Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π wazee tunawaamini hadi tunawapa dabiAkina Mzee Mpili sio?π
Mzee aliyejipatia umaarufu akiwa kwenye Umri wa Kikokotoo cha Mtumishi wa Umma π
Ndiyo maana huwa nasema muendelee kuwa na imani na Wazee, muda wowote tunaweza kutoboa maisha π
Tupo vizuri, kwasasa Wazee wa Simba tumejifungia chimbo tunajaribu kupanga Karata zetu vizuriπ wazee tunawaamini hadi tunawapa dabi
Jidanganyeni mrushiwe majiniTupo vizuri, kwasasa Wazee wa Simba tumejifungia chimbo tunajaribu kupanga Karata zetu vizuri
Na dalili inaonesha Yanga atafungwa bao 2 Kwa 1
Ndiyo tupo tunapambana kujaribu kujua wafungaji watakuwa akina nani Kwa pande zote mbili π
Hahaha .......Wazee tupo vizuri Mkuu πJidanganyeni mrushiwe majini
Sikuhizi wanga sio wazee tena n vijana.Hahaha .......Wazee tupo vizuri Mkuu π
Koffi OlomideKwaiyo ile nyomi ya wanainchi day wale huwa mashabiki wa simba
Hahaha.......π πSikuhizi wanga sio wazee tena n vijana.