Dereva wa UDOM akamatwa kwa madai ya kummwagia Kemikali Afisa Mtendaji

Huyo mwanaume asiachiwe hadi haki itendekee.
Jamani ndoa haiko kwa kila mtu, na sio lazima.

Duuuh kazi ipooo, polee zao sanaa hao wahanga.
Ni Kweli ila unakuja kuleta hbr za kugawana Mali nilizo ziangaikiaa hpn kwa Kweli Kama Mali s atafute zake

Sijapenda tukio ila pia swala la kugawna Mali siyo sawa angeendele na maish yake na uzuri Ana kazi
 
Umeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.

Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.

Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
Sahih kbsaaa
 
Hii kesi ina nukta nyingi mno.

Pole sana kwa wahanga
 
Huyo mwanaume asiachiwe hadi haki itendekee.
Jamani ndoa haiko kwa kila mtu, na sio lazima.

Duuuh kazi ipooo, polee zao sanaa hao wahanga.
Kwani umeambiwa yeye ndiyo aliyemmwagia tindikali??? Aachiwe haraka sana mpaka atakapohukumiwa na mahakama kama ana hatia, presumption of innocence ndiyo katiba yetu.Wanawake mmezidi kuchanganya na kula hela za wanaume halafu mnakimbilia kudai talaka na mgawanyo wa mali. Matukio haya ya kikatili hayatakwisha hadi Yesu arudi labda wanawake waache wizi na ukahaba.
 
Tamaa za Mali

Utakuta hapo alikuwa yuko na dume lingine,likamshawish I kwenda kudai Mali hayo ndiyo yamemkuta sasa

Ova
obvious lina midume, ndoa imevunjwa mwaka juzi tu leo ana mtoto mchanga wa mwanaume mwingine. Nimesoma ktk other media ndoa ilivunjwa na mahakama 2020.
 
Mtoto hata mwaka hajafikisha mwanamke anataka mgawane Mali,🤔dah kina mama punguzeni Kasi kidogo mmezidi Sasa.
 
Umeachana na mumeo Tena inawezekana chanzo ni wewe.

Umepata bwana na umezaa nae. Maana mtoto ana miezi sita na ndoa ilivunjika mwaka juzi.

Bado unataka kumfilisi mtalaka wako eti mgawane mali.
Kuna matatizo yakujitakia.
Mahakama ndio zinatuangusha

Talaka ya mwaka juzi haijaisha mpaka leo...

Idara ya Mahakama imeoza. Eti Jaji Mkuu Juma kaongezewa mkataba....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…