Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Hao madogo wanajeshi wanajifanya wababe sana wakati wake zao wanamegwa na bodaboda kiulaini kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hilo gali lilikuwa kwenye msafara wa nani?kUna watu humu wanasemaga hilo haliwezekani,naomba wakamsaidie kumpa mwongozo huyo dereva
Duuuh ila wajeda jamani, sijui wakojeeenilimuonea huruma sana, wajeda wakamuambia haya kabizi simu ili asije record.. wazee wakaichukua wakamshusha.. iliyobaki pole yake [emoji28][emoji28]
Huyo jeshi mshamba tuMadereva wa mabasi makubwa baadhi ni washenzi Sana,wanaendesha Kama vile Barabara ni ya kwao peke yao,tungesikia na upande wa pili ilikuaje
We nawe umezidi kuwaabudu hao wajeda, huoni aibu😲😲Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?
Vipigo vingine kutoka kwa Wanajeshi huwa mnavitaka na Kuvilazimisha Wenyewe.
Na kwa niwajuavyo Wanajeshi ( Wajeda ) huenda kuna Kauli Mbaya au Ujeuri fulani huyo Dereva aliwatolea na hao Jamaa huwa hawabipiwi na ukiwabipu tu Wao wanakupigia.
Huyo Dereva hayuko ICU ili nikamuone?
Bila shaka wewe ndio ungembebea mimba siyoWameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake
Wivu kitu kibaya sana.hawa jamaa banaa.. leo kuna mwingine alikuwa na BMW DVB kama sikosei maeneo ya makongo nilimkuta kawekwa kati na wajeda.. jamaa anatetemeka tu hadi huruma [emoji28][emoji28]
hueleweki una maana gani, nyie sukuma gang jambo lolote angelikuwepo flani. Kamfufueni huyo mfu wenu au mfuateni tumewachoka. kenge nyieWameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake
kwa hiyo uliona waliogopa? Walikuwa wanasubiri nani wa kulianzishaWakati mwingine wanajeshi huwa wanajiona kuwa wako juu ya sheria. Kuna wengine walivunja sheria, waliovateki kwenye zebra, hapo hapo wakagonga pikipiki, gari yao ikapasuka tairi la mbele. Wakapaki pembeni kubadilisha tairi huku wananchi wakiwakoromea na wao hawakujibu kitu, walikuwa wapole kiasi cha kuwafanya wananchi nao kupoa. Hakuna aliyejeruhiwa zaidi ya gari yao kupasuka tairi. Wanajeshi wafanya fujo ni wale vijana wageni na kazi wapenda sifa na ulimbukeni kupiga wananchi au wanajeshi wenzao wa majeshi mengine
ushawahi kusikia raia kupiga mwanajeshi? we mwanajeshi unamchukulia sawa na hawa maplosi uliowazoea siyo?Acha upumbavu huu,ni hawa so called wanajeshi,magari ya serikali, umma ndio vurugu kubwa kwenye mabarabara yetu, Doctor naye ni mshenzi hailezi ukweli kuwa majeruhi hayo ya mpigwa yalitokana na nini, police nayo ni ovyo why they can't arrrest a suspect, hapo ingekua raia kapiga mwanajeshi ingekuaje?,mwanausalama haruhusiwi kupiga raia
Mwaka 2016 kigomaAcha apigwe tu hakuna namna. Siku mkiacha kuogopa manguo yao mtaishi kwa kujiamini.
Kuna mwamba last year aliwakalisha chini askari 3 kwa upuuzi wao, walikosea wakamkadiria vibaya wakaingia cha kike
we kunguru tu huwajuiMimi mwanajeshi anaweza kunisumbua nikiwa kambini kwake tu nje na apo labda aje CDF..
Suala sio kulipita ila yawezekana ni namna alivyopitaDereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
kawaeleze watoto wenzako huu upupuMwaka 2016 kigoma
Kikosi number 24Kj Vamia
Niliwapa kichapo wanajeshi 7 mpaka kanal wa kipindi hicho hapo nyingo akaja kuniomba nisuwafundishe Raia style zangu za mapigano
Niliwapiga style ya merantau hawatonisahaukawaeleze watoto wenzako huu upupu