Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?

Inabidi kufuata mwendo wa wanajeshi Highway kisa wao wanajeshi? Hii ni sheria ya wapi?

Unawaombaje uwapite? Unawaomba uwapite wao tu au magari yote inabidi uyaombe kuyapita? Hii ni sheria gani?

Popoma nilidhani umeanza kupona kumbe bado.
 
Sasa Gari ya jeshi haitakiwi ku overtake? Mbna km hii habari sijaelewa, au kuna linginee??
Sahihi

Mwanajeshi muda wote huwa kwenye operation hujui wanaenda wapi

Wakitaka u overtake huwa hawana shida anakuwashia taa ya indicator ile ya kuonyesha anaenda kushoto kukuruhusu u overtake

Nimeshakutana nao wakiwa kwenye msafara wa kusafirisha silaha kwenye convoy ukiwa unaenda taratibu nyuma kukiwa na land-rover full zimejaa Askari wa jeshi na Military police walikuwa wakifika sehemu imenyooka wanaruhusu magari ya overtake msafara bila shida


Kwa madereva mlioletewa leseni nyumbani kwa kuhonga
angalia indicator akiwasha ya kuonyesha kama anaenda kushoto overtake usipoona usithubutu

Akiwasha indicator ya kulia pia usithubutu usije sema ohh mbona hakati kulia huyu bwege wakati kawasha indicator ya kulia. Hujui kilicho mbele .Taa akiwasha indicator kulia ni kukutahadharisha kuwa huko mbele hakuko salama wewe hukuoni mimi nakuona usiaje ujuaji wa ohhh mbona haendi huko kulia.Ukijitia ujuaji ndio wale Hugongana uso kwa uso na gari akiwa ana overtake na hata akifa madereva wazoefu wanamuona bwege tu aliyekufa kibwege

Asilimia kubwa za ajali hutokana na madereva wanao overtake wakati mbele hawaoni vizuri
 
Cheo dhamana....nilishawahi kudakwa na wajeda kambi moja dar...ila hawakutaka kunichukua maelezo yangu kila nikiomba wanisikilize ndio kwanza wanazidisha kipigo ...yaani akishakupiga kofi ndio mizuka yake inazidi kupanda.baada ya kunifanya walivyofanya ikifika zamu yao, baada ya masaa mawili na wao waliiona freshi uzuri ukiishi na watu vizuri mjini basi utaishi kwa amani ilipigwa simu moja pale kambini hahaha wale wajeda walikoma kunijua... Nikawa nikienda pale heshima zote.nadhani hizi za kupiga raia ni hulka tu ya mtu.kambini wapewa maadili mazuri kabisa.tena siku hizi wanafukuzwa kazi kirahisi tu.sheria zinawabana sana.ukipata tatizo kareport tu..utasaidiwa hao sio kama police kubebana bebana.
 
Acha apigwe tu hakuna namna. Siku mkiacha kuogopa manguo yao mtaishi kwa kujiamini.

Kuna mwamba last year aliwakalisha chini askari 3 kwa upuuzi wao, walikosea wakamkadiria vibaya wakaingia cha kike
Hahaha [emoji16][emoji23] nitapamban atapamban


Hiyo man man that is true
 
Sahihi

Mwanajeshi muda wote huwa kwenye operation hujui wanaenda wapi

Wakutaka u overtake huwa hawana shida anakuwashia taa ya indicator ile ya kuonyesha anaenda kushoto kukuruhusu u overtake

Nimeshakutana nao wakiwa kwenye msafara wa kusafirisha silaha kwenye convoy ukiwa unaenda taratibu nyuma kukiwa na land-rover full zinejaa Askari wa jeshi na Military police wakikuwa wakifika sehemu imenyooka wanaruhusu magari ya overtake msafara bila shida


Kwa madereva mlioletewa leseni nyumbani kwa kuhonga i angalia indicator akiwasha ya kuonyesha kama anaenda kushoto overtake usipoona usithubutu

Akiwasha indicator ya kulia pia usithubutu usije sema ohh mbona hakati kulia huyu bwege wakati kawasha indicator ya kulia. Hujui kilicho mbele .Taa akiwasha indicator kulia ni kukutahadharisha kuwa huko mbele hakuko salama wewe hukuoni mimi nakuona usiaje ujuaji wa ohhh mbona haendi huko kulia.Ukijitia ujuaji ndio wale Hugongana uso kwa uso na gari akiwa ana overtake na hata akifa madereva wazoefu wanamuona bwege tu aliyekufa kibwege

Asilimia kubwa za ajali hutokana na madereva wanao overtake wakati mbele hawaoni vizuri
Umeongea sahihi lakini haupo sahihi pia.hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumdhuru mwingine..hapo hao mabaka wafuate sheriaa....dereva wa jeshi ana utovu wa nidham...ambayo ni sifa mbaya kwa jeshi...na amimi mpaka sasa ninavyo comment hapa hatakuwepo uraiani,naye atashughulikiwa kijeshi.
 
Wakati mwingine wanajeshi huwa wanajiona kuwa wako juu ya sheria. Kuna wengine walivunja sheria, waliovateki kwenye zebra, hapo hapo wakagonga pikipiki, gari yao ikapasuka tairi la mbele. Wakapaki pembeni kubadilisha tairi huku wananchi wakiwakoromea na wao hawakujibu kitu, walikuwa wapole kiasi cha kuwafanya wananchi nao kupoa. Hakuna aliyejeruhiwa zaidi ya gari yao kupasuka tairi. Wanajeshi wafanya fujo ni wale vijana wageni na kazi wapenda sifa na ulimbukeni kupiga wananchi au wanajeshi wenzao wa majeshi mengine
Ni sahihi ni umri ndio unawasumbua na ukosefu wa nidhamu
 
Cheo dhamana....nilishawahi kudakwa na wajeda kambi moja dar...ila hawakutaka kunichukua maelezo yangu kila nikiomba wanisikilize ndio kwanza wanazidisha kipigo ...yaani akishakupiga kofi ndio mizuka yake inazidi kupanda.baada ya kunifanya walivyofanya ikifika zamu yao, baada ya masaa mawili na wao waliiona freshi uzuri ukiishi na watu vizuri mjini basi utaishi kwa amani ilipigwa simu moja pale kambini hahaha wale wajeda walikoma kunijua... Nikawa nikienda pale heshima zote.nadhani hizi za kupiga raia ni hulka tu ya mtu.kambini wapewa maadili mazuri kabisa.tena siku hizi wanafukuzwa kazi kirahisi tu.sheria zinawabana sana.ukipata tatizo kareport tu..utasaidiwa hao sio kama police kubebana bebana.
Kambini ni eneo la jeshi raia ulienda kufuata nini ike sio sehemu ya kwenda kupiga picha za selfie na hawara zako

Tena hao walikuhurumia nadhani uliingia kambi ambayo wababe walikuwa wameenda kulewa officers mess
 
Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.


Nchi ngumu hii, tunakoelekea sijui
 
Huyo Koplo wa Jeshi hana akili, anatakiwa afanye kazi aliyoajiriwa jeshini na sio kufanyakazi za Usalama Barabarani.

Kama kuna makosa yalifanywa na Dereva wa basi alitakiwa atoe taarifa kwenye kitengo cha Usalama Barabarani.

Huyo mwanajeshi akamatwe apelekwe mahakamani Sheria ichukue mkondo wake
Mnahonga mnatoka,dawa yenu ni vupigo tu
 
Umeongea sahihi lakini haupo sahihi pia.hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumdhuru mwingine..hapo hao mabaka wafuate sheriaa....dereva wa jeshi ana utovu wa nidham...ambayo ni sifa mbaya kwa jeshi...na amimi mpaka sasa ninavyo comment hapa hatakuwepo uraiani,naye atashughulikiwa kijeshi.
Kukiwacna vita au operation sheria zinasimama

Ukiona hata defender ya polisi inapiga honi au kuwasha taa au wana bendera nyekundu kaa mbali wakikuua sababu unawazuia kwa ku wa block na kigari chako mtumba toka Japan used cha mkopo huwezi washitaki popote sana sana wewe ndio utakuwq shidani tuchukulie pengine umebaki hai hawajakuua

Wanajeshi wanawahi kuua gaidi huko wewe na kigari chako mtumba used unaleta za kuleta barabarani gari ya kijeshi isipite eti waiting sheria za barabarani hujui hata traffic wenyewe huwa wanazuia magari mengine gari za jeshi zipite wewebnsni na hicho kimtumba chako cha kigari chako kimeokotwa kwenye majalala Japan ukauziwa wewe eti used

Pisha wanajeshi wapite au msafara wa viongozi wa juu upite
 
Technical mtumish wa umma yoyote akionyesha utovu wa nidhamu wa kiwango hii cha juu ilibid Tu awe eliminated na kwenye hiyo Gari kulikuw na mkubwa wake awajibishwe kinidhamu ndan ya jeshi

Then mashataka ya endelee kama eneo Hilo lingekuw lipo kwenye operation maalum sawa labda walikosewa wangefanya hivyo , Na hatakama hakuna operations maalum wange mrepot dereva huyo katika kituo cha polis[emoji367][emoji846][emoji616][emoji616].

Matukio haya yanafuruliza CDF upo wapi tumekuw ndan ya kambi za Jeshi tumishi ndan ya familia hizo nilichokuw naona Zaid wao wanaweza mchukua mtu na kumkabithi polis au ku mripot basi[emoji112]


HII mambo yakusema kwamba madereva wa mabus wanaendesha vbaya magari sio sahihi sana hata kama hivyo uwez mpga MTU mzma mwenzako,[emoji112]

Fikir bus imebeba watu si chin ya 50+ inasafir 800km kwann asiwah safr maan kuna wapuuz wanasema angesubr kuruhusiw na wao huyu MTU ni dereva kweli [emoji613][emoji613]


NIDHAMU IMESHUKA SANA KWA ASKAR WETU WA SASA MSING WA JESHI NI NIDHAMU ILA NAJUA ALIOFANYA HIVYO UNAWEZ KUTA ATA MIAKA MITANO KAZN BADO

PENGINE ATA ANGEKUW MWINGINE ANGEFANYA KAMA ALIVYOFANYA MWANAJESHI HUYO KWAKUW TUNATOFAUTIAN KIMAAMUZ ILA YEYE NDAN YA KAZ INAWEZ M-PA SHIDA ZAID KAMA WAKUBWA WAKE WATAMKOMALIA
 
Kambini ni eneo la jeshi raia ulienda kufuata nini ike sio sehemu ya kwenda kupiga picha za selfie na hawara zako

Tena hao walikuhurumia nadhani uliingia kambi ambayo wababe walikuwa wameenda kulewa officers mess
Boss ikulu raia anaingia sembuse kambini!!!inategemeana na kile kilichokupeleka.halafu mbona umejibu kwa makasiriko sana au na wewe ni mmoja wa wale jamaa waliokiona cha mtema kuni.??!
 
Boss ikulu raia anaingia sembuse kambini!!!inategemeana na kile kilichokupeleka.halafu mbona umejibu kwa makasiriko sana au na wewe ni mmoja wa wale jamaa waliokiona cha mtema kuni.??!
Ikulu unaenda kwa appointment na kituo cha jeshi unaenda kwa appointment huingii tu kòte huko huingii tu kama unaenda sokoni kariakoo au choo cha kulipia au cha bure cha jumuiya
 
Back
Top Bottom