Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uliona mbaliHaya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.
Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.
Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Kwani huko aliko si kuna watz kbao au yy ypo kweny wallsSawa tutamuongezea muda
Kule kampeni badoKwani huko aliko si kuna watz kbao au yy ypo kweny walls
Dah kwa sasa tutumie tu iyo iyo kumuenzi "mitano tena"Wale wa mitano tena [emoji2772]sasa hivi tuweke kauli mbiu gani jamani[emoji849][emoji849]
Mweee...Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.
Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.
Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
kampeni meneja yupo uku ss....Kule kampeni bado
Aisee!kampeni meneja yupo uku ss....
haki ya nani tena, nakuambia au ndo yy anasubiriwa ili kampeni zianze?Aisee!
Mmmmh ila kweli maana hata maalim seif alishatanguliahaki ya nani tena, nakuambia au ndo yy anasubiriwa ili kampeni zianze?
japo nakmbka meneja alisema kuwa hata asipopiga kampeni yy anpt tu.......nahc ndo mana kamwacha atangulie mwnyweMmmmh ila kweli maana hata maalim seif alishatangulia
Inauma sana 😭 😭 😭japo nakmbka meneja alisema kuwa hata asipopiga kampeni yy anpt tu.......nahc ndo mana kamwacha atangulie mwnywe