mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Abiria badala waamuliee wao walikuwa bize na sim kuchukua video....Kama ni mnyarwanda ni kweli wanayaweza hayo mauaji
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abiria badala waamuliee wao walikuwa bize na sim kuchukua video....Kama ni mnyarwanda ni kweli wanayaweza hayo mauaji
ooh wewe unasema abiria gani hao wa hapo wanaopuliziwa mwenge wa uhuru? hao ni maiti. walipaswa kushuka wawachape na kuwamaliza hao maderevaMie swali linakuja.. ABIRIA kwanini hawakuingilia hilo swala.?
Wageni wanaua raia nchini kwake? Watanzania tumezidi unyumbu!Ni dereva wa Manning Nice bus za route ya Tanga Babati nahisi kama sijakosea.
Kuna jamaa yangu anamjua huyo driver ndiye aliyenipa taarifa hii.
naomba usiangalie, imeharibu siku yangu. mtu anakata roho anaruka na kutetemeka kakakamaa kama kuku yaani. mtoto wa mwanadamu mwenzio na jamaa mwanaume amesimama na rungu pembeni kama anataka kumwongeza. wakamatwe haraka wauaji hawa.
So abiria wake wote waliojaa kwenye basi wakamuacha achezee kichapo hadi kufa???Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?
Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
View attachment 3087265
View attachment 3087267
Watnzania sisi ni malofa tu, hao jamaa walitakiwa wawe mochwari, hata polisi wangefurahi mmewapunguzia muda wa makesi.So abiria wake wote waliojaa kwenye basi wakamuacha achezee kichapo hadi kufa???
Hao ndiyo watanzania niwajuao mimi sasa, wanaishia kuchukua video ili wakatipie mitandaoni.
Nchi ina viumbe wa ajabi sana hiyo. CCM imejua kuwafinyanga na kuwageuza Malofa, wanachoweza Watanzania ni kupiga na kuchoma moto vibaka mwenzao tuWatnzania sisi ni malofa tu, hao jamaa walitakiwa wawe mochwari, hata polisi wangefurahi mmewapunguzia muda wa makesi waendelee kudeal na machadema.
Kwanini ulisomea Sasa? Imekusaidia nini?maishani mwangu nilishafika mkanda wa juu kabisa wa martial art moja ya kijapan, shotokan, kati ya vitu navijua maishani mwangu ni uhai wa mwanadamu, no mdogo kuliko hata wa kuku. maishani mwako ogopa KUPIGANA kuliko chochote, hata kama wewe una utaalamu wa kupigana, ukiviziwa its just a minute umeaga, inategemeana tu na nani anamuwahi mwenzie. ukiona ugomvi uzuie kwa nguvu zote kwasababu hauishiagi pazuri.
Labda abiria waliokuwepo ni wale wa UPINDE!Watanzania ni kama mazezeta. Dereva wa basi anauawa kinyama na wapumbavu wawili vi-abiria havina msaada wowote vimekaakaa kama vimebemendwa! Ingekuwa mahala ambako watu wanajitambua hao washenzi wangegeuzwa mishikaki na malori yao yangegeuzwa vyuma chakavu.
Hasira ya waswahili huwa inaishia kwa vibaka wanaoiba kuku na wallet tu.
Sisiem wana raha sana.
NImekutana na clip moja imeharibu siku yangu yote. inaonyesha dereva wa mtei anakata roho na kuna wanaume wameshika fimbo inaonekana ndio wamempiga, inasemekana ni madereva wa lorry. ni kweli?
wanadamu sometimes wabaya sana sana.
View: https://x.com/i/status/1831253133109899406
📌 MajivuKwa Hiyo wakati huyo Dereva anauwawa hao Abiria wa Bus lake ndo walikua Wana record hii video..!
Ila Kwa Uzuzu wa Watanzania sishangai....! Kama ingekua Nchi nyingine, kungeua na Marehemu 3 na Malori 2 yakiwa Majibu.
Na wewe ulikuwa unatazama?Swala lilokuwepo hapo ni wa basi kulipita hilo truck na mbele usalama ulikuwa ni mdogo dereva wa basi ikabidi atumie nguvu kumsukuma wa lori ndipo wa ka kwanguana. Sasa marehemu alishindwa kijidhibiti hasira ndio alishuka kwenda kugombana na huto wa lori. Nae wa lori akashuka na mtalimbo tunaoutumia wakati wa kurekebishia matairi akampiga nao dereva wa basi kichwani, walijaribu kumkimbiza hospital lakini ikawa ni haki ya yeye kutangulia mbele za Mungu. hiyo lori ina number za tz lakini dereva ni mtanzania, alikamatwa yupo polisi.
Si walikata tiketi na majina yao yote yapo.Wakamatwe mmoja mmoja wakahojiwe na walazwe ndani.So abiria wake wote waliojaa kwenye basi wakamuacha achezee kichapo hadi kufa???
Hao ndiyo watanzania niwajuao mimi sasa, wanaishia kuchukua video ili wakatipie mitandaoni.
Abiria wa basi lake walikimbia?Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?
Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
View attachment 3087265
View attachment 3087267
Kwa hiyo alikuwa ana pambana na walevi na watu Waliokuwa na silaha. Sasa hapo abiria wangepambanaje na walikuwa hawana silaha. Ku rekodi angalau kuna saidia kutoa ushahidiWakuu kwema.
Hili tukio la kuuwawa kwa dereva linakatisha tamaa kuamini uko salama ukiwa jamii ya watanzania, watu wasioweza kuteteana wao kwa wao.
Kwanini nasema hivi.
Inasikitisha sana kugundua kuwa unaishi miongoni mwa jamii ya namna hii.
View attachment 3087333
View attachment 3087334
View attachment 3087335
View attachment 3087338