Akiwa kwenye operation za kijeshi hatakiwi kukupa copy anaenda wapi hapo anatakiwa kuzingatia za kijeshi tu
Ni vyema kupisha gari za jeshi lolote ziwe JWTZ, polisi,magereza nk hujui kulikoni hata magereza waweza kuwa wanakimbiza gaini kulipekleka mahakamani au lupango wapishe bila wanajeshi huwezi ishi kwa amani wakati wewe uwe mwanaume au mwanamke mnafanyana na mke au mume kitandani kwa raha zenu wao hawalali kuhakikisha mko salana mnaendelea kufanyana kwa raha zenui bika adui kuvamia nchi au eneo
Mnapofanyana kwa raha zenu wako lindo. Hivyo wape heshima zao ukiona wako mbele au nyuma na magari yao wapishe
Visheria vyako vya barabarani wakiwa kwenye magari official ya jeshi shika adabu yako usilete ujuaji watakuua mchana kweupe na huna kwa kuwapekeka