Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Akatupwa HukoAkaja Simba Sport kugombea Uwenyekiti nako kagaragzwa na Mangungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akatupwa HukoAkaja Simba Sport kugombea Uwenyekiti nako kagaragzwa na Mangungu.
Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.
Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.
Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Ila mkuu ubunge kama ukijipanga vizur hata ukiukosa njaa inakuwa mbali na wewe.Wanamiezi 3 wapo pale wanalipana posho tu bado mshahara usiopungua milion8.Anaitwa Juma Nkamia Watu Wa Kondoa Waliona Mbali Wakamtema
Asante Mkuu brazaj, matendo ya Mwendazake yalikuwa na dalili zote kuwa amekengeuka na roho yake ilikuwa mbioni kwenda jehanamuSijui huyu Deo na mamburula wenzake kama walipata wasaa wa kukusoma:
"Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele."
Heshima kwako mkuu.
Covid haijaona msosi wake huu hapa?.
Mawazo ya mwanadamu si ya Mungu
Halafu COVID-19 jamani inachukua watu wazuri tu inatuachia haya matakataka? Zee pumbavu sana hili! Halafu Magu na yeye anauchuna tu bila kuwakaripia? Hatutaruhusu upumbavu huo, yeye amalize miaka yake tu atembee tunajua imebaki miaka minne tu full stop!
Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.
Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.
Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Mitano tena huko alipo.Hakowapi sasa yaani watu walifikia hatua ya kujitoa ufahamu kiasi kikubwa namna hii hili ni jana la Taifa
Ngoja wasiompenda waje,utajuta kwa hizo comment zao
Asante. Vipi huko?Heshima kwako mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
Kwann akatae? Haiwezekaniii!!! Atake asitake tutamuongezeaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.