Dereva wa Mamlaka ya Bandari na wenzake wafikishwa Kizimbani kwa Wizi wa Mafuta lita Milioni 9

Kama China hao ni risasi zakisogo tu bila kucheleweshwa.

Wale wasiojulikana wangekuwa wana eliminate watu kama hao ningewaona wa maana
sahihi sana kama hao watu wangeulinda uchumi wetu kwa nguvu na wivu mkubwa tungefika mbali sana na sio kuhangaika na wanasiasa ambao sioni kama kelele zao zinaweza zikahatarisha usalama wa Taifa letu.
 
Aiseee unapga dili defu then unabaki nchn wajinga sana wangesepa kla mtu kivyake
 
Wizi wa namna hii mara nyingi huwa ni mtandao, ukichunguza kwa undani Sana utabaini kwamba kuna Watu wengi Sana watakuwa wamehusika katika wizi huo.
 
Kosa 2019 mpaka 22, mashtaka 2014:

  • Wana wahasibu
  • Auditors

Tanzania ni channel ya comedy aisee!
 
Ukisikia money laundering ndio kama hizo sasa
Mwanamke anaenda china anashusha makontena kumbe nyuma kuna mfadhili wa mafuta
Halafu kwenye mitandao wanamsifia ya kuwa huyu mama au dada atafika mbali na ni mbunifu haswa 😄
 
Mmoja namfahamu anamiliki migodi ya dhahabu na biashara za magari ya mikoani na shule.aAwamu ya kizimkazi wanaiba sana pesa.
 
Ilikuaje hawakuwahusisha maboss ...hizo kesi uko zipo nyingi sema nyingi maboss wanahusika kwahyo zinaisha tu
 
Ni Kweli. Na miongoni mwao ni vigogo walio ndani ya Kampuni hiyo.
Siyo mabosi wa ndani wa kampuni hiyo tu, kwa uzoefu wangu binafsi kuhusiana na matukio ya namna hii, uhalifu wa namna hii huwa pia unawahusisha hata baadhi ya Vigogo waliopo ndani ya Jeshi la Polisi, Tiss na baadhi ya Makampuni binafsi ya shughuli za Ulinzi zinazohusika hapo bandarini. I'm talking from the experience!

Nisingependa kueleza kwa undani zaidi kuhusu suala hili.
 
Yeah. Ukitazama Mazingira ya tukio (kama kweli lilitokea) haiwezekani just a mere driver na hao wachache waliotajwa waweze kuiba kiasi hicho cha mafuta na kwa muda mrefu hivyo bila kugundulika.
 
Sasa hizi deals ndio utaona mtu anatamba na hela baada ya kufungua kiduka cha nguo au perfume na hamjui utajiri kaupatia wapi kumbe mwenzenu anadeals zake ila kutwa kucha ni kututambia kwenye mitandao kuwa hardworking pay..!
Wanakuwaga na nyodo balaa
 
Aiseee unapga dili defu then unabaki nchn wajinga sana wangesepa kla mtu kivyake
Unakuta deals hizo ni miaka 10 wamepiga hivyo..na mnufaika mkubwa ni mtu anayewatuma wao usikute waliishia kupewa posho tu..
 
Sasa hizi deals ndio utaona mtu anatamba na hela baada ya kufungua kiduka cha nguo au perfume na hamjui utajiri kaupatia wapi kumbe mwenzenu anadeals zake ila kutwa kucha ni kututambia kwenye mitandao kuwa hardworking pay..!
Kweli kbs yan utajiri wa mtu una siri ila ukimuuliza siri ya mafanikio yake atakwambia anapambana sana n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…