Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ni kweli, na abiria ndo wengi. Kuna wanyama wanaitwa nyumbu huwa ni wengi ila sasa.Shida bas za kibongo konda ana nguvu(ya maamuzi) kushida abiria, na abiria hawana ushirikiano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, na abiria ndo wengi. Kuna wanyama wanaitwa nyumbu huwa ni wengi ila sasa.Shida bas za kibongo konda ana nguvu(ya maamuzi) kushida abiria, na abiria hawana ushirikiano
Pengine wanakemea, ila anawapuuziaKabisa, viazi alivyobeba ndani ya basi haviwezi jitetea.
PDP ni nini MkuuHapo ndipo nchi hii inafeli,yaani watawala wameshajua upumbavu wa watanzania ndio mtaji wao, wenzetu sasa wanaanza kutumia demerits systems, yaani kila mwaka dereva anapewa 12pts, za kutumia mwaka mzima, zikiisha kabla driving license yake automatically inajifunga,kwa kosa hapo juu, huyu dereva wa bus la abiria angepoteza pts zote, na mwisho madereva hawa wa public transport ni lazima pia wawe na PDP ili waendeshe magari haya
Mkuu katika uzoefu nilionao, mara chache sana abiria wa Tanganyika watasimama kukemea, tena akisimama mmoja wengine wanakaa kimya. Ajali ikitokea ndo husema tulijua tu, ule uendeshaji haukuwa wa kawaida.Pengine wanakemea, ila anawapuuzia
Professional Driving Permit,hii ina systems yake ya kuipata ,tofauti kabisa na Driving licensePDP ni nini Mkuu
Inapatikanaje hii mkuuProfessional Driving Permit,hii ina systems yake ya kuipata ,tofauti kabisa na Driving license
Kama alivyosema mdau, hakuna ushahidi..., sasa linapokuja suala la kutaja kampuni inaweza isiwe haki kwa kampuni, dereva achunguzwe yeye kama yeyeNi Basi la kampuni gani? Wazani Kuna MTU ambaye anafuatilia namba ya gari hasa Basi?
Hamna wabongo ndani wakishafunfuliwa singeli amapiano movie kwishaaaPengine wanakemea, ila anawapuuzia
Uafrika hasa utanzania ni laana.Sheria butu+ barabara finyu na mbovu+ madereva wapumbavu+ matrafic wala rushwa
Hii nchi imeoza