Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kula laki 8Nauza Piki piki yangu.Boxer BM 125 (MC 908 DJC).
Kuna dogo nilimpa afanyie kazi tumeshindwana na sasa hivi sina mda wa kufatiliana fatiliana.
Namba yangu: 0714431530.
Location Kigamboni-Maweni.
KARIBU🙏Safi
Makubaliano, hayafanywi jf mkuu🤔🤔Mkataba wa muda gani na Kwa hesabu ipi Kwa siku, wiki au mwe
Mi siwezani na hivo vitu mkuu🤓🤓🙌
Nilikuwa nawaapa hai wezi wenzagu tuMi siwezani na hivo vitu mkuu🤓🤓🙌
Em nipe mim hyo TVs nianze kukusanya abiriaHabari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu.
👉Bajaji iliyopo ni namba b TV's, IPO vizurii kwa maana engine bado imara Sana na hata body yake ni ngumu bado.
👉 Bodaboda IPO namba c na d na zote ziko vyema so kwa atakaye hitaji au kuwa na ndugu mwenye uhitaji basi atanijuza hapa au pm.🙏
👉 I mean no malice to nobody
View attachment 2635187
Una matatizo sio bure😂🤣🤣😂, hio hesabu utampa Nani😂🤣Em nipe mim hyo TVs nianze kukusanya abiria
Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu.
👉Bajaji iliyopo ni namba b TV's, IPO vizurii kwa maana engine bado imara Sana na hata body yake ni ngumu bado.
👉 Bodaboda IPO namba c na d na zote ziko vyema so kwa atakaye hitaji au kuwa na ndugu mwenye uhitaji basi atanijuza hapa au pm.🙏
👉 I mean no malice to nobody
View attachment 2635187Nipe Namba ya simu Mkuu tuwasiliane tuonane tufanye majubaliano 0782983919
Ninahitaji bossMwenye uhitaji tujuzane🙏🙏
Kitambo Sana hiyo, siku hizi Nauza machungwa stendi🤣😂😂Ninahitaji boss
Hahaha nakuonaga bossKitambo Sana hiyo, siku hizi Nauza machungwa stendi🤣😂😂
Una dhani utani, Niko serious mkuu.,Hahaha nakuonaga boss
Ilikuwaje?Una dhani utani, Niko serious mkuu.,
👉Nili pigwa na nyundo ya kichwa
Nili pata loss mzee, watu wali patisha chuma ajali.Ilikuwaje
Aisee pole sanaNili pata loss mzee, watu wali patisha chuma ajali.
👉Nataka niji tafute, niwekeze pengine
Nisha poa mkuu, na Wala haini umizi.Aisee pole sana