalumu ya mauaji na kumbuka alisema wote walioharibu Mali za umma ni waharifu.Alitumia vitisho kama vya mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam.
 
Walichofanya sio poa ile ni hasara ya mabillion , haya mambo usipenda kujiweka mbele mbele na conscious za kishamba utapotea .


Kuna jamaa walisababisha mgomo na vurugu pale udsm miaka ya 90's mpaka leo vyeti vyao vina alama kila wanapoenda wanashindwa kusoma Masters , sio wote ila wale walijifanya waratibu wa mgomo kwa kukaa mbele.
Huu uoga ndo umefanya Tanzania tuwe tunaynyasika,,majitu yanaiba fedha za umma tumalala sbb yakupeana uoga.Huu ni ujinga na hizi comment za kijinga sana
 
Namna ya kuyashughulikia hayo "majizi" sio kuvamia Bungeni na kuharibu mali, bali ni kwa njia ya sanduku la "kura".

Tunapaswa kuheshimu "mamlaka" zilizopo. Tukiona Serikali hatimizi matakwa yetu basi tuiondoe kwa kufuata utaratibu ambao ni "sanduku la kura".
Wakati sanduku wanaiba,,acha ujinga.ingekuwa kufuata Sanduku huko bukinafaso..Mali na niger wangekuwa bado kwenye utumwa wa ufaransa
 
Uendeshaji wa Siasa za kiafrica ni mgumu sana. Lakini inaonekana Gen Z hawajui nini wanataka.
Serikali imeshafanya reforms kwa kila hatua lakini bado hawajalifikia lengo ni kama kuna kitu kinatafutwa.
1. Financial bill haikusainiwa.
2. Cut down government expenditure
3. Vyombo vya dola havitumii nguvu mpaka waandamanaji wanataka kuimba nao hozambe.

Kubwa zaidi kavunja baraza la mawaziri.

Siasa inahitaji akili nyingi sana. Kama hayo yanayofanyika kama anafanya Ruto angewaminya kimyakimya na usipatikane hata mfupa wao. Lakini kuweka wazi hivyo kuna political conspiracy .
Serikali imeumia kulazimishea kuondoa bill lakini inawaua walioandmana..Sasa unataka wapoe kwa lipi ?kumbuka serikali husika ina wezi wakubwa
 
Mkuu umetoa mfano ambao sio relevant. JPM alikuwa Rais, alijitoa akiwa kama Rais. Baada ya kufariki familia yake inatunzwa, inalindwa na Mke wake kila mwezi anapokea 80% ya mshahara wa JPM pamoja na marupu rupu mengine.

Turudi kwa akina sisi tusiojulikana na system. Ujitoe muhanga kwenye maandamano, upigwe risasi ufe, lakini maandamano yalete tija mabadiliko yatokee. Je, ni nani atakayekukumbuka? Ni nani atakayewatunza watoto wako na Mkeo?

Nikupe mfano mzuri, kule Tunisia walikufa watu kwenye maandamano yaliyoleta mabadiliko ya Serikali, baada ya mabadiliko hao waandamanaji walio kufa familia zao zimepata nini?

Je, Serikali iliyopo madarakani imewakumbuka kwa kuzijali familia walizoacha??

Jibu ni dogo sana, "hakuna anayewakumbuka". Wamesahaulika katika makaburi ya "sahau".

Ndiyo maana nimeuliza tena, unaandamana na kupoteza maisha kwa faida ya nani????
Wewe kama huwezi Nyamaza,,usizani Kenya wanaendelea kwa kupitia njia Rahisi,Odinga mwenyewe alifungalwa na kunyanyswa sana lakini taifa likakombolewa
 
You must be insane to think and condones violence as the best approach to tackle political and economical obstacles.
Whats The best ways of tackling the so called Political And economical Obstacles??
Is it not Confrotation to the Ruling Group so to see that the Ruled Group are awaking?

And Confrotation doesnt alwayz brought violence so who brought it?

As per my Knowledge hakuna mwananchi anaye anzisha what so called violence ila ni watawala baada ya kutumia nguvu kuwatawanya Waandamanaji na wao inabdi watumia nguvu kufikisha ujumbe wao..

Uliona Tanzania walipoandmana Chadema Kulitokea Violence unajua kwanini?
Mtawala hakutaka Kuminyana na Wananchi aliwaachia watimizie adhima yao..

Hakuna Mtu anayependa Violence itokee na wala hakuna mtu anayependa kufa ila kuna muda ukifika watu huona Liwalo na Lile..

Mwalimu nyerere aliwahi kusema na nitaweka nukuu zake chache ili ujifunze kabla sijaingia Deep kwenye Political science kukuelewesha kitu...

"Amini nawaambieni enyi waswahili wachache
mnaotawala, mnaamini kweli mtawaongoza

watanzania kwa lazma wakati wamepoteza matumaini na mtegemee watakaa kwa amani na utulivu?
Amani ni zao la matumaini. Pindi matumaini yanapotoweka kutakuwa na vurugu katika jamii. Nitashangaa kama hawa watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? Nananchi wanapopoteza matumaini unajenga volcano. Volcano hii italipuka siku moja, labda kama watu hawa ni wajinga. Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe".
(Nukuu ya kwanza ya Hotuba ya mwalimu nyerere)



Pia aliwahi kusema..

"Nawaambieni na msikilize kwa makini: UTIl ukizidi sana unakuwa WOGA. Mara zote utii huzaa unafiki na kujipendekeza. Sasa nyinyi watumishi wa umma kwa wingi wenu kama mmeshindwa kupiga kura kuondoa viongozi dhalimu, bora mfe tu"
(NUKUU YA PILI YA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE)

Pia aliwahi kusema:- (naomba hii niiandike kwa maandishi ya Kijani kabisa ili uione)

"Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na nawahurumia Watanzania watakaoiona siku hiyo! Na ole wao watakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na kusali kuwa siku hiyo kamwe isifike"
(Nukuu ya Tatu kwako ya mwalimu Nyerere)



Swali kwako Nani aliyekuwa na Machungu na Nchi hii kati yako na Nyerere???
 
Sasa angalia ujinga huu,mtu kaacha masomo kaenda kukimbia kimbia mtaani na kufanya fujo.
Haya sasa unakufa unaacha majonzi kwa nduguzo.
Hao viongozi wako palepale.
Watz tunaonekana mandezi,hapana ila watu wanaelewa thamani ya uhai wao.
Badala kupoteza muda kumpigia kelele rais ajiuzuru wanatafuta ugali wao
Mnaolamba asali ndo mnaleta comment za kindezi kama hizi.Ndo maana wafanyakazi wa TRA na mawaziri wanatuibia lakini hatua hazichukuliwi
 
Behind the seen unaweza kuta kuna watu wanataka maandamano yaendelee sasa wanatafuta hasira za umma hii inakuwa ngumu na wengi wanakamatika
Kwa mauaji hayo lazima maandamano yaendelee sbb Mh Rais alisema kwa kinywa chake kuwa waliovamia bunge na sehemu zongine ni waharifu..Sasa awaambie wakenya kama haki Yao ilikuwa kuuawa badala ya kupelekwa mahakamani.Akishindwa kusema basi aondoke madarakani.Ruto anajulikana kwa kuwa na magenge maku WA ya mauaji
 
Unavamia ofisi za Bunge, unaharibu vitu halafu unaji post kwenye mitandao. Hiyo ni dharau kubwa kwa ofisi ya Bunge hawawezi kukuacha salama.

Utashughulikiwa tu. Kila kitu kina gharama zake, ukifanya kitu cha hovyo lazima ujiandae kulipia gharama.

Swali, unakufa kwenye maandamano kwa faida ya nani?????????????????
Swali, unakufa kwenye maandamano kwa faida ya nani?????????????????!
Hawa tunaowaita mashujaa na tunawajengea minara walikufa kwa faida ya nani! Kama si ya kwetu kwanini tunawasifu na kuwakumbuka?
 
Basi tuishi kimbuzi tu hamna namna hilo sindio unasisitiza. Tutegemee kudra za Mungu haki iendelee kutolewa kwa hisani sababu unaogopa utakufa. Ishi kitumwa sababu ya kuogopa risk sio kila anaendamana atakufa. A man who fears challenges
Aina ya mitizamo 'mindset' ya huyo jamaa ni ile ya kitumwa enzi za kufungwa minyororo....sikufikiria wala kudhani kwamba watu wa aina hii bado wana exist.
 
Napinga watu kuuawa ndio maana nawashauri vijana wasishiriki maandamano ili wasije poteza uhai kizembe.

Serikali yeyote ile duniani ikikuona wewe ni "tishio" kwa uwepo wake itakushughulikia kwa namna moja au nyingine.

Waliosoma CUBA wamenielewa.
Nonsense
 
Back
Top Bottom