Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Post yangu ya tarehe 3 February 2021 wakati Deo Sanga anasema Magufuli aongezewe muda wa kutawala. Soma mstari wa mwisho hapo juu. YAMETIMIA
 
Nashangaa kumlamba ngede mwanaume mwenzako ili ule ni aibu as a man having both brain and arm muscles you shouldn't do it.

Ina mana kwani Huyo ndo akili kuliko Taifa zima. Let us assume akitokea akachukuliwa na aliyemleta duniani do you think kuwa life halitaendelea kweli kwa Watanzania.

Ila ccm INA mwisho wake.
Mmh we jamaaa[emoji848][emoji848]
 
Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Duuuuh[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT

Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Dua ya Kifo hiyo Samia watu kama hawa awafute tu uanachama... Viapo wao wanavichukulia poa tu
 
Nashangaa kumlamba ngede mwanaume mwenzako ili ule ni aibu as a man having both brain and arm muscles you shouldn't do it.

Ina mana kwani Huyo ndo akili kuliko Taifa zima. Let us assume akitokea akachukuliwa na aliyemleta duniani do you think kuwa life halitaendelea kweli kwa Watanzania.

Ila ccm INA mwisho wake.

Swali lako linaakisi hali iliyotokea.
 
Amen 🙏🏾 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hakika Mungu ni wa ajabu. Sifa na ukuu wake hazina mfano. Hakuna ajuaye kesho. Mungu akatuongoze daima tujue kujipimia kwa kiasi na kwenda bila kiburi
 
Duh! Mkuu umeongea kama Lema vile na kweli ulichokisema kimekamilika.
Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
 
Umeandika kwa hisia sana! ^Hakuna Katiba iliyo juu ya maslahi ya umma^


Nimekuelewa sana

cc:
UFIPA
BAVICHA
KAMBI RASMI YA UPINZANI
MR HEAVY
MR FARU J
MR ^MEEEEN^
MR ^MURA^
MR MUSIC
MR BISHOP
MS SAUTI YA Z
MS EM
MS EB
Copy yako imepokelewa kikamilifu hapa Ufipa.
 
Back
Top Bottom