Deo Kisandu kafungwa jela?

I don't buy the story, waulize waliokaa jela kama unaweza kuthubutu kumpeleka ndugu yako jelar kwa sababu yoyote ile.
 
Ni kweli Kisandu aliwekwa ngome ,akatoka .Kwa sasa akili haiko sawa ni wakufungwa kamba .Na haeleweki anapatikana wapi.Hizi taarifa kanipa bro mmoja wa maskani huko.Nikirudi likizo ntafatilia zaidi.Huyu homeboy kasoma na wajomba zangu .Inasikitisha sana.
 
 

Attachments

  • Screenshot_20211123-125139.png
    130.7 KB · Views: 8
Alifukuzwa kazi mwaka 2017 nadhani na akashtakiwa kutukana mtandaoni Facebook, akafungwa miaka mitatu, 2020 alitoka ndio kafungwa tena 2022 miaka Saba kwa kumtangaza mama yake mchawi baada ya kikatazwa kuuza kitanda alocho kua analalia kwa mama yake
Wanaosema kuwa alifia gelezani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…