ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kweli hakuna TYSON mjinga duniani, hiki kipigo ni cha mbwa mwiziView attachment 1367039
Anachonga sana, wakati ni bondia wa kawaida sana, halafu hana adabu.
Ana bahati sana refa kamuokoa angeachwa hadi round ya 8 angekufa kudadeki zake!
Bado kimbelembele mwingine anaitwa Antony Joshua, siku zake zinahesabika .