Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

Koh Koh koh.......!
yao yao .......!!
Jeshiiiiiiiiii.......!!!
konde boyyyyy.....!!!!
😁😃
in harmonize vocal.....??
 
Vyovyote ilivyokuwa huyo askari hakuwa na haki Wala mamlaka ya kumuajibisha huyo raia. Yeye siyo Hakimu Wala jaji bali ni ubabe tu wakijinga na kafanya hivyo kwa vile kaona yuko na back up ya wenzake nina uhakika km angekuwa peke yake asingefanya huo upuuzi. Huyo ni askari kanjanja anatakiwa afukuzwe kazi mara moja akalime kwao kijijini.
 
Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?

Vipigo vingine kutoka kwa Wanajeshi huwa mnavitaka na Kuvilazimisha Wenyewe.

Na kwa niwajuavyo Wanajeshi ( Wajeda ) huenda kuna Kauli Mbaya au Ujeuri fulani huyo Dereva aliwatolea na hao Jamaa huwa hawabipiwi na ukiwabipu tu Wao wanakupigia.

Huyo Dereva hayuko ICU ili nikamuone?
Km unazijua haki zako na unaishi hapa Duniani bila kumsujidia mtu huwezi kusema hivi. Nyie ndiyo mnafanya wanaume wa Dar wanadharaulika. Wapi kuna sheria inayosema usi overtake gari la jeshi au police. Hivi bado Kuna Watanzania ambao bado mna element za kijima za kumuona askari km umekutana na koboko. Badilikeni, nje ya uniform anazovaa akiwa kazini askari yeyote ni raia km wewe ana haki km raia wa kawaida. Ndiyo maana akiibiwa au kupigwa atakwenda police kufungua jalada kinyume na hapo ni kwenda kinyume na sheria za nchi na atashitakiwa km raia wengine.
 
Wameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake

Etiiii!!!
 
Kosa ni ku mu over take or Kuna lingine mkuu

Hapana mjeshi alikuwa analazinisha kuovertake dereva wa saratoga akawa anamzuia maana huyu mjeshi huenda angesababisha ajali sasa ile kuziiwa alafu mbeleni ndio akamruhusu kumbe koplo nae alikuwa kashajaa upepo ikabidi atembeze kadebra kidogo kwa raia
 
Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?

Vipigo vingine kutoka kwa Wanajeshi huwa mnavitaka na Kuvilazimisha Wenyewe.

Na kwa niwajuavyo Wanajeshi ( Wajeda ) huenda kuna Kauli Mbaya au Ujeuri fulani huyo Dereva aliwatolea na hao Jamaa huwa hawabipiwi na ukiwabipu tu Wao wanakupigia.

Huyo Dereva hayuko ICU ili nikamuone?
Mkuu kwani haiwezekani kulipua kwa nyuma?
 
Ivi mjeda ukimpiga za usoo akaona wazungu mia mia Kuna kesiii🤣🤣🤣,inamaana Jamaa hawapihiki mbona always wao Ndo hupiga....ukute hapo dogo anamiaka 28 kampiga baba 45....seeee mi namwonyesha ukengee labda wawe 7.
 
Akiwa kwenye operation za kijeshi hatakiwi kukupa copy anaenda wapi hapo anatakiwa kuzingatia za kijeshi tu

Ni vyema kupisha gari za jeshi lolote ziwe JWTZ, polisi,magereza nk hujui kulikoni hata magereza waweza kuwa wanakimbiza gaini kulipekleka mahakamani au lupango wapishe bila wanajeshi huwezi ishi kwa amani wakati wewe uwe mwanaume au mwanamke mnafanyana na mke au mume kitandani kwa raha zenu wao hawalali kuhakikisha mko salana mnaendelea kufanyana kwa raha zenui bika adui kuvamia nchi au eneo

Mnapofanyana kwa raha zenu wako lindo. Hivyo wape heshima zao ukiona wako mbele au nyuma na magari yao wapishe

Visheria vyako vya barabarani wakiwa kwenye magari official ya jeshi shika adabu yako usilete ujuaji watakuua mchana kweupe na huna kwa kuwapekeka
Akili yako inawaza ngono tu hapo hakuna kingine. Sitaweza kuelekezana na mtu anaewaza ngono tu kuwa ndo kitu watu wanachofanya kila saa. Kwa heri.
 
Akili yako inawaza ngono tu hapo hakuna kingine. Sitaweza kuelekezana na mtu anaewaza ngono tu kuwa ndo kitu watu wanachofanya kila saa. Kwa heri.
Yaani wewe ningekuporomoshea matusi ya nguoni

Wewe ukilala unautwanfa usingizi unajua kuna wanajeshi majeshi yote wako shifti hawalali ili wewe ukorone usingizi mnono huku ukishika baby wako nkikia mintage vitandani mwenu hopeless wewe.

Jinga kabisa wewe Ukiona gari yeyote ya jeshi lolote pisha ukiwa na hicho kigRi chako kilichookotwa majalalani japani au ulaya ukauziwa kama used car

Mungu nisaidie mimi kiumbe dhaifu nisikuporomoshee matusi ya nguoni wewe
 
Yaani wewe ningekuporomoshea matusi ya nguoni

Wewe ukilala unautwanfa usingizi unajua kuna wanajeshi majeshi yote wako shifti hawalali ili wewe ukorone usingizi mnono huku ukishika baby wako nkikia mintage vitandani mwenu hopeless wewe.

Jinga kabisa wewe Ukiona gari yeyote ya jeshi lolote pisha ukiwa na hicho kigRi chako kilichookotwa majalalani japani au ulaya ukauziwa kama used car

Mungu nisaidie mimi kiumbe dhaifu nisikuporomoshee matusi ya nguoni wewe
Teh teh teh. Acha mikwara hiyo, sasa matusi mimi yatanifanyaje yatanitoboa au kunivunja? Nahisi unasumbuliwa na PMDD wewe wahi hospital ukapate dawa.

hao wanajeshi unaosema hawalali hawafanyi hizo kazi bure, wanapata pesa kutoka kwenye kodi ninayolipa. nawezaje kutoa shukrani kwa mtu anayetimiza wajibu wake? Nyie ndo wale "tunaishukuru serikali imejenga madarasa" wakati ni wajibu wake.
 
1. Huyo dereva wa basi atakuwa alizingua (kusababisha ajali).
2. Kwanini iwe dereva wa Saratoga na sio wengine?
3. Wana fujo sana barabarani madereva wa mabasi.
4. Kuna mtu asiyejua fujo za madereva wa mabasi barabarani.
5. Kwanini tutetee hao wapuzi kupata mkong'oto toka kwa wanajeshi kwa rafu zao barabarani?

My take:
Sitetei wajeda kwa walilolifanya, ila mara nyingine tuwapongeze kuwa-discipline wapuzi kama hao madereva.

Wanakera sana hao na mipuuzi sana hao ndugu zetu madereva. Tutii sheria bila shuruti na hao wajeda hawatapiga mtu.
We unazani kila mwanajeshi akiamua kujichukulia sheria mkononi kama alivyofanya huyo nchi itakuwaje msipende kusifia ujinga
 
Sahihi

Mwanajeshi muda wote huwa kwenye operation hujui wanaenda wapi

Wakitaka u overtake huwa hawana shida anakuwashia taa ya indicator ile ya kuonyesha anaenda kushoto kukuruhusu u overtake

Nimeshakutana nao wakiwa kwenye msafara wa kusafirisha silaha kwenye convoy ukiwa unaenda taratibu nyuma kukiwa na land-rover full zimejaa Askari wa jeshi na Military police walikuwa wakifika sehemu imenyooka wanaruhusu magari ya overtake msafara bila shida


Kwa madereva mlioletewa leseni nyumbani kwa kuhonga
angalia indicator akiwasha ya kuonyesha kama anaenda kushoto overtake usipoona usithubutu

Akiwasha indicator ya kulia pia usithubutu usije sema ohh mbona hakati kulia huyu bwege wakati kawasha indicator ya kulia. Hujui kilicho mbele .Taa akiwasha indicator kulia ni kukutahadharisha kuwa huko mbele hakuko salama wewe hukuoni mimi nakuona usiaje ujuaji wa ohhh mbona haendi huko kulia.Ukijitia ujuaji ndio wale Hugongana uso kwa uso na gari akiwa ana overtake na hata akifa madereva wazoefu wanamuona bwege tu aliyekufa kibwege

Asilimia kubwa za ajali hutokana na madereva wanao overtake wakati mbele hawaoni vizuri
Oooh hapo sawaah
 
Kambini ni eneo la jeshi raia ulienda kufuata nini ike sio sehemu ya kwenda kupiga picha za selfie na hawara zako

Tena hao walikuhurumia nadhani uliingia kambi ambayo wababe walikuwa wameenda kulewa officers mess
Ila wanajeshi wana hulka ya kupiga mnoo, sijui hata nisemeje ila bas tyuhh aaaah
 
Kukiwacna vita au operation sheria zinasimama

Ukiona hata defender ya polisi inapiga honi au kuwasha taa au wana bendera nyekundu kaa mbali wakikuua sababu unawazuia kwa ku wa block na kigari chako mtumba toka Japan used cha mkopo huwezi washitaki popote sana sana wewe ndio utakuwq shidani tuchukulie pengine umebaki hai hawajakuua

Wanajeshi wanawahi kuua gaidi huko wewe na kigari chako mtumba used unaleta za kuleta barabarani gari ya kijeshi isipite eti waiting sheria za barabarani hujui hata traffic wenyewe huwa wanazuia magari mengine gari za jeshi zipite wewebnsni na hicho kimtumba chako cha kigari chako kimeokotwa kwenye majalala Japan ukauziwa wewe eti used

Pisha wanajeshi wapite au msafara wa viongozi wa juu upite
Mbna povuu sanaa wee mzee, au huna gari wee? Maana sio kwa omo hii khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom