Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa
Ogopa sana eneo ambalo linaitwa kwa malikia baraka zipo za kutosha aisee
Ni ngumu sana kuiangusha English land hata ufanyeje na ni ngumu sana kumuangusha mtu yeyote kutoka England
Kwa kifupi England ndo mabeberu
Kuanzia football England ndo nchi ambayo league yake inatizamwa na kupendwa zaid ulingwenu
Mimi kama beira boy ingawa natokea nyampande lakini najivunia sana kuwa mtoto wa malikia, LONDON BOY
Hahahaaaa yaan wilder kachakazwa kama mtoto wa la kwanza hahahhahaaaa You know limubebez,limobomba nyenyeye hahahahhaaaa
Nacheka sana wapi
Hance Mtanashati
England juu na tutaendelea kuwa juu hata mkiroga na ufalume hautaanguka daima
LONDON BOY