Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha muhimu kwa sasa ni taarifa ya polisi,watuambie, hao walikuwa wageni? wameshakimbilia kwenye nchi zao? swali lingine kama walikuwa watz wameshakamatwa? tunataka kuwaona wamekamatwa na wanapelekwa mahakamani.Mtu anauawa ndani ya nchi yake na raia wa kigeni huku watanzania wenzake abiria wanaangalia?!
awe wa mninga au wa mtei, hoja ni kwamba kuna mtu kauawa na madereva malori ya rwanda, cha muhimu ni hao wauaji wakamatwe. kwani kuna ubishi kwamba kuna mtu kafa hapo? au shida yako wewe ni kujua basi lipi tu.Mlete habari iliyokamilika.
Mara dereva wa Mtei Express mara wa Maning Nice.
Mna wanasheria?
Andikeni habari yenye usahihi.
Jamii ya kitusi na kihutu sio mchezomabasi ya Mtei
cha muhimu wamekamatwa au wameshakimbilia nchin kwao. tunataka kusikia hili. polisi wapo wapi?Jamii ya kitusi na kihutu sio mchezo
Anapigwa abiria wanaangalia tu, hapa Kuna ufafanuzi unahitajika.Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?
Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
View attachment 3087265
View attachment 3087267
Stark reminder of what can happenRIP dereva. Ila vijana mkiwa kwenye magari hamna staha wala heshima,mnajidai wababe na haya ndio matokeo yake.
Huyo dereva wa hiyo lori sio mnyarwanda ni mchaga wapo watanzania wengi kwenye hiyo kampuni, dereva wa basi na wa lori wote watanzania ndugu.Mtu anauawa ndani ya nchi yake na raia wa kigeni huku watanzania wenzake abiria wanaangalia?!
Kama ni kweli then watanzania ni waoga sana, yaani dereva anapigwa nyie abiria mnaangalia tu badala ya kuingilia na kuamulia!!Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?
Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
View attachment 3087265
View attachment 3087267
Kama ni mnyarwanda ni kweli wanayaweza hayo mauajinaomba usiangalie, imeharibu siku yangu. mtu anakata roho anaruka na kutetemeka kakakamaa kama kuku yaani. mtoto wa mwanadamu mwenzio na jamaa mwanaume amesimama na rungu pembeni kama anataka kumwongeza. wakamatwe haraka wauaji hawa.
Mpaka tupate habari ya upande wa pili.Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?
Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...
Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..
View attachment 3087265
View attachment 3087267
Dereva wa lori ni mtanzania utingo mnyarwandaimagine, hadi sasaivi polisi hawajatoa taarifa yeyote kuhusu hili. hao ndio wanalinda wananchi na mali zao kweli?
Ndiyo hivyo hivyo ilivyokuwaMpaka tupate habari ya upande wa pili, nijuwavyo nadereva wa mabasi ndiyo huendesha vibaya, wanajimwambafai sana barabarani.