Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
As you think dully.Haya ndiyo vitu sisi tulikuwa tunazitaka sasa! Hongera sana Bunge letu. JPM is going nowhere. ^We will be back in some form^ ~ Donald Trump.
CCM yetu imekuwa ya ajabu sana wazee wa chama walikuwa juu ya mamlaka zote za chama lakini leo hii mwenyekiti amekuwa juu ya kila kitu wazee wa chama wamekuwa wanyonge kabisa powerless mimi namuomba rais wetu aitii katiba yetu matakwa ya hawa wabunge waliopita kiwepesi safari hii kwa ajili ya utumishi wako ulio bora kwa wananchi yapuuze isipokuwa tuwekee rais atakaye endeleza yale mazuri uliyoyaanzisha ikikupendeza tulee bwana mdogo jaffo kijana wa majohe hana makuu mkimya mswalihina mpenda watu allah amtunzie weledi wake asije kubadila insyallah"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga...
MnooooHii nchi kuna wajinga wengi sana[emoji23][emoji23]
Mwenyewe atajitokeza na kujidai hataki wakati ndiyo Mpango wenyewe.Mipango haramu imeanza!
Eleza basi uonyeshe kampeni ya JPM kuongoza maisha maana yake kwenye maelezo yako hayajitoshelezi sanasana ni malalamiko.Ile kampeni ya kuongza nchi mpaka kifo kitakapomchukua imeanza rasmi Jana...
Fatilia hotuba ya mbunge Jana wa ccm akimpigia debe bungeniEleza basi uonyeshe kampeni ya JPM kuongoza maisha maana yake kwenye maelezo yako hayajitoshelezi sanasana ni malalamiko.
Kuliko ya chademaa...huoni aibu..kusemaAlly Kessy Ndiyo Kamuachia Majukumu Hayo
Mambo Ya Ccm Ni Magumu Yanatia Kinyaa!!😏😏
Kwa kumwangalia huyu mzee unafikiri anaweza kuwa na akili ?"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga...
Hawa majitu majinga making sijui wananchi huwa wanawachaguwaje Yani? Hivi makambako ndiyo kwa kuongozwa na mtu wa hivi"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga....