Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Hivi watanzania wangefanya kitendo kama hiki Rwanda wangekuwa washakula risasi sasa hivi.
Ile intelijensia iliyozuia maandamano Mbeya ya chadema ndio ingetumika fasta kuwatia nguvuni watuhiwa .
Halafu huwa kwa wenzetu unakuta msemaji wa polisi anakuja anasema jambo liko hivi linaendelea hivi na tumefikia hivi hii ndio integrity na accountability.
Hata kupigwa risasi trump press conference ilibainisha what real happened kwa haraka ili kuzuia taharuki.
 
Kwa hiyo alikuwa ana pambana na walevi na watu Waliokuwa na silaha. Sasa hapo abiria wangepambanaje na walikuwa hawana silaha. Ku rekodi angalau kuna saidia kutoa ushahidi
Na wewe ni walewale tu, your points are illogical
 
Abiria wa kitanzania wanakuwaga kama kuku mabroila wakishapandishwa kwenye magari faken kabisa.
 
Sasa wewe ulifikiri ukiwa mbele ya watu ndio upigane hovyo utegemee waingilie ugomvi wajo wa kupuuzi? Utakufa huku unaangaliwa tusubiri polisi waje wakutupe nyuma ya defender lao.
Nimeandika hili tukio ni reminder ukiwa unakufa watanganyika watakurekodi waweke status nikimaanisha kila unachofanya cha hatari uwe makini kwani mtetezi wako wa kwanza ni wewe.
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267

=====

UPDATES KUTOKA JESHI LA POLISI
View attachment 3088120
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267

=====

UPDATES KUTOKA JESHI LA POLISI
View attachment 3088120
ILA ABIRIA WAMENIKWAZA SANA!!YAANI MTU ANAPIGWA NYIE MNACHUKUA VIDEO BADALA YA KWENDA KUAMULIA!!
 
ILA ABIRIA WAMENIKWAZA SANA!!YAANI MTU ANAPIGWA NYIE MNACHUKUA VIDEO BADALA YA KWENDA KUAMULIA!!
Nyie watu mnachekesha sana. Sasa dereva kashuka kaenda kumshambulia dereva mwingine, wewe ungekuwa abiria na wewe ungeshuka kwenda kuamulia au kuingilia ugomvi usiokuhusu?
Huyo dereva mwingine hata mahakamani anaweza kujitetea self defence. Kwa sababu maelezo tuliosikia ni kuwa dereva wa bus kamzibia njia halafu kamfuata kwenye gari lake kaanza kumshambulia.
Mfano wewe ungekuwa na gari yako umemkosea dereva huyo wa bus baadae anakuchomekea anashuka anakuja kukushambulia ungefanyaje?
 
Nyie watu mnachekesha sana. Sasa dereva kashuka kaenda kumshambulia dereva mwingine, wewe ungekuwa abiria na wewe ungeshuka kwenda kuamulia au kuingilia ugomvi usiokuhusu?
Huyo dereva mwingine hata mahakamani anaweza kujitetea self defence. Kwa sababu maelezo tuliosikia ni kuwa dereva wa bus kamzibia njia halafu kamfuata kwenye gari lake kaanza kumshambulia.
Mfano wewe ungekuwa na gari yako umemkosea dereva huyo wa bus baadae anakuchomekea anashuka anakuja kukushambulia ungefanyaje?
Kuamulia ugomvi ni busara zaidi maana inaepusha matatizo kama haya ya vifo etc
 
Kwa hiyo alikua kwny bus peke yake? Abilia wake hawakuamlia hata ugomvi? Konda wake nae alitulia tu shoferi wake auliwe yeye akiwa atazama tu?
Mwenye huu uzi majibu tafadhari
 
Wakati mwingine,kuna mambo ya kufikilia kabla ya kuweka taarifa hadharani.
1. Hivi,ni kweli wauwaji ni madereva wa Rwanda?

2. Je,basi zima,makonda na abilia wote,mtu anashushwa,wa kumshusha anaonekana ana hasira,na chuma mkononi,watu wakakaa tu kumuangalia,mpaka anapigwa na kukata moto! Basi alibeba mazombi tuuu.

3. Kuna haja ya watu wengine kuchunguzwa afya ya akili. Dereva huwezi kusimama kwenda kumpiga mtu,huku tena yeye alikuwa nyuma yako. Ni wazi pengine uliendesha vibaya.

4. Video siku hizi,ni kweli zina umhimu na kusaidia kuujua ukweli. Lakini,ebu fikilia kama ni mwanaume karekodi,mwenzie anauliwa,yeye anachukua picha tu!!! Naona na MV Bukoba ingezama leo,wengi wangeanza na hilo.
 
Nyie watu mnachekesha sana. Sasa dereva kashuka kaenda kumshambulia dereva mwingine, wewe ungekuwa abiria na wewe ungeshuka kwenda kuamulia au kuingilia ugomvi usiokuhusu?
Huyo dereva mwingine hata mahakamani anaweza kujitetea self defence. Kwa sababu maelezo tuliosikia ni kuwa dereva wa bus kamzibia njia halafu kamfuata kwenye gari lake kaanza kumshambulia.
Mfano wewe ungekuwa na gari yako umemkosea dereva huyo wa bus baadae anakuchomekea anashuka anakuja kukushambulia ungefanyaje?
Ndo unyumbu unapokuja hapa.
Kujibizana barabarani kupo, ila linapokuja suala la wachache wanapigana mpaka kuuana bila kujali sababu na wengi mpo mnatazama huku mkirikodi, nyinyi mnaotazama mkirikodi ni wajinga tu kama wajinga wengine mfano wanyama nyumbu n.k
 
Kuna mambo mawili:

1. Dereva wa lori,wangeakuwa angalau kuanzia mika 40 na kuendelea. Miaka 25 ni kifaranga,na ana sifa za kijinga kujiona anajua kuendesha sana. Hivyo,angekuwa na akili timamu,akimuona mwenzie yuko lafu,kumuacha kwani kitendo cha dakika ngapi? Hapa kamkatisha mtu uhai,nae anaenda kuozea jera. Kataka mwenyewe. Ila,watoto wadogo kwenye magari makubwa na ya abilia,hapana.

2. Ikumbukwe,lori linapokuwa na mzigo,lina uendeshaji wake. Hivyo,hiyo kujichomeka chomeka,huharibu mahesabu pengine na nguvu ya dereva kisaikolojia. Waendeshaji wengi,wanaendesha kwa hulka tu,si kwa kufuata sheria za barabarani. Wangekuwa kweli wamesomea na kueleweshwa na wakaelewa,wasingeweza kufanyia madereva wenzao ujinga kama huo.

3. Haimaanishi kuwa gari likiwa na plate namba za nchi nyingine, basi kosa limetendwa na wananchi wa nchi ilikosajiliwa gari. Hasa magari makubwa,yaliyo mengi yanaendeshwa na madereva wa nchi tofauti na gali ilikosajiliwa. Kwa taarifa za kukurupuka,unadhani wana familia wa madehemu wakishaweka akilini kwamba mtu wao kauliwa na wanyarwanda,majirani na marafiki wa kinyarwanda watakaa kwa amani? Mpaka ukweli ubainike,unadhani watakua na hali gani?
 
cha muhimu wamekamatwa au wameshakimbilia nchin kwao. tunataka kusikia hili. polisi wapo wapi?
Hii taarifa haijitoshelezi nachokiona.
Utaua mtu uashe gari uende? Sema tu,mpaka mtu anapigwa kitu kichwani,wajinga wamekalia kupiga picha na kuchukua video,hata konda wake alishindwa kuzuia? Au konda ni demu!!! Je,abilia gari iliposimamishwa,wote hawakustuka kwamba jama ana hasira na wao washuke kukinga kifua?
 
Nyie watu mnachekesha sana. Sasa dereva kashuka kaenda kumshambulia dereva mwingine, wewe ungekuwa abiria na wewe ungeshuka kwenda kuamulia au kuingilia ugomvi usiokuhusu?
Huyo dereva mwingine hata mahakamani anaweza kujitetea self defence. Kwa sababu maelezo tuliosikia ni kuwa dereva wa bus kamzibia njia halafu kamfuata kwenye gari lake kaanza kumshambulia.
Mfano wewe ungekuwa na gari yako umemkosea dereva huyo wa bus baadae anakuchomekea anashuka anakuja kukushambulia ungefanyaje?
Kivyovyote hata wewe lazima kuna chochote utapoteza.

1. Hilo basi lilijiwasha likaendelea na safari? Kama jibu ni hapana,basi hata muda ni kitu cha thamani. Ugomvi ungeamliwa,safari ingeendelea.
2. Muuaji kaxhukua maamzi ya kijinga sana. Ila si kwamba ameamka akiwa amedhamilia kuua. Kwa hiyo,jiangalieni sana. Unaweza chukizwa na kitendo alichofanya, ngumi moja au kofi,kisa umekasilishwa na alichofanya, kikakusababishia kufungwa maisha. Vitu vingine ni vya kuwa makini sana
 
Back
Top Bottom