Black Ni racist Sana ... Sasa ulitaka furry apigwe kisa rangi ... LolWilder kapigwa kama mbuzi! Nimesikitika sana mtu mweusi kupigwa na mzungu!
Sasa mbona Huyo Klitschko alipigwa na furry vibaya Sana au wewe sio fan wa ndondiHuku heavy weight hakuna kitu kabisa.
Nimeangalia pambano la hao jama, kisha nikarudi kuangalia la kwanza nimeamini hakuna mpiganaji wa heavy weight wa maana zama hizi. Kuna yule anaitwa AJ ndio hakuna kitu kabisa.
Uingereza wapigaji ni Lenox na Haye tu, ila hawa kina AJ, Dereck Chisora, Fury, sijui nani hakuna kitu.
Zama zangu ngumi zimeishia kwa kina Vitali Klitchiko.
Utakuwa una lako wewe mtu kapigwa mdomo umevunjika... Sikia limeathirika mpaka post fight conference hajatokea kwa kukimbizwa hospital unakuja kusema Hakuna ngumi siku hizi... Au ulitaka afie kwenye ringMpambano mbovu sijapata ona! Masumbwi waliondoka nayo wakina Lennox Lewis, Evander Holyfield na Mike Iron Tyson
Alipigwa kuanzia round ya kwanza , kocha wake alitupa towel mkuuMkuu wilder alishapoteza pambano round ya 3 baada ya kupigwa ngumi ya sikio na kuanza kuvuja damu, akawa hana balance tena
Sema nilichoshangaa ni team yake kuendelea kumuacha jamaa apambane wakat wanaona ana hali mbaya kishapoteza angeweza ata kufa jana ndo maana refa aliamua kuingilia kati baada ya kuona jamaa anazidi kuwa hoi
Wewe ndio racist. Mimi mawazo yangu mweusi ni stronger than white man. Ndio maana michezo mingi ya manguvu weusi wanaongoza.Black Ni racist Sana ... Sasa ulitaka furry apigwe kisa rangi ... Lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Lionel Messi ni mweusi ... Ronaldo ni mweusi .... Furry ni mweusi ???Wewe ndio racist. Mimi mawazo yangu mweusi ni stronger than white man. Ndio maana michezo mingi ya manguvu weusi wanaongoza.
Wewe kichwa maji. Peleka stress zako huko!Lionel Messi ni mweusi ... Ronaldo ni mweusi .... Furry ni mweusi ???
Kombe la dunia timu ngapi za weusi zimechukua ???.... Michuano ya Madola nchi za weusi huwa zinachukua tuzo ngapi ???
Wewe ni Pure racist full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona uko period , angalia usipate mimba ya baba kutoka Jamii forum...Wewe kichwa maji. Peleka stress zako huko!
Baghosha...Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa
Ogopa sana eneo ambalo linaitwa kwa malikia baraka zipo za kutosha aisee
Ni ngumu sana kuiangusha English land hata ufanyeje na ni ngumu sana kumuangusha mtu yeyote kutoka England
Kwa kifupi England ndo mabeberu
Kuanzia football England ndo nchi ambayo league yake inatizamwa na kupendwa zaid ulingwenu
Mimi kama beira boy ingawa natokea nyampande lakini najivunia sana kuwa mtoto wa malikia, LONDON BOY
Hahahaaaa yaan wilder kachakazwa kama mtoto wa la kwanza hahahhahaaaa You know limubebez,limobomba nyenyeye hahahahhaaaa
Nacheka sana wapi Hance Mtanashati
England juu na tutaendelea kuwa juu hata mkiroga na ufalume hautaanguka daima
LONDON BOYView attachment 1368338
Sent using Jamii Forums mobile app
Baghosha...
Unasifia Uingereza halafu unaweka bendera ya Marekani. Wasukuma sijui tunakwama wapi jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
imenibidi niondoke eneo la tukio maana ninaweza kuonekana mwehu kwa kicheko cha leoBaghosha...
Unasifia Uingereza halafu unaweka bendera ya Marekani. Wasukuma sijui tunakwama wapi jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Hahahaaaaa si unajua mashikolo mageni haya nkoyBaghosha...
Unasifia Uingereza halafu unaweka bendera ya Marekani. Wasukuma sijui tunakwama wapi jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mtuhurumie tu jamani kwa sababu hakuna namna [emoji16][emoji16][emoji16]imenibidi niondoke eneo la tukio maana ninaweza kuonekana mwehu kwa kicheko cha leo