Christopher krugger
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 215
- 392
Hapa ni kuwa makini na kujifanya mjinga kuepusha shari ....binadamu tunatofautiana sana,kabla ya kumface mtu msome kwanza, kuta watu ni wamevurugwa Ile mbaya asee ,Sasa mtu humjui unaenda kuanzisha conflict nae ...Epuka conflict zisizo na maana kabisa
Ukiangalia hapo dereva ye angeendelea na safari yake au angereport kwa usalama wa barabarani kwa sababu Kuna vitu huezi solve mwenyewe pasipo kuleta madhara kama haya.
RIP
Ukiangalia hapo dereva ye angeendelea na safari yake au angereport kwa usalama wa barabarani kwa sababu Kuna vitu huezi solve mwenyewe pasipo kuleta madhara kama haya.
RIP