Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Mtu anauawa ndani ya nchi yake na raia wa kigeni huku watanzania wenzake abiria wanaangalia?!
cha muhimu kwa sasa ni taarifa ya polisi,watuambie, hao walikuwa wageni? wameshakimbilia kwenye nchi zao? swali lingine kama walikuwa watz wameshakamatwa? tunataka kuwaona wamekamatwa na wanapelekwa mahakamani.
 
Mlete habari iliyokamilika.
Mara dereva wa Mtei Express mara wa Maning Nice.
Mna wanasheria?

Andikeni habari yenye usahihi.
awe wa mninga au wa mtei, hoja ni kwamba kuna mtu kauawa na madereva malori ya rwanda, cha muhimu ni hao wauaji wakamatwe. kwani kuna ubishi kwamba kuna mtu kafa hapo? au shida yako wewe ni kujua basi lipi tu.
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267
Anapigwa abiria wanaangalia tu, hapa Kuna ufafanuzi unahitajika.
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267
Kama ni kweli then watanzania ni waoga sana, yaani dereva anapigwa nyie abiria mnaangalia tu badala ya kuingilia na kuamulia!!
 
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

View attachment 3087265
View attachment 3087267
Mpaka tupate habari ya upande wa pili.

Nijuwavyo nadereva wa mabasi ndiyo huendesha vibaya, wanajimwambafai sana barabarani.
 
imagine, hadi sasaivi polisi hawajatoa taarifa yeyote kuhusu hili. hao ndio wanalinda wananchi na mali zao kweli?
Dereva wa lori ni mtanzania utingo mnyarwanda
Na pale walipokuwa wanagombana abiria walikuwa bize wanachukua video badala ya kuamulia....
Huyo dereva wa bus alienda polisi alifungua file la kushambuliwa akaruhusiwa Alifia huko mbeleni
Itakuwa wakat anafatilia matibabu
Dereva wa lori mtz na utingo mnyarwanda wote wanashikiliwa

Ova
 
Back
Top Bottom