Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

maishani mwangu nilishafika mkanda wa juu kabisa wa martial art moja ya kijapan, shotokan, kati ya vitu navijua maishani mwangu ni uhai wa mwanadamu, no mdogo kuliko hata wa kuku. maishani mwako ogopa KUPIGANA kuliko chochote, hata kama wewe una utaalamu wa kupigana, ukiviziwa its just a minute umeaga, inategemeana tu na nani anamuwahi mwenzie. ukiona ugomvi uzuie kwa nguvu zote kwasababu hauishiagi pazuri.
 
Sijui sababu ni nini ila niligundua kuwa madereva wa mabus na malori huwa hawaelewani kabisa, malori wanasema madereva wa bus wanafujo barabaran muda wote wana haraka na wanaongoza kuchomekea ( kutoa gari na ku overtake maeneo ya hatari wakiamini Lori au gari ndogo zitapisha) mwisho wa siku madereva wanajihami wanaacha njia ili kuepusha ajali ila wanaenda kupata ajali zingine nje ya barabara.
 
Sijui sababu ni nini ila niligundua kuwa madereva wa mabus na malori huwa hawaelewani kabisa, malori wanasema madereva wa bus wanafujo barabaran muda wote wana haraka na wanaongoza kuchomekea ( kutoa gari na ku overtake maeneo ya hatari wakiamini Lori au gari ndogo zitapisha) mwisho wa siku madereva wa wanaacha njia ili kuepusha ajali ila wanaenda kupata ajali zingine nje ya barabara.
of course inasemekana huyo wa bus alimchomekea mwenzie, na wengine wanasema hao wa malori walikuwa wanaendesha vibaya yeye akataka kuwaamlia. kila mtu anaongea lake, na abiria hawakutoa msaada wowote. kama hawa jamaa wanaosemekana walikuwa wanaendesha magari kwenda rwanda, kama wapo bongo, wakamatwe.
 
Madereva wanaendesha magari ya Rwanda ni wenye roho mbaya, ni wauaji wakiwa kwenye magari yao.

Alafu Serikali ipige marufuku mabasi na malori kuweka ngao za chuma sehemu za mbele na nyuma ya gari.

Malori na Mabasi yaliyoqekewa hizo ngao hato magari yalipishwe faini na yasiendelee na safari mpaka hizo ngao ziondolewe.
 
naomba usiangalie, imeharibu siku yangu. mtu anakata roho anaruka na kutetemeka kakakamaa kama kuku yaani. mtoto wa mwanadamu mwenzio na jamaa mwanaume amesimama na rungu pembeni kama anataka kumwongeza. wakamatwe haraka wauaji hawa.
Na abiria wake walikuwa wanatazama tu
 
maishani mwangu nilishafika mkanda wa juu kabisa wa martial art moja ya kijapan, shotokan, kati ya vitu navijua maishani mwangu ni uhai wa mwanadamu, no mdogo kuliko hata wa kuku. maishani mwako ogopa KUPIGANA kuliko chochote, hata kama wewe una utaalamu wa kupigana, ukiviziwa its just a minute umeaga, inategemeana tu na nani anamuwahi mwenzie. ukiona ugomvi uzuie kwa nguvu zote kwasababu hauishiagi pazuri.
Kweli kabisa hao jamaa wametumia chuma au ni fimbo?
 
Watanzania ni kama mazezeta. Dereva wa basi anauawa kinyama na wapumbavu wawili vi-abiria havina msaada wowote vimekaakaa kama vimebemendwa! Ingekuwa mahala ambako watu wanajitambua hao washenzi wangegeuzwa mishikaki na malori yao yangegeuzwa vyuma chakavu.

Hasira ya waswahili huwa inaishia kwa vibaka wanaoiba kuku na wallet tu.

Sisiem wana raha sana.
 
Wakuu kwema.
Hili tukio la kuuwawa kwa dereva linakatisha tamaa kuamini uko salama ukiwa jamii ya watanzania, watu wasioweza kuteteana wao kwa wao.
Kwanini nasema hivi.

Madereva wasio watanzania (warwanda) wanampiga na kumuua dereva wa busi baada ya kujaribu kuwa overtake

Abiria wa kitanzania wanatazama tu hadi dereva mauti inamkuta , kama hio haitoshi wanayaacha malori ya wauaji yanaenda kwa amani kabisa.

Abiria wa kitanzania wanarekodi tu kwa simu zao wakati dereva wao aliyewapambania akifa.

Kisha wajinga hawa watanzania wanapandishwa basi jingine wanaondoka bila wasiwasi yoyote hadi walikokuwa wanaenda.

Inasikitisha sana kugundua kuwa unaishi miongoni mwa jamii ya namna hii.
20240904_234641.jpg

20240905_000020.jpg

20240905_000253.jpg

 
Terrible. It tells all of us a story about being law abiding citizens. Some times we think we own everything and everything is under control.
Kumbe madereva wa Rwanda hawako under control.
RIP Dereva wa Mtei
 
Back
Top Bottom