Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Hapa unamuongelea nani? Maana dereva anafuata sheria kushitaki, hukuona video?Siku hizi jeshini kuna semina nyingi sana kuhusu mambo ya nidhamu ya mitaani na mitandaoni.Kama kaonewa afuate taratibu za kisheria.