Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

HUO NI UONGO MKUBWA KABISA. NCHI HII HAINA CHOMBO ZAIDI YA POLISI KWA UPELELEZI TUNAKOSEA SANA TUNAPOLIAMINI JESHI L polisi kutoa taarifa..HATUNA LA KUSEMA MUNGU ATAHUKUMU HAKI KESHO . TZ IMETAMALAKI DHULUMA TU

KWA NINI NASEMA NI UONGO KWA DEREVA WA MALOLI KAMA MIMI NI IMPOSSSIBLE KILICHOELEZWA

UKWELI UNAWEZA KUWA HIVI

" KWENYE KIZUIZI ITAKUWA ALIRUHUSIWA KUTOKEA MBALI APITE, GHAFLA POLISI AKALAZIMISHA KUSIMAMA NA KUAMUA KUMKWEPA NA KUINGIZA LORI POLINI. BAADA YA HAPO AKAPATA HASIRA KWENDA KUPAMBANA NA POLISI UENDA HICHO KISU AMEBAMBIKIWA NDIPO POLISI WAKAAMUA KUFANYA MAUAJI"

MIMI NAWAJUA SANA HAWA WAKIWA KWENYE KIZUIO NI HOVYO...KABISA.
SITORUHUSU MWANANGU AFANYE KAZI YA UPOLISI
 
Kisu nacho ni silaha. Kwa wenzetu wakikuambia weka chini ukagoma ni risasi zinakuhusu. Kwanza si moja. Kwa nn ukaidi agizo?
 
Kama kweli alitaka kuwagonga. Basi risasi ilikuwa halali yake bila hata kutoa kisu. Sema watu wa haki za binadamu watasema askari wangemshika tu..Ila am sure mtu akitaka kukugonga ukamshoot Mungu anakuelewa kabisa
 

usikazi fuvu.kuanzia leo jua hivi.

ni wakati gani utachapwa risasi.

ukiwa na silaha nyingine ta moto na una kila dalili ya kudhuru watu au kujidhuru.

ukiwa na silaha nyingine ambayo inaweza kudhuru kama panga upinde na unadalili zote za kudhuru au kujidhuru.

ukiwa umeyaweka hatarini maisha ya mtu mwingine either umemkaba au umemkalia na anaelekea kufa.

ukiwa umeshika kilipuzi na una kila dalili ya kukiweka kwenye sehemu kama mafuta au gas.

NOTE:hakikisha katika harakati zako za kila siku huwapi sababu polisi ya kukupiga risai,hawata kupunguza kasi kwa kurengachini ya goti ila watakuua kabisa ukapumzike.
 
Hii story imeletwa kwa ufupi sana humu, ila ukweli ni kuna askari watatu wamejeruhiwa mmoja kavunja bega, inaonesha kulikuwa na mapambano alafu pia dereva mwenyewe wa ili gari ndo akieendesha kwa muda huo kwaiyo inaonesha hata uyo dereva labda alitekwa au vipi, na kiukweli kabisa walio karibu na eneo la tukio walisikio mirindimo ya risasi kwa mda fulani, Mimi nipo Lindi hapa musilaumu sana hao Police bila kujua magumu wanayopitia, kumbukeni huku ndo njia ya kwenda Msumbiji, alafu uko Msumbiji kumechafuka sio kitoto, tuwaheshimu tu makamanda tusipende kulaumu kila ktu
 
 
Huyo akuwa dereva ila ni alshababu take from my source
 
Police wetu Wana utu sana, na ukiona hivyo walimvumilia hadi mwisho
 
Jina lake sasa na ugaidi havipishani
Kama hukijuwi kizuwizi cha lindi basi ongea kwakuwa huwo mdomo ni mali yako ila kiufupi huyo dereva atakuwa ni giadi na itakuja thibitishwa baadae... Kizuwizi cha Lindi nimoja ya vizuwizi madereva na maharamia wanakichukia sana.
 
Polisi hamuaminiki kabisaa hata mkisema jambo kila mtu anatilia mashaka
 
Ni ngumu sana kuwaamini hawa akina Kingai. Taarifa yoyote inayotolewa na Jeshi la Polisi la Tanzania, kuweza kuaminika, labda awepo mtu mwingine huru aliyeshuhudia.

Kwa hisia zangu, hii habari kwa 80% itakuwa ya uwongo, imetengenezwa na Polisi. Kama alikuwa na fedha, itakuwa ndiyo sababu ya kifo chake.

Ukiwa na hela, ujitahidi polisi wasijue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…