Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
YAMETIMIA, soma mstari wa mwisho hapo juu
 
Nadhani hii hoja imekufa kifo cha kawaida; ila kwa speed waliyokuwa nao hawa ndugu ilikuwa siyo rahisi kuizuia. Haya kazi iendelee sasa!
 
Tulikuwa tunasisitiza na bado tunasisitiza umuhimu wa kujenga taasisi imara na siyo mtu imara, John alijijenga yeye mwenyewe matokeo yake kauli za yeye kutawala milele zikaanza.

John alidhoofisha taasisi zote ndani ya nchi, zikafanya kazi kinyume na utaratibu, maneno yake yakawa ndiyo sheria. R.I.P Kiongozi katili kuwahi kutokea ndani ya nchi yetu nzuri tuliyopewa na Mungu.

1620911219144.png
 
Nyerere alisema tuna Maadui watatu ila mimi nasema huyo mmoja UJINGA ndio Kiongozi wa Maadui wengine.
 
Na "sisi" tunasema kwa kuwa amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais, tunataka aongezewe muda wa kuishi hata kama hatma yake imefika, tusikubali aondoke na kutuacha yatima.
[emoji16][emoji16][emoji16]mbona mara ukawa yatima tena
 
Walikula ya mbuzi sasa wameoteshwa mapembe pumbavu zao. Haya wakamuongezee huo muda sasa! Mimi nilijua wana uwezo wa kushikilia pumzi yake ili isitoke kumbe vipimbi tuu!
 
Juma Nkamia ni fungu la kukosa. Ametoka kakosa Ubunge pamoja na kujifanya kumwabudu Mwendazake. Akaja Simba kugombea Uwenyekiti akapigwa chini na Mangungu
Fuatilieni. Huko aliko atakuwa taabani. Mnafiki unaweza kupata mafanikio ya kipindi, lakini siyo ya kudumu.
 
Back
Top Bottom