Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

Kuna watu ni wapumbavu sana mkuu
Wanakera mno
 
Tafuta wataalam ukae nao wakuweke sawa, changamoto tumeumbiwa binadamu
Jambo la kwanza kujua ulimwenguni ni kuwa "changamoto timeumbiwa wanadamu"
Hata ukilimaliza hilo litakuja jingine zito yani maisha yako hivyo ! Pia lolote linalokutokea halijaanza leo lishawatokea watu sana.
Akianzia hapo kidogo itasaidia
 
Mkuu unaweza shangaa ila bado nasoma .. ningekuwa nimemaliza miaka mingi sana ila hii hali ilinichelewesha. Wenzagu karibia wote tayar wameajiriwa na wana maisha yao. Naamini na mimi siku moja nitamaliza pia
Sasa una miaka 27 tu unaangalia maisha ya wenzio. Mm 27 natimiza mwezi wa 3 mwakani na hapa nilipo sina kazi wala geto, hata sufuria sina na nina background ya kusota sana kitaa. Lakini naona ni kawaida tu, kila kitu ni rizki shehe. Kuna vitu vingine unavipenda lakini sio rizki yako, fanya kilichopo kwa nafas yako, usilokuwa na uwezo nalo liache liende
 
Hujanielewa mkuu
 
Jambo la kwanza kujua ulimwenguni ni kuwa "changamoto timeumbiwa wanadamu"
Hata ukilimaliza hilo litakuja jingine zito yani maisha yako hivyo ! Pia lolote linalokutokea halijaanza leo lishawatokea watu sana.
Akianzia hapo kidogo itasaidia
Ahsante sana mkuu.. nimekuelewa sana point yako . Ubarikiwe
 
Mkuu natamani sana kuongea na wewe, naamini experience is a good teacher, nafarijika kuona unaelewa ubawa wa changamoto hii. Ubarikiwe mkuu
 
Kosa kubwa dada yako wa serikalini anafanya ni kukulazimisha Kurudi kusoma. Ilitakiwa akuulize kitu ambacho unaona wewe unaweza kufanya kwa sasa na kikakomboa kiuchumi
 
Mkuu natamani sana kuongea na wewe, naamini experience is a good teacher, nafarijika kuona unaelewa ubawa wa changamoto hii. Ubarikiwe mkuu
naamini yatapita tu ndugu yangu,..... kikubwa angalia wale uwapendao, then angalau ishi kwa ajili yao,......we need you
 
Mapito uliyopitia ni makubwa ila ukilinganisha na mapito niliyopitia mimi yako hayo ni kama 10% tu au pungufu.

Tatizo lako lilianza na too much expectations then matokeo yakaja tofauti lakini pia kutotimiza ndoto zako za kimaisha.

Dawa ya hili tatizo unalo wewe mwenyewe, tafakari Kisha kubali matokeo.
 
Pole sana kwa mapito unayopitia,ila ipo sababu ya wewe kuwa hai mpaka sasa.
 
Nenda kanisan af jichetue chezaa sanaa ..mda wa kusalii fumba macho Sali Kwa bidii ukitoka utanambia ...
 
Tujitahidi kuwaambia wengine namna ya Kutumia ni nzuri sana
Nakazia .. interact chochote kizur share na wenzio ..Kwa mfano umepata fedha extra jitahid kutumia na wenzako... Hii ni njia ya kutengeneza furaha na aman ya ndanii
 
MUNGU AKUTIE NGUVU AKUPE AMAN AKUPE KUJIAMINI, AKUPE KUKUBALIKA, KUDHAMINIKA , TTUNAPOINGIA MWAKA 2025 UKAWE WA TOFAUTI KWAKO


KAMA HAUSALI JITAHIDI UANZE KUSALI ITAKUSAIDIA NIMEPITA KWENYE HALI HIYO NAELEWA NINI MAANA YA MSONGO WA MAWAZO LKN NASHUKURU MUNGU NIKO NAPAMBANA HAKUNA LINALOSHINDIKANA KWA MUNGU ANZA KUSALI
 
Njoo kwa Yesu utapona Bwana Yesu anasema njoni kwangu ninyi nyote na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha mkaribishe Yesu aje aishi ndani yako hiyo hali utaiona tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…