Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

Ila to be honest, ni mtu wa kuthubutu kafanya makubwa kwa age yake hata kama hayamletea matokeo.

Alishawahi kupokelewa kwenye mkutano mkubwa na Kinana na Nape wa CCM. Ingekuwa awamu hii ya machizi, probably angekuwa mkuu wa Mkoa.

Aligombea ubunge Lushoto 2010 enzi hizo ndiyo vijana wameanza kuwa moto na mageuzi. Huwezi kuitaja BAVICHA Tanga bila kumtaja jamaa.

Alikuwa kiongozi wa vijana Taifa ( NCCR Mageuzi ) na mjumbe wa Mkutano mkuu na pia kabla hajafungwa alikuwa ni mwalimu Mkolani.

Ni vijana wangapi wenye uthubutu wa aina hii nchi hii ??

Sema tu jamaa ni sijuo amechezewa, ameshindwa kabisa kutunza anachokipata.
Hapo siwezi kukupinga mkuu,kuhusu swala la uthubu yuko vizuri sana na angeweza kuwa sehemu kubwa tu.Kuna wakati alianza kufanya vitu vya ajabu mpaka nikahisi labda kachezewa akili.

Nilipokuwa general Manager SUMA lake zone, niliwahi kumuita ofisini tukapiga story mbili tatu, huku lengo ikiwa ni kumuonya kuhusu swala la kuikashifu serikali bila kujilinda kwa namna yoyote ile, baada ya pale nikaja kusikia kijana kakamatwa.

Nafikiri kwasasa kichwa chake hakiko vizuri, hasa nikiangalia vimbwanga anavyokuja navyo kila siku.
 
Jamaa anajitahidi. Mimi nilimshauri kama anataka kweli kupta pesa kwenye Muziki, aimbe Kisukuma.

Anaweza kuchangana na Kiswahili.

Kanda ya Ziwa, mzunguko wa shows kwa nyimbo za aina hiyo ni mkubwa.

Na kuna Wasanii kibao kama kina BK Sande, Bhudagala, Mchelemcheke, Ya Leo kali, Lady Killy,

Tatizo lake anavunga Chris Breezy, anaimba Kiingereza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bhudagala maana yake nn mkuu. Hilo jina la msanii ni noma[emoji23]
 
Jamaa anajitahidi. Mimi nilimshauri kama anataka kweli kupta pesa kwenye Muziki, aimbe Kisukuma.

Anaweza kuchangana na Kiswahili.

Kanda ya Ziwa, mzunguko wa shows kwa nyimbo za aina hiyo ni mkubwa.

Na kuna Wasanii kibao kama kina BK Sande, Bhudagala, Mchelemcheke, Ya Leo kali, Lady Killy,

Tatizo lake anavunga Chris Breezy, anaimba Kiingereza 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 ila unaonaje yale mauno ya yule manzi kwenye shake body kweli Don Nalimison alitoka salama pale.
 
alishaweka docs za hospital alizopimwa na kuonekana ni mzima hana tatizo la akili

tatizo alilonaloni la maumbile yakekua madogo kama ya mtoto wa darasa la pili na anasubiri dawa alioiagizia ifike, bahati mbaya uzi ule mods wakaufuta.
Huyu alikuwa na Kesi Mahakamani ilimpata kule FESIBUUK
Katoboa?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuwasilisha maombi ya ubody guard kwako msanii mkubwa don kama don. Ninao uzoefu wa miaka 10 kazini
 
View attachment 1696853
Mpaka sasa taarifa inayotambaa na kutrend mitandaoni ni inshu ya msanii wa kizazi kipya Don Nalimison maarufu kama Deo Kisandu kuachia album yake iliyopewa jina ANTIBIOTIC ALBAM.
Baada tu yakutangaza ujio wa albamu hiyo wachambuzi wakubwa wa muziki waliwaonea huruma wasanii kadhaa wa bongo fleva waliotoa albamu zao hivi karibuni kuwa walifanya vibaya kutoa albam kipindi kimoja na Kisandu wasanii hao ni Harmo, Rayvann na Darasa na wengine wakishauriwa kuacha kutoa albam zao mpaka Kisandu akimaliza mwaka sokoni.
Albamu hiyo inabeba mambo kadhaa ikiwemo maisha ya jela, mahusiano na mtoto wa rais(Malia Obama), mitandao ya kijamii na maisha ya siasa.
Stay tuned kupata taarifa hapa hapa JF
Alishasilimu na kuanzisha dini yake?/
 
Watapata tabu sana

Nasema watapata tabu sana
 
View attachment 1696853
Mpaka sasa taarifa inayotambaa na kutrend mitandaoni ni inshu ya msanii wa kizazi kipya Don Nalimison maarufu kama Deo Kisandu kuachia album yake iliyopewa jina ANTIBIOTIC ALBAM.
Baada tu yakutangaza ujio wa albamu hiyo wachambuzi wakubwa wa muziki waliwaonea huruma wasanii kadhaa wa bongo fleva waliotoa albamu zao hivi karibuni kuwa walifanya vibaya kutoa albam kipindi kimoja na Kisandu wasanii hao ni Harmo, Rayvann na Darasa na wengine wakishauriwa kuacha kutoa albam zao mpaka Kisandu akimaliza mwaka sokoni.
Albamu hiyo inabeba mambo kadhaa ikiwemo maisha ya jela, mahusiano na mtoto wa rais(Malia Obama), mitandao ya kijamii na maisha ya siasa.
Stay tuned kupata taarifa hapa hapa JF
Sawa promoter tumekuelewa
 
Hatua nzuri.
Hongera zimfikie
 
Nilikua simfaham ila kwa huu Uzi ikabidi nikamsake utube. Aisee kwa yale magoma kweli akna darasa wajipange
 
Mwambie atumie dawa za kutoa mapunye Kwanza uko kwingine ni kugumu Sana.............
 
Hapo siwezi kukupinga mkuu,kuhusu swala la uthubu yuko vizuri sana na angeweza kuwa sehemu kubwa tu.Kuna wakati alianza kufanya vitu vya ajabu mpaka nikahisi labda kachezewa akili.

Nilipokuwa general Manager SUMA lake zone, niliwahi kumuita ofisini tukapiga story mbili tatu, huku lengo ikiwa ni kumuonya kuhusu swala la kuikashifu serikali bila kujilinda kwa namna yoyote ile, baada ya pale nikaja kusikia kijana kakamatwa.

Nafikiri kwasasa kichwa chake hakiko vizuri, hasa nikiangalia vimbwanga anavyokuja navyo kila siku.
Hajawahi kukamatwa lakini kwasababu za kuikosoa wala kuikashfu serikali.

Alikamatwa kwa mambo yake binafsi tu, kwa kuandika maneno Facebook yasiyo na tasfida
 
Back
Top Bottom