Dereva wa basi namba T331 BMM achunguzwe haraka kabla hajaua watu!

Dereva wa basi namba T331 BMM achunguzwe haraka kabla hajaua watu!

Utakuwa ulijaa kwenye barabara na kigari chako used cha Japan na kileseni chako cha kuhonga kuletewa nyumbani bila kupitia mafunzo serious ya udereva na kufaulu mitihani yote ya theory na vitendo

Madereva wa mabasi ya safari ndefu wakikuona hujielewi wana namna ya ku overtake ambayo kama wewe leseni uliletewa nyumbani lazima uende porini huko wanajua namna ya kukusukumiza huko kama u awabania ku overtake

Anakuchomekea kichwa kama anataka kukugonga mbele kwenye usukani ulipo halafu huyo anachomoa mbio akikuacha wewe unasererekea huko na Kigali chako mtumba cha wajapani

Ukiendesha na vigari vyenu vya mikopo au mitumbab hakikisha unaancha nafasi kubwa gari kubwa kama mabasi ya overtake kwa raha zao sio unakomaa tu kimwendo chenyewe kidogo na barabara unazuia basi ku overtake lazima akufanyizie na hutasagau alichokufanyizia

Siku ingine usirudie huo ujinga mwenye nguvu mpishe .Basi ukiona kinakuja wangu wangu achia nafasi lipite usikomae tu na hicho kimtumba chako
Kenge mmoja, mbele kuna Lorry, na kulia kuna Lorry linakuja, una-overtake vipi kama sio bangi zinawasumbua
 
Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.

Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.

Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.

Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!

Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.

Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.

View attachment 2708845

Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Tunaomba namba za dereva wa Semi tumchangie tafadhari ntashukuru sana sana ana stahiki pongezi kubwa sana
 
Kama alishtakiwa kwa wana usalama muda huo huo, abiria wake ndio wangetoa ushahidi kama wangekuwa tayari kutoa ushirikiano.
Tatizo lingine ni rushwa, kwahiyo hata hiyo faini sina hakika sana hata kama alipigwa
 
Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.

Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.

Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.

Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!

Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.

Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.

View attachment 2708845

Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Kwa kweli alifanya Jambo Baya Sana na hiyo adhabu unayofikiria alipata ni ndogo. Tatizo ushahidi toshelevu hakuna kama picha mnyato WA tukio nk , labda kama abiria waliokuwa kwenye Hilo basi watajitokeza
 
Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.

Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.

Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.

Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!

Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.

Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.

View attachment 2708845

Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Kuna shida kubwa sana kwenye mabasi hivi sasa, last week tumenusurika kusambaratishwa kwenye bus kona za mlima wa Dumila baada baada ya mabasi matatu kuovertake malori kadhaa kwa mpigo huku yule wa mbele akijichomekachomeka wakati wale wawili wa nyuma yake hawaoni kinachotokea mbele.

Nadhani ipo haja magari yote yafungwe camera ili footprint zinazopatikana zitumike kufilter madereva wa hovyo
 
Tatizo lingine ni rushwa, kwahiyo hata hiyo faini sina hakika sana hata kama alipigwa
Wengine wanachofanya ni kulipa fine mapema asubuhi ili huko mbele wasisumbuliwe, nadhani ni kutokana na utaratibu wa kulipa fine once
 
Kuna shida kubwa sana kwenye mabasi hivi sasa, last week tumenusurika kusambaratishwa kwenye bus kona za mlima wa Dumila baada baada ya mabasi matatu kuovertake malori kadhaa kwa mpigo huku yule wa mbele akijichomekachomeka wakati wale wawili wa nyuma yake hawaoni kinachotokea mbele.

Nadhani ipo haja magari yote yafungwe camera ili footprint zinazopatikana zitumike kufilter madereva wa hovyo
Panda ndege
 
Baadhi ya wamiliki wa kampuni za mabasi wanapendezwa na mwendokasi kasi.

Tena wanatafuta madereva wenye mwendokasi.

Na wananunua makosa yote ya njiani [emoji108]

Inasikitisha sana.[emoji848]

Sijui itokeapo ajali hawajui kwenye dhambi ya kuua nao watakuwa na mgao wao?!
 
Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.

Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.

Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.

Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!

Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.

Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.

View attachment 2708845

Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Unaogopa kufa angali Kuna mabikra 77 wanakusubiri huko. Ww hupendi kwenda mbinguni kwa baba!?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom