Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
We Lari Bwalya jibu swali hukuKwaio daslamu mashoga ni wengi kias hicho??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Lari Bwalya jibu swali hukuKwaio daslamu mashoga ni wengi kias hicho??
MhBaada ya kuambiwa nilifuatilia na kumfuma akimla shoga
The big issue ni daily transaction, hesabu hupati?Gari ni ya kubeba abiria sio kutafunia watu hilo ndo sharti aliloharibu
🤣🤣🤣🤣Umebaki wewe mwamba😂😂
Tupe namba za hiyo gari tuiogope kama ukomaWakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.
Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.
Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.
Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.
Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.
Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Hilo sharti kwenye mkataba wenu lilikuwepo?!Gari ni ya kubeba abiria sio kutafunia watu hilo ndo sharti aliloharibu
Huko nchini hakuna hizo mapigo?Sipo Dar mimi, nipo nchini huku
Kalitupe hilo gari baharini.Ukibisha utashangaa.Kweli mkuu ila maboss wengi wa bolt tunapitia hizi changamoto, gari zetu zinat*mbewa na ku*iriwa sana
Kama garii inatunzwa na hesabu inaletwa bila shida hukutakiwa kumfukuza , siku ukimpata mtu asiyetunza gari na kuleta hesabu kwa shida utamkumbuka huyo womaniser.Gari ni ya kubeba abiria sio kutafunia watu hilo ndo sharti aliloharibu
Unayoyasena hapa yapo kwenye mkataba....? Mliandikishiana..?Gari ni ya kubeba abiria sio kutafunia watu hilo ndo sharti aliloharibu
Boss kamaindi Hesabu inatolewa toka kwa upinde na sio safari za Bolt 🤣Uchawi wa boss hesabu, hesabu yako naleta, mengine niachie mimi.
😂
Shoga ndio anaofanya hesabu ziletwe maana analipia huduma ya kufeerwa kwa bei juu 🤣🤣🤣Baada ya kupewa taarifa nikafuatilia anakopaki usiku wa manane nikamfuma ndani ya gari akitafuna shoga😔
Si walisema kila kijana wa jf anamiliki million 100 humu 🤣🤣🤣jf kila mtu boss😂
Gari la Mende 🤣🤣🤣Tupe namba za hiyo gari tuiogope kama ukoma
😄🤣😅🧑🦯Gari la Mende 🤣🤣🤣