Derby kati ya waliopo na waliotoka kwenye ndoa VS wanaotaka kuoa

Derby kati ya waliopo na waliotoka kwenye ndoa VS wanaotaka kuoa

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Wanajf habar gani?

Mambo niaje pande hizo. Kazi iendelee na kwingine people powers.

Kimsingi ni kwamba hii vita ni kali

1. WALIO NDANI YA NDOA na WALIOTOKA KWENYE Ndoa
wanasema ukiona mwenzako kanyolewa zako tia maji

-Wengine wanasema wasiwasi ndo akili

- Wengine wanasema akikupenda mama inatosha

- Wengine wanasema huwezi kuujua utamu wa ngoma hadi uucheze

Tu jiulize wakuu? Kama ndoa haina faida ni kwanini (kwenye kipengele cha kuomba kazi lazima utakutana na Ile column ya Marital status either wajue aidha single or Married?

2. Kundi la pili Tunaotaka kuingia kwenye ndoa.

- Wengine wanasema "watoto wenye maadili mazuri mara" nyingi" ni wale wanaotoka taasisi ya ndoa
tunaamini hakuna record yoyote iliyo wahi kuripotiwa 'kuwa ndoa fulani ndio the best kuliko zote" hivo Tunaamini kwamba hapa duniani "Kasoro na changamoto" ni mojawapo ya kurasa/sehemu ya maisha.

Hoja ya msingi "ni kwamba kataa ndoa ni kama wanataka Ile msemo wa" Bora tukose wote" uwe na nguvu sana.

Jiulize we "kataa ndoa "Ile feeling unayokuwa nayo unapofanya kazi na mtu aliye oa! Kuna Ile ya kuamini/trust inakuwepo

Tofauti na unapofanya kazi na mtu ambaye hajaoa! (ingawa kuna baadhi ya kazi zinahitaji watu Wasio kwny ndoa) hazina excuse.
 
1 Wakorintho 7:8-9
Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane: ni heri wakae kama mimi nilivyo. Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
 
Kama ni mwerevu, oa. Kama una hekima, usioe.
images.png
 
KWa upande wangu, ndoa ni tamu sana kwa kila nyaja.
Kıafya:
nina afya imara kabisa mimi na mwenza wangu, na hata ninapogua huwa yupo imara wakati wote hata akiwa kalala akihisi sipo sawa atakuwa na mie mpaka nimwambie pumzika sasa.
Kifedha:
Mahitaji yote yanapatika a na zaidi ijapokuwa sio mwenye uweo mkubwa lakini kila kitu anatimiza bila ya tatizo lolote liwe.
Kuwekana wazi.
Hela yake yote naifahamu ikiingia na ikitoka., na simu ipo wazi wakati wote Ina password kwa ajili ya usalama Ila password yake ninayo. Ama kadi ya benki haina shida wakati wowote.
Kidini:
Yupo vizuri ndio wa kwanza kuamka na kuswali kwa wakati.
KWa jamaa zangu:
Anawapenda wote na yeye wanampenda hana shida nao likizo nyumba inajaa siku zote na yupo na furaha tele na kutoka nao kuwatembeza.
Kusaidiana kazi za nyumbani:
Mara nyingi chai ya asubuhi huwa mkono kwa mkono, lakini anajua kupika vyakula vyote. Anakosha vyombo, anasafisha kitoweo, anafagia, anafuaa nguo zake kwa mashine ila kukunja ndio Mara nyingi mimi. Kiudupi kazi haimshindi hata moja na wala hashindani,
Hapendi mabishano, kelele, visasi, kununanuna. msikivu kwa kiufupi ni mtu anaependa ttuzungumze , safari yoyote ninayotaka kwenda nikihitaji anipeleke hajawahi kunigeuzia shingo. Haijalishi hi ya dakika au masaaa zote yupo tayari ni kukipanga tuuu. Ni maaada mkubwaa sana kwangu ni furaha ni kila kitu.
NAIFAGILIA NDOA 100%.
HE IS MY BEST FRIEND.
MSIOGOPE KUINGIA KATIKA NDOA , UCHAGUZI TUU MKIVHAGUA HAKIKISHEN MMECHAGUANA WATU SWAHIHI
 
KWa upande wangu, ndoa ni tamu sana kwa kila nyaja.
Kıafya:
nina afya imara kabisa mimi na mwenza wangu, na hata ninapogua huwa yupo imara wakati wote hata akiwa kalala akihisi sipo sawa atakuwa na mie mpaka nimwambie pumzika sasa.
Kifedha:
Mahitaji yote yanapatika a na zaidi ijapokuwa sio mwenye uweo mkubwa lakini kila kitu anatimiza bila ya tatizo lolote liwe.
Kuwekana wazi.
Hela yake yote naifahamu ikiingia na ikitoka., na simu ipo wazi wakati wote Ina password kwa ajili ya usalama Ila password yake ninayo. Ama kadi ya benki haina shida wakati wowote.
Kidini:
Yupo vizuri ndio wa kwanza kuamka na kuswali kwa wakati.
KWa jamaa zangu:
Anawapenda wote na yeye wanampenda hana shida nao likizo nyumba inajaa siku zote na yupo na furaha tele na kutoka nao kuwatembeza.
Kusaidiana kazi za nyumbani:
Mara nyingi chai ya asubuhi huwa mkono kwa mkono, lakini anajua kupika vyakula vyote. Anakosha vyombo, anasafisha kitoweo, anafagia, anafuaa nguo zake kwa mashine ila kukunja ndio Mara nyingi mimi. Kiudupi kazi haimshindi hata moja na wala hashindani,
Hapendi mabishano, kelele, visasi, kununanuna. msikivu kwa kiufupi ni mtu anaependa ttuzungumze , safari yoyote ninayotaka kwenda nikihitaji anipeleke hajawahi kunigeuzia shingo. Haijalishi hi ya dakika au masaaa zote yupo tayari ni kukipanga tuuu. Ni maaada mkubwaa sana kwangu ni furaha ni kila kitu.
NAIFAGILIA NDOA 100%.
HE IS MY BEST FRIEND.
MSIOGOPE KUINGIA KATIKA NDOA , UCHAGUZI TUU MKIVHAGUA HAKIKISHEN MMECHAGUANA WATU SWAHIHI
Mkuu
 
Back
Top Bottom