mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
wewe ni shuhuda mkuu?Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja.Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City.Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai,awaingize ndani wataongeza hela.Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka,wao wakaruka.Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone.Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Maswali chokoziMajuzi mdada aliequest bajaji, bajaji kafika Mlimani City wakamwambia bajaji tuingize ndani bajaji akakataa wakamwambia tutalipia getini.
Bajaji akakataa akageuza bajaji, mdada anavyoelezea. Ikafika sehemu kuna msongamano wa magari mwenzie akashuka akamuacha peke ake huko ndani ya bajaji.
Mdada akawa anapiga kelele watu wamsaidie mana jam iliisha na bajaji ikawa inaendeela kwenda. Ghafla bajaji akamsukuma huku akiendelea kuendesha.
Bajaji akakimbia mdada akabaki hapo chini kaumia kachubuka mno. Mdada alipelekwa hospital kupatiwa huduma ya kwanza pia akaenda police. Akaenda pia office za bolt na hawajachukua hatua yoyote. Huyo kaka bolt alikamatwa lakini alitolewa kwa dhamana.
Utaratibu mwingine polisi wamesema utaendelea Jumatatu. Wadada tuwe makini sana kwa sababu sisi ndio tunatumia bolt sana madereva bolt asilimia kubwa wamekua wajinga sana sana.
Mods wakiruhusu nitaweka picha ya jeraha kubwa la huyu dada.
"Nisameeni kwa uandishi mbovu"
Kuna abiria pia vichwa kama senene tu.Poleeni sana kwa tatizo mtapona na mtakaa sawa Hawa madereva mda mwingine vichwa vyao vipo kama madagaa tu
Sawa asanteAcha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
Safi sana mkuu, wewe ndo umeeleza na umeeleweka vyema. Maelezo ya mtoa mada yanaonesha wazi tatizo lipo kwa hivyo vidada, maana uongo ni mwingi mnoo!Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja.Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City.Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai,awaingize ndani wataongeza hela.Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka,wao wakaruka.Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone.Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.
WA Kwanza alitoka kwenye foleniMaswali chokozi
Huyo dada alikaa seat ya nyuma, dereva Bajaj anaweza vipi kumsukuma huku anaendesha?
pia ni kosa kisheria kutembea na fungu nene namna hio ni vi drug dealers au vinatakatisha hela za utekaji watoto vichunguzweHao wadada wastaarabike waonyeshe hiyo 10m waliitoa wapi na watoe risiti ya hiyo iphone siyo kuleta mambo ya kihuni
namuambia huyo inspectorbenja mbona anaongea kama vile alishuhudia ajali?Sikuepo cz siishi Dar,
My sister kanitumia picha ijumaa usiku.
Inaogofya
Wewe ni miongoni mwao 🤣😁😁Kuna abiria pia vichwa kama senene tu.
Ndio nauliza anasukumwa vipi akiwa kakaa nyuma huku dereva anaendesha? Ni kitu hakiwezekani kutokana na muundo wa Bajaj ulivyoWA Kwanza alitoka kwenye foleni
Bajaji ikaendelea kwenda akiwa kabaki mmja, akawa anajaribu kupiga kelele uita watu nje ndio kusukumwa na kujiburuta kweny rami
Kikubwa maelewano kuna raia mmoja wa kigeni nahisi ni muethiopia yule siku hio alitoka hotelini akaenda mlimani city hotel aliyopo ipo Ubungo tu hapa, sasa alipomaliza shughuli zake mlimani akarequest bolt ndio hizo Bajaj basi ikaja ikamchukua yule Madam kwa kweli Kiswahili hajui anajua kingereza basi akamuelekeza anaenda hotel fulani Bajaj akajitia ujuaji Bwana si akanyoosha Posta kuelekea Mwenge nyoosha mpaka Posta huko Mida ni usiku ishafika yule mgeni anashtuka wapo town akabidi amwambie mboni Safari imekua ndefu sana huku umenileta wapi? Jamaa kingereza hajui basi ikabidi apige Simu hotelini wakamwambia ampe Jamaa simu wamuelekeze Jamaa akaelekezwa basi ikabidi atoke kule mpaka hotel sasa balaa likaja kwenye kulipana yule Madam anasema Jamaa amefanya makusudi kutengeza route ndefu ili alipwe Hela nyingi na Jamaa anasema Madam alikua anachezea Simu tu bila kuangalia anapoenda kwa hio ni uzembe wake nikaitwa kusuruhisha kwenye kuwasikiliza maana madam anaongea kingereza Jamaa wa Bajaj kingereza hajui lugha gongana ikabidi raia mwingine wa kiganda palepale hotelini aingilie ugomvi akasema basi ili kuondoa mzozo yeye atalipia gharama zote Madam akagoma anasema huyu dereva mshenzi huyu nilimuelekeza tupite huku kaniona Mimi mgeni ndio kaamua kunifanyia hivi mboni dereva alienileta mlimani city hakunifanyia hivi, alisononeka sana yule Madam Ila Mwisho ilibidi tu alipe tena kwa shingo upande na kwa uchungu sana maana alimchaji Pesa nyingi mara 3 ya alivyotakiwa kumlipa, kwa hio baadhi ya madereva usitaarabu SifuriPoleeni sana kwa tatizo mtapona na mtakaa sawa Hawa madereva mda mwingine vichwa vyao vipo kama madagaa tu
Brother fanyeni ivo iwe fundisho haya madem ya mjini miyeyusho sana.Acha upotoshaji na kuongea mambo kwa kusikiliza upande mmoja. Huyo dada yako na mwenzake safari yao ilikuwa inaishia nje ya mlimani City. Dereva kawaambia safari imeishia wampe hela yake.Wanagoma wanafai, awaingize ndani wataongeza hela.
Jamaa kagoma kasema anarudi nao alipotoka, wao wakaruka. Alafu washenzi sana hao wadada,wameenda kumfungulia mashtala eti wameibiwa milioni kumi na simu ya iphone. Yaani hivyo vidada vinaonekana kabisa vina roho mbaya.
Na vinasambaza habari kwenye mitandao na kuweka namba ya dereva.Sasa tutashugulika navyo kwa njia ya kisheria.Hili likiisha tutafungua kesi nyingine.