Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Alikuwa na kitu kama kisu!!! Kwa maneno mengine si kisu kwani polisiccm wameshindwa kuthibitisha. Hao polisiccm aliowajeruhi watatu aliowajeruhi alitumia nini kuwajeruhi? Je, polisiccm watatu walishindwa kutumia nguvu kumdhibiti huyo dreva hadi wamuue!? Huyo aliyemuua ana kesi ya kujibu na afukuzwe kazi mara moja.

Jana usiku kwenye taarifa ya habari saa mbili jashi la polisi lilieleza jinsi tukio lilivyokuwa, polisi wanadai dereva alikuwa na kitu kama kisu! Inamaana hata baada ya kumuua hawakuweza kutambua kama ni kisu au la! Pili wananasema mtuhumiwa akiwa na zilaha yake hiyo alitaka kumnyang'anya silaha askari na askari husika alifanikiwa kumpiga risasi mtuhumiwa, mwisho wanahitimisha kwa kusema mtuhumiwa aliyekuwa na akitaka kupora silaha aliweza kuwajeruhi askari wengine waliokuwepo karibu na tukio! Maelezo haya ninaona hayako sawa japo nalazimika kuyakubali.
 


Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.

Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa gari kisha gari likaingia msituni.

Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.

Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Hapa shahidi mwaminifu Ni Mungu TU, maelezo ya Polisi hayaaminiki now days!

Ukute walimpa kisago akakata Moto, zen wakatengeneza story, kama n kwel Basi kulikua na namna baina yao wawili!
 
Hapa shahidi mwaminifu Ni Mungu TU, maelezo ya Polisi hayaaminiki now days!

Ukute walimpa kisago akakata Moto, zen wakatengeneza story, kama n kwel Basi kulikua na namna baina yao wawili!
Kuna mengi hayatafahamika hapa
 


Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.

Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa gari kisha gari likaingia msituni.

Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.

Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Huyo dogo kazikwa juzi ubungo changanyikeni (nyuma ya chuo kikuu)ni bwana mdogo tuu nasikia alienda kwa nia ya kuomba wale polisi msamaha lakini kukawa kuna polisi mmoja alikuwa anamsukuma sukuma na kumpiga makofi dogo kumbe nae alikuwa na kisu kiuno alipoona polisi anazidi mpiga akakitoa kamchoma nacho yule polisi mwingine alipoingilia nae kala mwenzao mwenye silaha akaona isiwe tabu ndo akamaliza alafu wakampa hiyo kesi (alikuwa anajaribu kunyang'anya silaha)"dogo nae alikuwa ostazi kweli kweli ni mpare mwenye itikadi kali hadi kwao wote wana msimamo huo wa kidini
(Za chini chini)inasemekana hao jamaa hapo beria eti ikifika mda fulani jioni huwa wanakula sana tungi eti wananunuliwa na baadhi ya wafanya biashara wanaopitisha mizigo yao kinyemela.. (naomba niishie hapo tafadhali)
 
Kama ni kweli basi wendawazimu ulimpanda na askari naye akakosea kidogo akampa ya mbavu
Walichezea visu hadi wamelazwa hospital dereva nasikia alikuwa na kisu kiuno (kile cha kujilinda si unajua ma ostazi hawakosagi?) Dogo alikusa ulamaa kazikwa kwao changanyikeni (nyuma ya chuo kikuu mlimani)
 


Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.

Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa gari kisha gari likaingia msituni.

Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.

Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Hakuna kitu hapo, uongo mtupu. Mharifu hupewa onyo asimsogelee askari, akikaidi hupigwa risasi eneo lolote lisilo hatarishi. Polisi Tanzania ni kama mwanamke, usimwamini hata akiwa uchi.
 
Huyo dogo kazikwa juzi ubungo changanyikeni (nyuma ya chuo kikuu)ni bwana mdogo tuu nasikia alienda kwa nia ya kuomba wale polisi msamaha lakini kukawa kuna polisi mmoja alikuwa anamsukuma sukuma na kumpiga makofi dogo kumbe nae alikuwa na kisu kiuno alipoona polisi anazidi mpiga akakitoa kamchoma nacho yule polisi mwingine alipoingilia nae kala mwenzao mwenye silaha akaona isiwe tabu ndo akamaliza alafu wakampa hiyo kesi (alikuwa anajaribu kunyang'anya silaha)"dogo nae alikuwa ostazi kweli kweli ni mpare mwenye itikadi kali hadi kwao wote wana msimamo huo wa kidini
(Za chini chini)inasemekana hao jamaa hapo beria eti ikifika mda fulani jioni huwa wanakula sana tungi eti wananunuliwa na baadhi ya wafanya biashara wanaopitisha mizigo yao kinyemela.. (naomba niishie hapo tafadhali)
Duh asee hatari sana. Huyo utingo aliekuwa nae mbona hajahojiwa aeleze ukweli halisi?
 
Back
Top Bottom