Derby kiingilio tufanye bure. Simba hawaonekani kutaka kuja Uwanja utapwaya sana

Derby kiingilio tufanye bure. Simba hawaonekani kutaka kuja Uwanja utapwaya sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Sisi Yanga huwa uwezo wa kuingia uwanjani wengi hawana. Mara nyingi mpaka iwe bure au kiwango cha chini sana. Sijajua ni utamaduni wetu au ni nini.

Simba wanapenda sana kwenda Uwanjani. This time naona sababu sisi ndo host ni kama wana kamgomo flani. Hawaoneshi kabisa nia ya kuja uwanjani. Na sisi Yanga hali za mashabiki wetu ndo mpaka wapewe pesa na mjomba au n.k

Tufanye pambano liwe bure au angalau kila mwanayanga akija apate tsh 2000 ya nauli. Watu watakuja wengi sana na hatimaye tena watashihudia simba akipigwa bao si chini ya 2.
 
Mbona kuna Makala nyingi na Maneno mengi kuhusu mashabiki wa yanga.

1. Mashabiki wa yanga wengi wao hawakuwa na elimu kubwa(wengi walikuwa ni wajinhga hawana elimu)

2. Mashabiki wa yanga hawana Akili wenye akili ni wawili tu.

3. Mashabiki wa yanga wengi wao ni walala hoi Masikini hoe hae. Pangu pakavu.

BILA KULIPIWA KIINGILIO BILA KUPEWA USAFIRI HAWASAFIRI, HAWAENDI UWANJANI.
 
Mbona kuna Makala nyingi na Maneno mengi kuhusu mashabiki wa yanga.

1. Mashabiki wa yanga wengi wao hawakuwa na elimu kubwa(wengi walikuwa ni wajinhga hawana elimu)

2. Mashabiki wa yanga hawana Akili wenye akili ni wawili tu.

3. Mashabiki wa yanga wengi wao ni walala hoi Masikini hoe hae. Pangu pakavu.

BILA KULIPIWA KIINGILIO BILA KUPEWA USAFIRI HAWASAFIRI, HAWAENDI UWANJANI.
Umepotea njia, yote uliyoyaandika hapa ni mammbo ya mashabiki wa Makolo.
 
Sisi Yanga huwa uwezo wa kuingia uwanjani wengi hawana. Mara nyingi mpaka iwe bure au kiwango cha chini sana. Sijajua ni utamaduni wetu au ni nini.

Simba wanapenda sana kwenda Uwanjani. This time naona sababu sisi ndo host ni kama wana kamgomo flani. Hawaoneshi kabisa nia ya kuja uwanjani. Na sisi Yanga hali za mashabiki wetu ndo mpaka wapewe pesa na mjomba au n.k

Tufanye pambano liwe bure au angalau kila mwanayanga akija apate tsh 2000 ya nauli. Watu watakuja wengi sana na hatimaye tena watashihudia simba akipigwa bao si chini ya 2.
mashabiki wengi wa yanga ni watu wa-uswahilini pengine hawana hata mlo wa siku
 
Mashabiki wa yanga wanapenda kitonga sana
 
Ila hii Mechi imekuja wakat mbaya sana sidhani kama kutakuwa na ushindani maana timu moja ishajikatia tamaa ya ubingwa na pengine wachezaji Wana mgomo pia.
 
Ila hii Mechi imekuja wakat mbaya sana sidhani kama kitakuwa na ushindani maana timu moja ishajikatoa tamaa ya ubingwa na pengine wachezaji Wana mgomo pia.
Wewe ndiye shabiki pekee wa simba uliyejikita kwenye ukweli. Wachezaji wengi wa simba kwenye hizi dakika za lala salama, ni kama vile wanatimiza tu wajibu uwanjani.
 
Ila hii Mechi imekuja wakat mbaya sana sidhani kama kutakuwa na ushindani maana timu moja ishajikatia tamaa ya ubingwa na pengine wachezaji Wana mgomo pia.
Sisi tunapiga tu 5 zingine rekodi zitaendelea kuwepo vizazi na vizazi
 
Hakuna shida wazee wenzenu wa yanga watatuwakilisha vyema.
Akina Mzee Mpili sio?😅

Mzee aliyejipatia umaarufu akiwa kwenye Umri wa Kikokotoo cha Mtumishi wa Umma 😜

Ndiyo maana huwa nasema muendelee kuwa na imani na Wazee, muda wowote tunaweza kutoboa maisha 😅
 
Back
Top Bottom