Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Hii taarifa haijitoshelezi nachokiona.
Utaua mtu uashe gari uende? Sema tu,mpaka mtu anapigwa kitu kichwani,wajinga wamekalia kupiga picha na kuchukua video,hata konda wake alishindwa kuzuia? Au konda ni demu!!! Je,abilia gari iliposimamishwa,wote hawakustuka kwamba jama ana hasira na wao washuke kukinga kifua?
wameshakamatwa Manyara ndugu, ni wanyarwanda kweli. watapelekwa mahakamani.
 
Sio nguvu sipendi kuona mtu anaonewa kibwege na wakati Mimi nipo hapo hapo alieonea lazima nimwadabishe km hajaja kubebwa akiwa kilema basi na yeye amfuate alipoenda marehemu na ule mlori ungekua ushawaka moto zamani sana shenzi na hivi natembeaga na Bunda la kiberiti tukichimba Dawa nishtue kimoja halafu Safari iendelee wala nisingehangaika kutafuta duka ninunue kiberiti
Nguvu inayokupa ujasiri ndo ninayomaanisha. Mtanganyika anaweza kuwa na misuli na nguvu ila ikakosekana nguvu inayoleta huo ujasiri unaotuambia hapa.
 
Swala lilokuwepo hapo ni wa basi kulipita hilo truck na mbele usalama ulikuwa ni mdogo dereva wa basi ikabidi atumie nguvu kumsukuma wa lori ndipo wa ka kwanguana. Sasa marehemu alishindwa kijidhibiti hasira ndio alishuka kwenda kugombana na huto wa lori. Nae wa lori akashuka na mtalimbo tunaoutumia wakati wa kurekebishia matairi akampiga nao dereva wa basi kichwani, walijaribu kumkimbiza hospital lakini ikawa ni haki ya yeye kutangulia mbele za Mungu. hiyo lori ina number za tz lakini dereva ni mtanzania, alikamatwa yupo polisi.
Wakati wa ku-overtake suala la mbele kuwa na usalama mdogo si la dereva anaepitwa, ni la dereva anaetaka ku overtake. Inawezekana kweli kuwa dereva wa basi anataka ku overtake sehemu isiyofaa, lakini sio juu ya dereva anaepitwa kuona anafanyiwa itu kisichofaa
 
hivi hiyo basi si ilikuwa na abria ? wakwaacha tu hao wauwaji wakauwa na kupanda magari yao wakaondoa? hiki kisa sizani kama ni kweli
Tanzania ni watu wapole sana, la sivyo mbona CCM wangekuwa wameshaondoshwa kwa nguvu? Kila siku CCM inawatia wananchi vidole machoni na sehemu nyingine lakini wala, wananchi hawajali wanaendelea na maisha yao ya kila siku!
 
Ntakupa scenario moja:

Kuna Jamaa walikua wanapita sehemu wakasikia Mwizi Mwizi Jamaa wakaliunga mpaka pale kwenye wakamshushia vipigo heavy mpaka akakata roho baada ya kukata roho Jamaa wakaongeza kitu kingine wakamburuta yule Mwizi mpaka kituo cha Polisi kuwakabidhi Polisi kwamba huyu ni Mwizi tumemkuta sehemu anashambuliwa na Sisi tukamuongezea kipigo, Polisi wanawaambia sawa mwekeni pale baada ya hapo anzeni kufungua mikanda suruali na Mashati yenu mna kesi ya kujibu

Hivi mpaka hapo umenielewa namaanisha nini?
Hadithi ya kutunga. Hata ungekuwa na akili za kama mwanachama wa CCM huwezi kupeleka maiti Polisi na kusema sisi tulimwongezea kipigo hadi akafa ndio tumemleta kwenu sasa
 
Atakuja kukusaidia ndio maana alishuka kuwasaidia maana amebeba Roho za watu wakamuua yeye sababu amefelisha mpango wao wa kuwaua abiria
Dereva kashuka sabb ya kuona gari ya boss wake ilitaka kuharibiwa au kusababishiwa ajali
Hawa jamaa wangekuwa wanajali roho za watu wasinge kuwa wanaendesha kama wamekatwa vichwa barabarani
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267

=====

UPDATES KUTOKA JESHI LA POLISI


Kamanda wa polisi mkoani Manyara, Makarani Ahmed ametoa taarifa juu ya dereva wa basi la Mtei aliyeuwawa kikatili na dereva wa gari la mizigo na kwamba jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji kuhusiana na tukio hilo.

Ikumbukwe kuwa kupitia video clip iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ilikuwa ikimuonyesha dereva wa gari la abiria akiwa chini mara baada ya kupigwa na kitu kizito na muda mchache baadaye kupoteza maisha.

#CloudsDigitalUpdates
@marcellazaro77
View attachment 3088120
Nimesikia Kamanda Makarani akiongea mimi kwa namna fulani nimemwelewa sana yaani inakuaje mtu anatolewa uhai na ninyi abiria mmekaa kimya tu? Mnaona watu wanazozana mnatoa tu mimacho! Na wengine wanashoot? Aisee baadh ya watz wanahitaji somo kubwa mno ni ile hata unakuta dereva na konda wake on the daldala anacheleewesha anapak kila kituo hata kama hamna anayepanda wala kushuka, unakuta mnacheleweshwa konda anasubiria mtu avae sidiria au anawezakatisha route au asimalize route sasa wabong* walivyo waoga wao wanakaa kimya tu au akijitokeza abiria mmoja kumwadabisha konda kuuliza why anawachelewesha wao kama mang’..o… wanakaa kimya bafala wamtetee abiria wakati wanacheleweshwa wote kuna somo la ujasiri latakiwa kujifunza hapa anyway RIP Dere wa Mtei alichokifanya dereva wa lori hakipaswi kuvumiliwa hata chembe na hakikubaliki
 
Hakuna Kampuni ya maroli inayochukua miaka 25 ni kuanzia Miaka 35 kuendelea na uwe na uzoefu Miaka isiyopungua 5/6 ndio wanakupa kazi, Kampuni nyingi ndio ipo hivyo kwa hio muuaji kilichosababisha aue sio umri
Duhhh!!! Mkuu,video hapo ya mkuu wa polisi alisema umri gani? Fatilia vizuri
 
Kama kweli basi naungana na msemo wa Mzee Kenyatta wa Tanganyika ni Maiti,kwahiyo hao Abiria walikuwa wanaangalia tu
 
Tanzagiza bhana mwenzao anauliwa yenyewe yanachukua video ingetakuwa hao wauwaji wawe mishikaki na hilo lori lirud Rwanda kama chuma chakavu
 
Sijui sababu ni nini ila niligundua kuwa madereva wa mabus na malori huwa hawaelewani kabisa, malori wanasema madereva wa bus wanafujo barabaran muda wote wana haraka na wanaongoza kuchomekea ( kutoa gari na ku overtake maeneo ya hatari wakiamini Lori au gari ndogo zitapisha) mwisho wa siku madereva wanajihami wanaacha njia ili kuepusha ajali ila wanaenda kupata ajali zingine nje ya barabara.
Ukiangazia uendeshaji wa haya malori na Mabus kwa ujumla wake, kiukweli madereva wengi wa mabus wako very rough barabarani kuliko hata wa malori. Tukirudi kwenye hiyo clip nimesikitika sana kwamba magari yanapita bila kujali mwenzao anauwawa. Watanzania sijui wamekuwa je nowadays kwenye kuteteana daaah very sad 😭
 
hivi hiyo basi si ilikuwa na abria ? wakwaacha tu hao wauwaji wakauwa na kupanda magari yao wakaondoa? hiki kisa sizani kama ni kweli
Hujaona clips na taarifa ya jeshi la polisi?? Abiria kwenye bus usiwaamini hata chembe, imagine dereva anaendesha bus vibaya lakini trafiki akiwasimamisha na kuuliza kuna shida yoyote kwenye uendeshaji wa Bus? Utawasikia hakunaaa, yaani unafiki unafiki unafiki...
 
Ukiangazia uendeshaji wa haya malori na Mabus kwa ujumla wake, kiukweli madereva wengi wa mabus wako very rough barabarani kuliko hata wa malori. Tukirudi kwenye hiyo clip nimesikitika sana kwamba magari yanapita bila kujali mwenzao anauwawa. Watanzania sijui wamekuwa je nowadays kwenye kuteteana daaah very sad 😭
Sahivi watu wako tayari kurecord Video ukiwa unapigwa hadi kifo ili waende wakaipublish mtandaoni hiyo clip lakini siyo kukusaidia ndo tulipofikia
 
Abiria abiria....Sasa wewe unasafiri na bus,dereva kasimama anaenda kupigana na dereva mwingine nje ya bus kwahio utashuka ukaingilie? Hata mimi wala nisingehangaika.
Sawa hutaingilia na dereva wenu kauwawa hiyo safari mtafika sasa? Au wewe utaparamia uskani uendeshe? Hivi unafikiri hiyo safari baada ya dereva kuuwawa walikaa masaa mangapi hapo?
 
Back
Top Bottom