Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Zimejaa Ccm TeleTatataka kama hizo ni za kutupa jalalani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimejaa Ccm TeleTatataka kama hizo ni za kutupa jalalani tu
Wakina Deo Ndiyo Turufu Ya CcmAkina DEO bwana, cjui wapoje???
Mizigo Ya CcmHuyo Mzee Zezeta sana.
Huyu hafai kwa lolote mbona sasa anamsema vibaya?MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Mimi nasema aongezewe moto huko jehanam"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.