Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafujo mno,Nikiwa na safari za kibaha, najitahidi niende mapema kabla muda wa mabasi, au nitoke baada ya mabasi kupita, jamaa wana fujo.
kwanza hajapigwa kaguswa guswa tuhawa wana hamu ya kupigana, watafutiwe vita. wapelekwe hata huko somalia, congo au msumbiji wakamalize hasira zao huko.
Ipo siku utajaaHakuna kitu kama hicho, njoo unijaribu mimi na hizo style zako za mchongo ndio utajua hujui [emoji3]!
Mimi ni 26Kj Kisago
Ni kweli wajeda wana wivu mnoWivu kitu kibaya sana.
Hapo tatizo ni hiyo BMW .
Wivu + inferiority = uchawi
Kubwa jingaWewe humuabudu anayekupa kila mara hizo Mimba zako Tata na zinazokutesa?
Pole zake aliepigwa kuna shida sehemu lazima tusikie upande wa piliDereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
Kishajisahau kuwa yeye ni Manii tu(shahawa)Tumerud kule kule "unajua mi Nani?" [emoji848]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
SahihiHawa jamaa huwa wanajiona wapo juu ya Sheria, kama mtu amefanya kosa la usalama barabarani si achukuliwe hatua kwa mujibu wa Sheria za Nchi?
HakikaHuyo Koplo wa Jeshi hana akili, anatakiwa afanye kazi aliyoajiriwa jeshini na sio kufanyakazi za Usalama Barabarani.
Kama kuna makosa yalifanywa na Dereva wa basi alitakiwa atoe taarifa kwenye kitengo cha Usalama Barabarani.
Huyo mwanajeshi akamatwe apelekwe mahakamani Sheria ichukue mkondo wake
Kiufupi ni wapuzi.Kama alisababish ajar ingeripotiw Ajari
2:- atakam amesAbishwa Ajari Sheria inaelekeza apigwee asee!!!??