Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Lazima waingilie kwa Usalama wa abiria woteSiyo kushuka,wewe humo humo kwenye bus anzisha ugomvi na abiria mwenzio halafu uone kama dereva na konda wake hawataingilia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima waingilie kwa Usalama wa abiria woteSiyo kushuka,wewe humo humo kwenye bus anzisha ugomvi na abiria mwenzio halafu uone kama dereva na konda wake hawataingilia..
Kwa mujibu wa abiria wanasema huyo dereva alikuwa na maluelue sana, hapo kabla ya umauti kumbuka alishawatia abiria kwenye kashi kashi za ajari. So hata abiria nao hawakuwa na hamu na dereva wao maana alishahatarisha maisha yao. Ndio maana wakakaa kimya. Na pia dereva alishuka kwensa kuamba msamaha na hakukuwa na dalili ya ugomvi. Kumbee ndio hivyo.Madereva wa Bus nao wanacheza Rafu ile mbaya.. wakichezew wao ndio wanajifanya kushupaza shingo.
Turudi ktk mada, abiria hao ni wajinga na hawajielewi. Pia huyu jamaa alikuwa hana dereva mwingine msaidizi? Kondakta? Tusihoji reaction ya abiria instead of kuuliza hao wengine kwanza.
Kwa mujibu wa abiria wanasema huyo dereva alikuwa na maluelue sana, hapo kabla ya umauti kumbuka alishawatia abiria kwenye kashi kashi za ajari. So hata abiria nao hawakuwa na hamu na dereva wao maana alishahatarisha maisha yao. Ndio maana wakakaa kimya. Na pia dereva alishuka kwensa kuamba msamaha na hakukuwa na dalili ya ugomvi. Kumbee ndio hivyo.hivi hiyo basi si ilikuwa na abria ? wakwaacha tu hao wauwaji wakauwa na kupanda magari yao wakaondoa? hiki kisa sizani kama ni kweli
Kwa mujibu wa abiria wanasema huyo dereva alikuwa na maluelue sana, hapo kabla ya umauti kumbuka alishawatia abiria kwenye kashi kashi za ajari. So hata abiria nao hawakuwa na hamu na dereva wao maana alishahatarisha maisha yao. Ndio maana wakakaa kimya. Na pia dereva alishuka kwensa kuamba msamaha na hakukuwa na dalili ya ugomvi. Kumbee ndio hivyo.Aisee abiria walishindwa kuingilia?
Mjini ukitaka kuamua ugomvi unapigwa wewe.Mie swali linakuja.. ABIRIA kwanini hawakuingilia hilo swala.?
Ina maana jamaa alicheza rafu kwa hao wa malori then akashuka (KUJIPELEKA) Kwa hao hao aliowakosesha ajari wakampa za kichwa..Kwa mujibu wa abiria wanasema huyo dereva alikuwa na maluelue sana, hapo kabla ya umauti kumbuka alishawatia abiria kwenye kashi kashi za ajari. So hata abiria nao hawakuwa na hamu na dereva wao maana alishahatarisha maisha yao. Ndio maana wakakaa kimya. Na pia dereva alishuka kwensa kuamba msamaha na hakukuwa na dalili ya ugomvi. Kumbee ndio hivyo.
Polisi wamesema huyo dereva wa Lori alikuwa mbele na bus ilikuwa nyuma linataka ku overtake but lori likawa halitoi nafasi,baada ya kushindana kwa muda dereva wa lori akasimama na kushuka.Akamfuata dereva wa Bus na kumshusha chini na the rest ni kama tulivyosikia..Ina maana jamaa alicheza rafu kwa hao wa malori then akashuka (KUJIPELEKA) Kwa hao hao aliowakosesha ajari wakampa za kichwa..
Halafu ukute yalianza kulalamika kwamba yamecheleweshwa safari! Sisi Watanzania siyo binadamu tunasingiziwa!Hao abiria ni viazi yani dereva anatolewa uhai wamekaa kimya kama kuku wa kizungu.hata kama dereva wa basi alikuwa na makosa mteteeni kwanza kesi baadae.
Hao madereva walikuwa wa kuua na wenyewe! Wanaume waliokuwa kwenye hilo basi ni wapumbavu!Watutsi sio watu kabisa lakini kuna Wabongo wanawashobokea sana,wale watu wamezoea kuuana huko kwao.
Walikuwa bize kurekodiAisee abiria walishindwa kuingilia?
Inasikitisha sanaWalikuwa bize kurekodi
Ova
Basi siku yake ilikua imewadia, israeli hakuwa mbali nae.Kwa mujibu wa abiria wanasema huyo dereva alikuwa na maluelue sana, hapo kabla ya umauti kumbuka alishawatia abiria kwenye kashi kashi za ajari. So hata abiria nao hawakuwa na hamu na dereva wao maana alishahatarisha maisha yao. Ndio maana wakakaa kimya. Na pia dereva alishuka kwensa kuamba msamaha na hakukuwa na dalili ya ugomvi. Kumbee ndio hivyo.
You cocksucking piece of crap kabla ya kucomment zidi ya watu waliokuzidi akili, fanya brainscan ili usijiaibishe mbele ya kadamnasi.Acha ujinga. Wanyarwanda gani walikatana mapanga?. Elewa kitu kabla ya kuropoka.
sio sawa kusema wanyarwanda wote wana roho ngumu. wanadamu wote wana roho ngumu kama hawana Mungu. hata hivyo, hatutakiwi kuukimbia ukweli kwamba wanyarwanda walikatana mapanga kipindi cha genocide 1994, ndani ya siku 100 tu wanadamu zaidi ya milion moja walikufa, kwa kukatwa mapanga, bunduki n.k. wahutu waliagiza kabisa mapanga kwenye makontena toka china muda mfupi kabla ya genocide. na kuna watu laana ya damu bado inawatafuta vizazi hadi 4 labda waokoke, ila wasipookoka, ni wauwaji na ni wakatili sana.Acha ujinga. Wanyarwanda gani walikatana mapanga?. Elewa kitu kabla ya kuropoka.
Tulishalijibia hapo juu Gari lina number ya Rwanda Dereva ni Mtanzania tena Mchaga.Hili jambo Rwanda wasidhani tumelisahau