Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Mkuu uliona mbali
 
Haya mazee ya Darasa la 7 ndiyo hayajitambui kabusa. Na ndiyo yamejaa kwenye bunge hili. Full kujipendekeza ili kuficha madhambi yao kwenye biashara zao.

Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele.

Kuna kitu kitatokea kabla ya 2023, sisi tupige magoti tuzidi kuomba.
Mweee...
 
Tulikuwa tunasisitiza na bado tunasisitiza umuhimu wa kujenga taasisi imara na siyo mtu imara, John alijijenga yeye mwenyewe matokeo yake kauli za yeye kutawala milele zikaanza.

John alidhoofisha taasisi zote ndani ya nchi, zikafanya kazi kinyume na utaratibu, maneno yake yakawa ndiyo sheria. R.I.P Kiongozi katili kuwahi kutokea ndani ya nchi yetu nzuri tuliyopewa na Mungu.
 
Back
Top Bottom