Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

Dereva aliyemgonga Twiga kulipa faini Tsh Milioni 34.9

Hapana mkuu haina haja ya kuchepusha na wala sio rocket science, tufanye yafuatayo, Ile barabara ipanuliwe pamoja na kuwa na yellow line pia isafishwe pande zote mbili kwa 30m,hii itasaidia kuwazuia wanyama wadogo ambao wanagongwa zaidi to stray eneo hili maana wataogopa kuwa exposed kushambuliwa na predators, wenzetu Botswana [emoji1052] wamefanya hivi na ni wanyama wachache sana wanaogongwa, from Nata hadi kasane zaidi ya 300km ni almost mbuga ya wanyama, haina matuta wala mabango ya vitisho ila wametumia science, ukifika kasane wild animals wapo mjini kabisa na hakuna tatizo lolote, ni keep on your on line, Tanzania yetu mihemko imezidi mno
Kwa uzoefu wangu Twiga anapenda Sana kusimama barabarani hasa anapoona gari wakiwa karibu watajisogeza tu, wengi wako hivyo, madereva wanatakiwa wawe waangalifu sana Sana katika hili, binafsi mtu akigonga mnyama mwingine nitamtetea lakini akigonga Twiga ni uzembe labda kuwe na hitilafu kwenye gari.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ina maana jf in a vijana waliozaliwa mwaka 2000 na kuendelea? Nashangaa kuona mnashangaa sheria zilizotungwa na kupitishwa enzi za Zakhia Megji akiwa waziri wa mali asili na Utalii?!
 
Back
Top Bottom