Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Nchi zilizoendelea teknolojia hii ipo.kuna haja sasa, dunia ya kidigitali barabara kufungwa Camera.
Lakini huku Dunia ya tatu Afrika kwa watu wasio jitambua ni kujiendea hovyo hovyo tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi zilizoendelea teknolojia hii ipo.kuna haja sasa, dunia ya kidigitali barabara kufungwa Camera.
Kenge mmoja, mbele kuna Lorry, na kulia kuna Lorry linakuja, una-overtake vipi kama sio bangi zinawasumbuaUtakuwa ulijaa kwenye barabara na kigari chako used cha Japan na kileseni chako cha kuhonga kuletewa nyumbani bila kupitia mafunzo serious ya udereva na kufaulu mitihani yote ya theory na vitendo
Madereva wa mabasi ya safari ndefu wakikuona hujielewi wana namna ya ku overtake ambayo kama wewe leseni uliletewa nyumbani lazima uende porini huko wanajua namna ya kukusukumiza huko kama u awabania ku overtake
Anakuchomekea kichwa kama anataka kukugonga mbele kwenye usukani ulipo halafu huyo anachomoa mbio akikuacha wewe unasererekea huko na Kigali chako mtumba cha wajapani
Ukiendesha na vigari vyenu vya mikopo au mitumbab hakikisha unaancha nafasi kubwa gari kubwa kama mabasi ya overtake kwa raha zao sio unakomaa tu kimwendo chenyewe kidogo na barabara unazuia basi ku overtake lazima akufanyizie na hutasagau alichokufanyizia
Siku ingine usirudie huo ujinga mwenye nguvu mpishe .Basi ukiona kinakuja wangu wangu achia nafasi lipite usikomae tu na hicho kimtumba chako
Tunaomba namba za dereva wa Semi tumchangie tafadhari ntashukuru sana sana ana stahiki pongezi kubwa sanaDereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
View attachment 2708845
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Kama alishtakiwa kwa wana usalama muda huo huo, abiria wake ndio wangetoa ushahidi kama wangekuwa tayari kutoa ushirikiano.shida ni ushahidi, lakini kama kuna ushahidi haraka sana huyo dereva anapaswa kufungiwa leseni walau mwaka hivi.
Tatizo lingine ni rushwa, kwahiyo hata hiyo faini sina hakika sana hata kama alipigwaKama alishtakiwa kwa wana usalama muda huo huo, abiria wake ndio wangetoa ushahidi kama wangekuwa tayari kutoa ushirikiano.
Kwa kweli alifanya Jambo Baya Sana na hiyo adhabu unayofikiria alipata ni ndogo. Tatizo ushahidi toshelevu hakuna kama picha mnyato WA tukio nk , labda kama abiria waliokuwa kwenye Hilo basi watajitokezaDereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
View attachment 2708845
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Kuna shida kubwa sana kwenye mabasi hivi sasa, last week tumenusurika kusambaratishwa kwenye bus kona za mlima wa Dumila baada baada ya mabasi matatu kuovertake malori kadhaa kwa mpigo huku yule wa mbele akijichomekachomeka wakati wale wawili wa nyuma yake hawaoni kinachotokea mbele.Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
View attachment 2708845
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Wengine wanachofanya ni kulipa fine mapema asubuhi ili huko mbele wasisumbuliwe, nadhani ni kutokana na utaratibu wa kulipa fine onceTatizo lingine ni rushwa, kwahiyo hata hiyo faini sina hakika sana hata kama alipigwa
Panda ndegeKuna shida kubwa sana kwenye mabasi hivi sasa, last week tumenusurika kusambaratishwa kwenye bus kona za mlima wa Dumila baada baada ya mabasi matatu kuovertake malori kadhaa kwa mpigo huku yule wa mbele akijichomekachomeka wakati wale wawili wa nyuma yake hawaoni kinachotokea mbele.
Nadhani ipo haja magari yote yafungwe camera ili footprint zinazopatikana zitumike kufilter madereva wa hovyo
Unaogopa kufa angali Kuna mabikra 77 wanakusubiri huko. Ww hupendi kwenda mbinguni kwa baba!?Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
View attachment 2708845
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!