Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

Pole mno kwa dereva aliyepata ajali hii, Mwenyezi Mungu akupe wepesi wa kupona haraka, hakuna anayeendesha gari kwa Nia ya kwenda kugonga mnyama au chochote kile ,nchi hii vituko mno vya kimhemko, it's totally uncalled hiyo fine, mkuu wa mbuga ya mikumi una mapungufu mengi mno kwenye mbuga yako, rekebisha mapungufu yake including this draconian law
Serikali ichepushe hiyo barabara ipite mbali na mbuga hiyo. Wasituwekee mitego ya kijinga kwa lengo la kupiga watu pesa.
 
Kwenye hyo hyo ajali, dereva akimgonga binadamu na kumuua adhabu yake ni kulipa Laki Tano au achague kwenda jela Miaka 3...ndo utajua nani anathamani.


Tembo Aue binadamu, familia itapewa kifuta Jason Cha sh 700000 Nayo Baada ya kupambna sana

Ua tembo hta Kama amekuvamia??? Kifungo Miaka 30
Duh! Kwahiyo nikiuwa tembo ni kama nimempa mwanafunzi ujauzito?

Aise hii ni hatari 🙁
 
Serikali ichepushe hiyo barabara ipite mbali na mbuga hiyo. Wasituwekee mitego ya kijinga kwa lengo la kupiga watu pesa.
Hapana mkuu haina haja ya kuchepusha na wala sio rocket science, tufanye yafuatayo, Ile barabara ipanuliwe pamoja na kuwa na yellow line pia isafishwe pande zote mbili kwa 30m,hii itasaidia kuwazuia wanyama wadogo ambao wanagongwa zaidi to stray eneo hili maana wataogopa kuwa exposed kushambuliwa na predators, wenzetu Botswana 🇧🇼 wamefanya hivi na ni wanyama wachache sana wanaogongwa, from Nata hadi kasane zaidi ya 300km ni almost mbuga ya wanyama, haina matuta wala mabango ya vitisho ila wametumia science, ukifika kasane wild animals wapo mjini kabisa na hakuna tatizo lolote, ni keep on your on line, Tanzania yetu mihemko imezidi mno
 
Hapana mkuu haina haja ya kuchepusha na wala sio rocket science, tufanye yafuatayo, Ile barabara ipanuliwe pamoja na kuwa na yellow line pia isafishwe pande zote mbili kwa 30m,hii itasaidia kuwazuia wanyama wadogo ambao wanagongwa zaidi to stray eneo hili maana wataogopa kuwa exposed kushambuliwa na predators, wenzetu Botswana 🇧🇼 wamefanya hivi na ni wanyama wachache sana wanaogongwa, from Nata hadi kasane zaidi ya 300km ni almost mbuga ya wanyama, haina matuta wala mabango ya vitisho ila wametumia science, ukifika kasane wild animals wapo mjini kabisa na hakuna tatizo lolote, ni keep on your on line, Tanzania yetu mihemko imezidi mno
Nimekuelewa Kiongozi. Thinking kama hizi sioni watendaji wetu wakiwa nazo. Wao ni maguvu ya kipuuzi bila thinking beyond the horizons.
 
Kwenye hyo hyo ajali, dereva akimgonga binadamu na kumuua adhabu yake ni kulipa Laki Tano au achague kwenda jela Miaka 3...ndo utajua nani anathamani.


Tembo Aue binadamu, familia itapewa kifuta Jason Cha sh 700000 Nayo Baada ya kupambna sana

Ua tembo hta Kama amekuvamia??? Kifungo Miaka 30
Mzee ulishawahi kukata bima? Kule nyuma kwenye maelezo maelezo imeandikwa kwamba fidia juu ya loss of life haitazidi 60,000,000 tshs kwaio ni jukumu lenu baada ya kumaliza kesi ya criminal kufungua kesi ya madai dhidi ya kampuni ya bima mpewe huo mpunga wenu...
 
SHERIA za haki ni zile za mababu zetu zilizosimuliwa na kuelekezwa KWENYE viatbu vya dini.

Hizi SHERIA za kibunge zipo Kwa ajili ya kuwapa maisha mazuri watawala waishi kama miungu Duniani huku wanaotawaliwa wakiishi kama mashetani.

Kuna Amri Kumi TU walizopewa wanadamu zinazojenga misingi ya Haki . SHERIA zote zilipaswa zusitoke nje ya maelekezo ya amri Kumi alizopewa Babu yetu Nabii Mussa.

Mbele ya wabunge na watawala Twiga anathamani kubwa kuliko binadamu.

Lakini pia Dereva aliyegonga Twiga anapaswa achukukiwe hatua Kali sana
 
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Septemba 29, 2022 ambapo kwa sasa dereva huyo anapatiwa matibabu chini ya ulinzi wa Polisi kutokana na majeraha aliyoyapata katika tukio hilo.

Tamko la faini limetolewa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara ambapo Twiga aliyegongwa alifariki.
Kwani dereva aliacha barabara na kumfuata twiga porini? Au hiyo barabara ni sehemu ya mbuga ya wanyamapori?

Wekeni fence basi! Mbona sgr mnaweka fence, kwanini barabara ya mbugani isiwekewe fensi pia?

Au ninyi wahifadhi waambieni hao twiga, nyumbu, chatu na ngiri etc wajue kwamba hiyo barabara ni 'ushorobo' wa binadamu, wasikanyage humo!

Tembo mmewawekea ushorobo lakini wakiwafuata binadamu mashambani au kuwauwa hakuna faini wala fidia!

Huyo dereva hakuacha njia makusudi kumfuata twiga, hana kosa, la sivyo madereva wote wanaopita katika barabara hiyo wanavunja sheria?

Mambo mengine ni ya kutumia 'common sense'.
 
Tanzania yangu kugonga twiga million 34 faini ila binadamu unaachiwa huru kweli wazungu walituweza.
 
Hapana mkuu haina haja ya kuchepusha na wala sio rocket science, tufanye yafuatayo, Ile barabara ipanuliwe pamoja na kuwa na yellow line pia isafishwe pande zote mbili kwa 30m,hii itasaidia kuwazuia wanyama wadogo ambao wanagongwa zaidi to stray eneo hili maana wataogopa kuwa exposed kushambuliwa na predators, wenzetu Botswana [emoji1052] wamefanya hivi na ni wanyama wachache sana wanaogongwa, from Nata hadi kasane zaidi ya 300km ni almost mbuga ya wanyama, haina matuta wala mabango ya vitisho ila wametumia science, ukifika kasane wild animals wapo mjini kabisa na hakuna tatizo lolote, ni keep on your on line, Tanzania yetu mihemko imezidi mno
Uko nikwawale wanaojielewa.uku kwetu mambo yanawekwa kimtego mtego alafu yanatungiwa sheria ili uvunje ugeuzwe mradi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mnafikiri atalipa!, Hapana hatolipa ni mikwala ili madereva wengine wakisikia hivyo wawe makini zaidi....serikali yetu inaendeshwa kisiasa sana, hapo Tamko la faini lililotolewa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, nikuonyesha kwamba walichukua hatua kali 😄
 
Back
Top Bottom