dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ni Kweli ila unakuja kuleta hbr za kugawana Mali nilizo ziangaikiaa hpn kwa Kweli Kama Mali s atafute zakeHuyo mwanaume asiachiwe hadi haki itendekee.
Jamani ndoa haiko kwa kila mtu, na sio lazima.
Duuuh kazi ipooo, polee zao sanaa hao wahanga.
Sahih kbsaaaUmeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.
Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.
Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
Sahih kbsaaWanawake siku hz wanajifanya wajasiri sana ila watakipata wanachokitafuta
Wee ndio uelewi kituWanaume wa hovyo hao!! Una kazi Yako!! Mwanamke umezaa nae!! Mmezinguana !! Kwani mkiachana Salama Kuna nn!!
Ushamba mzigo
Njoo nikuoe mm maana kwangu kila kitu kipo tukiachana hakuna kugawana Mali maana hakuna tutakacho vuna pamojaHapana kuuliwa sitaki bora nisiolewe [emoji17]
Njoo nikuoe mm maana kwangu kila kitu kipo tukiachana hakuna kugawana Mali maana hakuna tutakacho vuna pamoja
Tunaweza yajenga tu usiwe na hofuHapana, nashukuru sihitaji ndoa ya kupelekeshwa na mtu
Nikiwa single naenjoy [emoji2222][emoji2222]
Bro huniwezi oooh shauri yako, wewe kaza fuvu 🤣🤣🤣Tunaweza yajenga tu usiwe na hofu
Hahahhaaaaa wewe njoo PM tuyajengeBro huniwezi oooh shauri yako, wewe kaza fuvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kesi ina nukta nyingi mno.View attachment 2674124
Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwamwagia kemikali watu wawili akiwemo mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri wa miezi sita (jina limehifadhiwa).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, alipozungumza na Mwananchi jana Juni 29, akisema lilitokea juzi wakati mwanamke huyo na mtoto wake wakiwa wanasubiri daladala eneo la Maghorofani jijini hapa.
Amesema wamemshikilia dereva huyo kama mshukiwa baada ya mtu asiyejulikana kummwagia mtalaka wake tindikali.
"Ni kweli taarifa hizo zipo tulipata taarifa hizo na tulifanya ufuatiliaji hiyo jana ( juzi) majira ya usiku na huyo mtuhumiwa tayari ametiwa mbaroni, kwa sasa tunaendelea na mahojiano," ameeleza Kamanda Martin Otieno.
Akizungumza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Witness ambaye ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Idedelomkazi wilayani Mufindi mkoani Iringa, amesema mkasa huo ulimkuta aliposhuka kituo cha Maghorofani akitokea Mafinga mkoani Iringa alipokuwa akisubiri usafiri wa kumpeleka atakofikia.
Amesema alikuja mkoani Dodoma kuleta wito wa Mahakama ya Mwanzo ya Mafinga kwa aliyekuwa mumewe ambaye walitenganishwa na mahakama hiyo.
"Safari yangu ilianza saa 3:00 asubuhi na Gari ya Shabiby nikitokea Mafinga lengo likiwa ni kuleta wito Mahakama ya Mwanzo ya Dodoma.
"Safari ilienda vizuri hadi nilipofika kituo cha mabasi Maghorofani niliposhuka kusubiri daladala au bajaji ili niende kukabidhi wito huo,” amesema.
Amesema akiwa katika kituo hicho, alipita mwanaume mmoja ambaye hakumfahamu akiwa ameshika kichupa mkononi kilichokuwa na kimiminika na mara baada ya kumsalimia alimwagia usoni.
“Alichofanya ni kunisalimia tu dada habari na kabla sijamjibu akanimwagia tindikali. Kwa muda nilibanwa na pumzi lakini nikajitahidi nikaomba msaada kwa watu waliokuwa pembeni na kituo hicho,” amesema.
Amesema madereva bajaji na bodaboda walimsaidia na kumfikisha kituo cha polisi, ambapo alipewa PF3 na kisha walimpeleka katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambako amelazwa.
Witness amesema alikuwa akimpelekea Makiwelu wito wa mahakama uliolenga kugawana mali walizochuma pamoja baada ya ndoa yao kuvunjwa na Mahakakama ya Mwanzo ya Mafinga mwaka juzi.
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk Baraka Mponda amesema walimpokea mama huyo na mtoto wake wa miezi 6 juzi jioni wakiwa wamejeruhiwa usoni kwa kumwagiwa kemikali.
Dk Mponda amesema majeruhi hao walifika wakiwa kwenye maumivu makali, mama akiwa ameathirika maeneo ya usoni, shingoni na begani na usoni kwa upande wa mtoto.
Amesema majeruhi hao wameendelea kupatiwa matibabu zaidi hospitali hapo.
Chanzo: Mwananchi
Kwahyo mmetuamuliaWanawake siku hz wanajifanya wajasiri sana ila watakipata wanachokitafuta
Kwani umeambiwa yeye ndiyo aliyemmwagia tindikali??? Aachiwe haraka sana mpaka atakapohukumiwa na mahakama kama ana hatia, presumption of innocence ndiyo katiba yetu.Wanawake mmezidi kuchanganya na kula hela za wanaume halafu mnakimbilia kudai talaka na mgawanyo wa mali. Matukio haya ya kikatili hayatakwisha hadi Yesu arudi labda wanawake waache wizi na ukahaba.Huyo mwanaume asiachiwe hadi haki itendekee.
Jamani ndoa haiko kwa kila mtu, na sio lazima.
Duuuh kazi ipooo, polee zao sanaa hao wahanga.
obvious lina midume, ndoa imevunjwa mwaka juzi tu leo ana mtoto mchanga wa mwanaume mwingine. Nimesoma ktk other media ndoa ilivunjwa na mahakama 2020.Tamaa za Mali
Utakuta hapo alikuwa yuko na dume lingine,likamshawish I kwenda kudai Mali hayo ndiyo yamemkuta sasa
Ova
[emoji1787]Hahahhaaaaa wewe njoo PM tuyajenge
Mbona unacheka mkuu[emoji1787]
Mahakama ndio zinatuangushaUmeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.
Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.
Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
hapa tatizo sio kugombea demu tatizo ni mali,Wewe unarwafi sio bure!! Kama unaona mm demu Nigee mnduku uone!! Mimi Huwa hawashangaa sana demu mnashindwana nmapigana!? Mademu kibao!??