Mkuu unaweza shangaa ila bado nasoma .. ningekuwa nimemaliza miaka mingi sana ila hii hali ilinichelewesha. Wenzagu karibia wote tayar wameajiriwa na wana maisha yao. Naamini na mimi siku moja nitamaliza piaUlitakiwa upate na folic acid na wangekuongezea muda wa kulala kwa amytriptiline. Hapo pia, ungepata na sehem ya kupoa na kusocialize na watu wazuri wanaofariji na kukufanya kua active hasa kiuchumi na kijamii kwenye michezo, burudani, mipira.
Unafanya kazi gani?
Ahsante mkuu ngoja niisave hii nambaPole sana mkuu
Mtafute huyu atakusaidia
+255788522337
Ahsante sana mkuu.. tuzidi kuombeanaPole sana
Nashukuru sana mkuu .. nitajitahidi kusoma ushauri wote chanya na nitaufanyia kaziPole sana Mkuu, Mungu asikuache na usiache pia kufatilia Kuna member wawili hapo mwanzo wapo tayari kukusaidia.
Mkuu mimi ni mwanafunzi wa kada ya afya.. bado napambana na kitabu.. ila nakushukuru kwa ushauri wako mzuri .. chanzo nimekieleza tayar kwenye nyuzi hii hiiUna kazi au shughuli ya kukuingizia kipato. Depression sio ugojwa ni dalili za tatizo au matatizo yaliyo shindikana kutatuliwa. Kutibu dalili bila kujuwa chanzo cha tatizo hakuwezi kuponya tatizo. Swali la kujiuliza nini chanza cha depression. Mfano chanzo kinaweza kuwa kutoridhika hali yako ya maisha . Hali ya maisha mara nyingi inahusisha vitu vingi ikiwemo aina ya kazi, biashara, au shughuli inayo kuwezesha kupata kipato. Pia inahusisha mahusiano ya familia na jamii inayo kuzunguka. Hivyo ni baadhi ya maeneo ambayo unahitaji kushughulikia kabla ya kutumia dawa.
Ahsante sana mkuu . Tuzidi kuombeana . Duniani kuna mambo mazito sana .. tunahitaji kutiana moyo sanaPole sana mkuu
Ahsante sana ndugu yangu, kiukwel hata wazazi hawajawahi kunielewa kuhusu hali yangu.. wakati mwingine hata jamii inaona nafanya makusudi.. nashukuru sana kwa ushauri huu mkuuPole sana ndugu yetu, hii hali uisikie tu kwa wenzako, naamini hapa utaipata msaada na usipuuzie kabisa.
Katika pita pita zako za maisha lazima kuna mambo umeyapitia na ndio chanzo, Kuna kushindwa kwa baadhi ya mambo na unashindwa kukubaliana na hiyo hali.
Kwanza kubaliana na kila badiliko au anguko la vitu ambavyo hukutarajia kukutokea, kumbuka hata unaowataminia au unachokitamani kiwe kilishawahi kupitia magumu.
Jichanganye na watu wennye maono na fanya Ibadan sana kwa imani yako.
Mwisho ukiweza badilisha mazingira, hama mji ukutane na watu wapya.
Pole sana naona watu wanawahi kutoa ushauri bila kujua mtoa mada ana depression ya nn kitu gani kinamtatiza kikijulikana ndyo aelekezwe afanye nn pole sanaTangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Pole kwa changamoto, tenga muda wa kufanya mazoezi ya mwili yale ya kungfu huku ukifanya meditation at the same time yanasaidia sana ku control emotion zako.Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Kama unajua huna siku nyingi za kuishi na unajua shida ni depression basi R.I.P. Ninachojua mtu anayejua chanzo cha tatizo pia utatuzi anao pia Kwaheri. Wacha kudekadeka JF, jisimamie mwenyewe kwani maisha yako ni wajibu wako, wala siyo wajibu wa wazazi wako, ndugu zako, marafiki zako au JF members. π‘π‘π‘π‘Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Wee unajua depression ilivyo au kwakua unaiskia tu redioni na Tv ndo unaona anadeka!?.Kama unajua huna siku nyingi za kuishi na unajua shida ni depression basi R.I.P. Ninachojua mtu anayejua chanzo cha tatizo pia utatuzi anao pia Kwaheri. Wacha kudekadeka JF, jisimamie mwenyewe kwani maisha yako ni wajibu wako, wala siyo wajibu wa wazazi wako, ndugu zako, marafiki zako au JF members. π‘π‘π‘π‘
Hapa ndo ninapopataka. Kama akili haifikirii sawa sawa, amejuaje ana depression Hadi akaja kuandika JF?! Hebu tuache utani ya kutafuta kiki kwenye mitandaoWee unajua depression ilivyo au kwakua unaiskia tu redioni na Tv ndo unaona anadeka!?.
Ukiwa na depression akili haifanyi kazi, huwezi kufikiria sawa sawa, unaona kama huna haki ya kuishi tena, Dunia Yako imesimama, unakuwa na mawazo hasi,, angalau yeye ameweza kujishkilia akasema shida yake ambapo ni hatua katika uponaji wake, wengi hujabeba moyoni maoni Yao na wanajikuta wanafanya maamuzi yasiyo sawa ( kujiua). Kama huna msaada chanya wa kimawazo katika shida za wengine ni busara kukaa kimya.
Mtu ana depression nawewe unamuongezea mawazo hasi. Mnaboa kweli watu msio na busara na hekima.
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako ya mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Kwani umeskia depression ni ukichaa!?. Ukiwa na huzuni unajuaje kuwa unahuzuni!?.Hapa ndo ninapopataka. Kama akili haifikirii sawa sawa, amejuaje ana depression Hadi akaja kuandika JF?! Hebu tuache utani ya kutafuta kiki kwenye mitandao
Tafuta CHUMVI YA MAWE kilo 2 hivi ukiipata chota viganja viwili nuizia shida zako kisha itupie kwenye maji ndoo ya lita 10Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana