Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes... Angeacha aisee...Umeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.
Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.
Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
Haswaa bora waendelee kufanya hivyo, kuepushaa matatizo mengine makubwaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndio maana Kuna vijana wakataa NDOA humu maaana wameshajiona AKILI zao n km za huyu mume wa huyu dadaa ..ss Ili wasifikie uko ndio maaana wanakataaa mapema ndoa ..[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh bas sawaah.Mahakama haifanyi Kazi kwa hisia kama ilivyo Jf.
Jamaa anachomoka mapema tu.
Km walichuma wote?na mahakama ilikua inasimamia case hiyo, au hujasoma hapo??Mtoto ana miezi 6 na ndoa yao ilivunjika tangu mwaka juzi hii inamaanisha kuwa mtoto si wake kazalishwa na mwanaume mwingine huko na kama haitoshi bado anamganda X wake ili wagawane Mali qmmke
da hatari sana mkuu,pesa unaitafuta kwa uchungu baada ya kupata kianzio unaoa matokeo yake unakuwa hivi!? mwanamke amekuja na ndala tu afu..dah, minilichojifunza hatanikioa shughuli za mali simuhusishi, kama nitaona sio fea naandikisha watoto.Kuna mmoja hapa naona alianza kumvuruga jamaa muda sana mara amtoroke anaenda kuliwa mikoani huko mara apigwe mtungo na wateja wake,yaan vurugu haziishi
Baadae jamaa ikabid aoe kidem kidogo akakipangisha jiran,basi mke wa jamaa akaanzisha kesi za ustawi wa jamii eti hapewi matumiz,ikaamuliwa jamaa amkabidhi duka,duka likafirisika,alivyokosa pa kushika akaenda mahakaman kuomba ndoa ivunje na kwel akafanikiwa,ikaamuliwa wagawane nyumba na viwanja na mali zingine
Jamaa kachanganyikiwa basi amekuwa ni mtu wa kumtafutia dawa anayamwaga humo ndani anapoishi huyo mwanamke,mwanamke nae anajiamin sana wala hata aogopi yupo tu ila ninavyowaona kuna mtu anaweza kufa kabisa
Na unaweza kukuta chanzo ni mwanamke kabeba ujauzito wa mtu mwingine / alikuwa na mahusiano ya nje mda mrefu, sihukumu lakini najaribu kuvuta picha tuUmeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.
Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.
Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
Rudia kusoma tena habari yote,utaelewa tatizo nini!!!Wanaume wa hovyo hao!! Una kazi Yako!! Mwanamke umezaa nae!! Mmezinguana !! Kwani mkiachana Salama Kuna nn!!
Ushamba mzigo
Tatizo la siku hizi watu wengi tuko closed minded sana mtu unaamini kitu fulani kikishindikana unasema haiwezekani. Usiogope changamoto usiogope kuanza upya. Unaanza upya lakini una Faida ya kuwa na uzoefu. Hii ni changamoto kubwa kwa sababu Vijana wengi hawajapitia Jando. Kuna mstari wa biblia unasema usitumie uwezo wako wa kufikiri pekee bali mshirikishe Mungu. Ukitumia uchambuzi wa kiphilosophia wa huu mstari wa biblia,utagundua kwamba tumeambiwa tuwe wajinga katika maisha tupokeee kila kitu kama tulivyo.Usijiwekee kwamba kitu fulani hakiwezi kunitokea au sitakubali. Ukifanya hivyo utaingia kwenye Majaribu ambayo itabidi uuwe au hata ufanye mambo ya kutisha. Ni muhimu sana kupokea changamoto na kuzitafutia uchambuzi. Kwa kukaa chini na kufikiri. Yaani kuna watu walivurugwa na wake zao, ndugu zao na watoto wao na bado wakasimama. Just imagine mwanaume unapambana na Maisha ndugu wanakuombea mabaya Wazazi wameshafariki, Mke naye hayuko upande wako watoto ndo kabisa wanajiharibia maisha ili wakukomoe ila bado upo strong. Kuna Fogo mmoja ni rafiki anaishi maisha haya na mambo yanaendelea. Anapambana na Kazi na biashara zinasimama na zinazidi kukua. Ukitumia uwezo wako wa kufikiri katika maisha utafocus kwenye mambo yasiyo na msingi.kwa ulimwengu wa sasa kuoa ni jambo la hatari sana. wanaume tuendelee tuu kuwatia mimba warembo lakini sio kuoa.
jamamani mwanake anayehitaji mimba ajitokeze
Wewe unarwafi sio bure!! Kama unaona mm demu Nigee mnduku uone!! Mimi Huwa hawashangaa sana demu mnashindwana nmapigana!? Mademu kibao!??Wanawake mnamehimko sana.
Umejuaje kuwa kitendo hicho kimefanywa na ex wake?.
Samahani chief, nimekosea.Wewe unarwafi sio bure!! Kama unaona mm demu Nigee mnduku uone!! Mimi Huwa hawashangaa sana demu mnashindwana nmapigana!? Mademu kibao!??
Pumbavu kweli [emoji3][emoji3]Samahani chief, nimekosea.
Tupo kwenye faceless forum na mimi uwanagundua jinsia ya mtu kupitia mihemko yake.
Sikujua ikiwa we ni ME. mara nyingi uwa nipo sahihi kwa kuhotea jinsia za watu hapa Jf. Mazoea yameniponza!!.
Acheni tamaaHuyo mwanaume asiachiwe hadi haki itendekee.
Jamani ndoa haiko kwa kila mtu, na sio lazima.
Duuuh kazi ipooo, polee zao sanaa hao wahanga.