Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Twiga.jpg
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Septemba 29, 2022 ambapo kwa sasa dereva huyo anapatiwa matibabu chini ya ulinzi wa Polisi kutokana na majeraha aliyoyapata katika tukio hilo.

Tamko la faini limetolewa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara ambapo Twiga aliyegongwa alifariki.
 
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Septemba 29, 2022 ambapo kwa sasa dereva huyo anapatiwa matibabu chini ya ulinzi wa Polisi kutokana na majeraha aliyoyapata katika tukio hilo.

Tamko la faini limetolewa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara ambapo Twiga aliyegongwa alifariki.
Alifariki!? Du mi nilidhani labda alikufa!
 
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Septemba 29, 2022 ambapo kwa sasa dereva huyo anapatiwa matibabu chini ya ulinzi wa Polisi kutokana na majeraha aliyoyapata katika tukio hilo.

Tamko la faini limetolewa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara ambapo Twiga aliyegongwa alifariki.
Kwenye hyo hyo ajali, dereva akimgonga binadamu na kumuua adhabu yake ni kulipa Laki Tano au achague kwenda jela Miaka 3...ndo utajua nani anathamani.


Tembo Aue binadamu, familia itapewa kifuta Jason Cha sh 700000 Nayo Baada ya kupambna sana

Ua tembo hta Kama amekuvamia??? Kifungo Miaka 30
 
Pole mno kwa dereva aliyepata ajali hii, Mwenyezi Mungu akupe wepesi wa kupona haraka, hakuna anayeendesha gari kwa Nia ya kwenda kugonga mnyama au chochote kile ,nchi hii vituko mno vya kimhemko, it's totally uncalled hiyo fine, mkuu wa mbuga ya mikumi una mapungufu mengi mno kwenye mbuga yako, rekebisha mapungufu yake including this draconian law
 
Kwenye hyo hyo ajali, dereva akimgonga binadamu na kumuua adhabu yake ni kulipa Laki Tano au achague kwenda jela Miaka 3...ndo utajua nani anathamani.


Tembo Aue binadamu, familia itapewa kifuta Jason Cha sh 700000 Nayo Baada ya kupambna sana

Ua tembo hta Kama amekuvamia??? Kifungo Miaka 30
Nawaza nani ana thamani kati ya tembo, twiga na mwanadamu
 
Back
Top Bottom